Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukurani mkuu Kwa kujibu hoja!1. Miundo mbinu ambayo uaisisi wake ulikuwa Magufuli. Baada ya yeye kushika hatamu yote imevurundwa kwa kujenga chini ya viwango. Mfano mdogo ni mlinganisho wa ubora wa Mfugale Flyover na ile ya Chang'ombe. So in reality kavurunda.
2. Anachofanya ni kuwabadilisha vitengo wale wanaokosea na kuendelea kuwakumbatia.
3. Kila kitu kimepanda bei mara lukuki kwa kipindi kifupi mno. Kwa kipindi cha miaka 3 pesa ya Tanzania imeshuka thamani kwa kasi ya ajabu mno dhidi ya dola.
4. Kaondosha Watanzania wenye haki kama raia wengine kwenye makazi yao ya enzi na enzi ili kunufainisha matajiri wachache.
Kila alichofanya ndio ukomo wa ufanisi wake.Shukurani mkuu Kwa kujibu hoja!
Kwa kifupi Kwa mujibu wa Bandiko lako HAKUNA CHA MAANA ALICHOFANYA!
hafai kabisa Punda tu huyo hawasomi hata maandiko matakatifu hao.Mabeyo mabeyo mabeyo atuombe radhi watanzania.
Mwenye picha yake, angeituma. Ili kumbukumbu zitunzwe na kukaa sawaMabeyo mabeyo mabeyo atuombe radhi watanzania.
😂👆Mabeyo mabeyo mabeyo atuombe radhi watanzania.
Kama anajiamulia atakuwa anatekeleza ILaNI nyingine si ya CCM. Huko mbeleni mambo yakiharibika asahauri mambo ya mitano tena.Sasa hivi anaamua ya kwake kwa sababu wakati wa Baba, Mama hakusikilizwa ushauri wake kwa hiyo mumuache kabisaa awafanyie kazi watu, besides sasa hivi watu wanahitaji faraja kwanza kwa maisha walopitia hapo nyuma.
Nawasilisha
Akisema hivyo ni kutangaza kuwa kazi aliyoapa kuifanya imemshinda.Rais Samiah ananisikitisha Sana. Ni juzi tu alitoka kusema kwamba inteligensia ya serikali imejaa ndani ya chama Cha CHADEMA na kila kikao wanachofanya serikali inapokea taarifa.
Cha kuchekesha Leo analalmika na kulia kuwa walipa Kodi ndani ya Tanzania ni wachache na hata kinachokuaanywa kinaishia kwenye mifuko ya wajanja. Yani Rais anakili kwamba inteligensia yote ipo CHADEMA ila kwenye mambo ya msingi ya kiuchumi hakuna inteligensia.
Kama Rais anatuma mashushu kwenye vikao vya CHADEMA anashindwaje kutumia mashushu kwenye kujua nani halipo Kodi na nani anakula pesa za Kodi.
🤣🤣🤣
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Yeye kazi kupigania apite 2025 basi hakuna lolote.Rais Samiah ananisikitisha Sana. Ni juzi tu alitoka kusema kwamba inteligensia ya serikali imejaa ndani ya chama Cha CHADEMA na kila kikao wanachofanya serikali inapokea taarifa.
Cha kuchekesha Leo analalmika na kulia kuwa walipa Kodi ndani ya Tanzania ni wachache na hata kinachokuaanywa kinaishia kwenye mifuko ya wajanja. Yani Rais anakili kwamba inteligensia yote ipo CHADEMA ila kwenye mambo ya msingi ya kiuchumi hakuna inteligensia.
Kama Rais anatuma mashushu kwenye vikao vya CHADEMA anashindwaje kutumia mashushu kwenye kujua nani halipo Kodi na nani anakula pesa za Kodi.