Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

1. Miundo mbinu ambayo uaisisi wake ulikuwa Magufuli. Baada ya yeye kushika hatamu yote imevurundwa kwa kujenga chini ya viwango. Mfano mdogo ni mlinganisho wa ubora wa Mfugale Flyover na ile ya Chang'ombe. So in reality kavurunda.

2. Anachofanya ni kuwabadilisha vitengo wale wanaokosea na kuendelea kuwakumbatia.

3. Kila kitu kimepanda bei mara lukuki kwa kipindi kifupi mno. Kwa kipindi cha miaka 3 pesa ya Tanzania imeshuka thamani kwa kasi ya ajabu mno dhidi ya dola.

4. Kaondosha Watanzania wenye haki kama raia wengine kwenye makazi yao ya enzi na enzi ili kunufainisha matajiri wachache.
Shukurani mkuu Kwa kujibu hoja!

Kwa kifupi Kwa mujibu wa Bandiko lako HAKUNA CHA MAANA ALICHOFANYA!
 
Shukurani mkuu Kwa kujibu hoja!

Kwa kifupi Kwa mujibu wa Bandiko lako HAKUNA CHA MAANA ALICHOFANYA!
Kila alichofanya ndio ukomo wa ufanisi wake.

Na yeye siku moja kama atakuwa hai bado atakuja kuandikiwa memoir yenye majivuno yale madogo aliyofanya kama 'Goli la Mama' na 'Kizimkazi Festival.

Your bare minimum is her maximum accomplishment.
 
Nikimtafakari huyu chura kiziwi najiuliza kama aliweza kuuza nchi kwa mkataba wa kimangungo kama ule atashindwa vipi kunyamazia suala la utekaji au kuwa yeye anajua kila kitu 100%

Huyu Chura kiziwi ni mtu hatari sana, ila Mungu alivyo fundi anazidi kumuumba gizani na kwenye dhahiri ili mumjuwe rangi yake halisi

Yaliyojificha moyoni mwake ni mazito kiufupi hana jema wala dhamira njema na taifa hili hususani huu upande wa pili humu. Laiti mngelijua yaliyofichikana mioyoni mwake mafundoni basi msingemsupport hata kwa chembe

Huyu ni mtu hatari sana na niliwaonya humu tokea tulivyomgeuka baada ya kuanza mambo ya tozo!! Mungu atamuangamiza taratibu usiku na mchana!!!
 
Inadaiwa ya kwamba huenda awamu ya 6 ikaacha legacy kubwa ya kutumia dola kujibu hoja za upinzani, uchawa, utekaji na watu kupotea, Itakumbukwa kwa ZCO wa osterbay, RCO wa kinondoni, Itakumbukwa kwa Kamishina wa operation Awadhi na mamlaka zinawajibu wa kuwajibika?

Je, katika matukio yote hayo kuna ukweli wowote? Na je kuna haja ya mamlaka kufanya tathmini ya kujisahihisha?

Je, 4Rs zinashabihiana utekaji na kutokweka kwa watu? Je, kesi ya ugaidi ya Mbowe na akina Adamoo ndio imeishi kwa vitendo kuhusu 4Rs?

Nawaacha na andiko lenye kuzingatia katiba na sheria, unapaswa kuwa na akili ya kumsaidia mwanasheria wako kushinda kesi yoyote ya uonevu na utekaji.

Wadiz
 
.
 

Attachments

  • IMG-20240926-WA0035.jpg
    IMG-20240926-WA0035.jpg
    79.6 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1727368868627.jpg
    FB_IMG_1727368868627.jpg
    57.3 KB · Views: 4
Tatizo la Mama Samia ni mwongo sana. Ametudanganya kuhusu ripoti fake za polisi, ametudanganya kuhusu katiba na demokrasia, 4R zimejaa uongo mtupo hakuna vitendo. Mama katudanganya kwamba watatekeleza maelekezo ya tume ya jinai, Mama katudanganya atapunguza rushwa. Mama katudanganya mikataba itakuwa wazi. Mama katudanganya tatizo la maji Dar limeisha!. Mambo yote ya demokrasia ni utapeli mtupu. Sera ya diaspora nayo ni utapeli mtupu.

Mama akiacha utamaduni wa kudanganya na kutekeleza mambo kama mwaka wake wa kwanza nchi hii itabadilika.
 
Sawa amekusikia,ila Lukas Mwashambwa akajitokeza kuitetea ujinga bira kutumwa!
 
Mimi Tangu abeze kifo Cha Kibao kwa kusema vifo vyote ni sawa nilimwona ni binadamu mwenye dharau na kiburi.
 
Futa upotoshaji wako mara moja kw afya yako na ndugu zako futa tafadhali
 
Rais Samiah ananisikitisha Sana. Ni juzi tu alitoka kusema kwamba inteligensia ya serikali imejaa ndani ya chama Cha CHADEMA na kila kikao wanachofanya serikali inapokea taarifa.

Cha kuchekesha Leo analalmika na kulia kuwa walipa Kodi ndani ya Tanzania ni wachache na hata kinachokuaanywa kinaishia kwenye mifuko ya wajanja. Yani Rais anakili kwamba inteligensia yote ipo CHADEMA ila kwenye mambo ya msingi ya kiuchumi hakuna inteligensia.

Kama Rais anatuma mashushu kwenye vikao vya CHADEMA anashindwaje kutumia mashushu kwenye kujua nani halipo Kodi na nani anakula pesa za Kodi.
 
Sasa hivi anaamua ya kwake kwa sababu wakati wa Baba, Mama hakusikilizwa ushauri wake kwa hiyo mumuache kabisaa awafanyie kazi watu, besides sasa hivi watu wanahitaji faraja kwanza kwa maisha walopitia hapo nyuma.

Nawasilisha
Kama anajiamulia atakuwa anatekeleza ILaNI nyingine si ya CCM. Huko mbeleni mambo yakiharibika asahauri mambo ya mitano tena.
 
Rais Samiah ananisikitisha Sana. Ni juzi tu alitoka kusema kwamba inteligensia ya serikali imejaa ndani ya chama Cha CHADEMA na kila kikao wanachofanya serikali inapokea taarifa.

Cha kuchekesha Leo analalmika na kulia kuwa walipa Kodi ndani ya Tanzania ni wachache na hata kinachokuaanywa kinaishia kwenye mifuko ya wajanja. Yani Rais anakili kwamba inteligensia yote ipo CHADEMA ila kwenye mambo ya msingi ya kiuchumi hakuna inteligensia.

Kama Rais anatuma mashushu kwenye vikao vya CHADEMA anashindwaje kutumia mashushu kwenye kujua nani halipo Kodi na nani anakula pesa za Kodi.
Akisema hivyo ni kutangaza kuwa kazi aliyoapa kuifanya imemshinda.
 

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
🤣🤣🤣
 
Rais Samiah ananisikitisha Sana. Ni juzi tu alitoka kusema kwamba inteligensia ya serikali imejaa ndani ya chama Cha CHADEMA na kila kikao wanachofanya serikali inapokea taarifa.

Cha kuchekesha Leo analalmika na kulia kuwa walipa Kodi ndani ya Tanzania ni wachache na hata kinachokuaanywa kinaishia kwenye mifuko ya wajanja. Yani Rais anakili kwamba inteligensia yote ipo CHADEMA ila kwenye mambo ya msingi ya kiuchumi hakuna inteligensia.

Kama Rais anatuma mashushu kwenye vikao vya CHADEMA anashindwaje kutumia mashushu kwenye kujua nani halipo Kodi na nani anakula pesa za Kodi.
Yeye kazi kupigania apite 2025 basi hakuna lolote.
 
Back
Top Bottom