Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Wakuu yawezekana Mimi nikawa sioni ambacho Mh Rais Samia Suluhu Hassan anafanya au kwakuwa Niko bize sana na shughuli zangu,lakini hata kipindi Cha Rais Magufuli nilikuwa bize lakini niliona alichokuwa akifanya!

Yawezekana uenda nikawa tu na negativity Kwa Rais wetu mpendwa,hebu naomba mtu mwenye akili timamu na anayefatilia mambo anielekeze Kwa upole na Upendo ambacho amekifanya Rais Samia na kimekuwa na Impact kubwa Kwa Watanzania Kwa muda mfupi Ili nibadili mtazamo wangu

Karibuni
Amemtowa mbowe jela.
 
1. Ujenzi wa miundo mbinu Kwa ajili ya maendeleo ya taifa,mfano miundo mbinu ya usafiri,maji NK.huku niliko Kuna mradi mkubwa wa maji ambao utakuwa msaada mkubwa sana Kwa wananchi ambao hapo awali walikuwa wakisumbuka na kupoteza Muda kufuata maji umbali mrefu.

2.Kuimarika Kwa utawala wa sheria tofauti na hapo nyuma ,siku hizi ukiona mtu kakosea anawajibishwa papo Kwa hapo.


3.Masrahi Bora Kwa watumishi wa umma ambapo hapo awali hawakuwahi kuyapata jambo ambalo lilipelekea watumishi wa umma kupoteza morali ya kazi ,lakini toka mama aingie watumishi wa umma wamekuwa wakipata masrahi Yao Kwa wakati.

Ni mazuri mengi sana tukisema tuyataje hapa naweza tumia miaka mitano japo yeye mama kayafanya Kwa miaka mitatu tu.



Mikumi tena Kwa mama Samia
 
1. Ujenzi wa miundo mbinu Kwa ajili ya maendeleo ya taifa,mfano miundo mbinu ya usafiri,maji NK.huku niliko Kuna mradi mkubwa wa maji ambao utakuwa msaada mkubwa sana Kwa wananchi ambao hapo awali walikuwa wakisumbuka na kupoteza Muda kufuata maji umbali mrefu.

2.Kuimarika Kwa utawala wa sheria tofauti na hapo nyuma ,siku hizi ukiona mtu kakosea anawajibishwa papo Kwa hapo.


3.Masrahi Bora Kwa watumishi wa umma ambapo hapo awali hawakuwahi kuyapata jambo ambalo lilipelekea watumishi wa umma kupoteza morali ya kazi ,lakini toka mama aingie watumishi wa umma wamekuwa wakipata masrahi Yao Kwa wakati.

Ni mazuri mengi sana tukisema tuyataje hapa naweza tumia miaka mitano japo yeye mama kayafanya Kwa miaka mitatu tu.



Mikumi tena Kwa mama Samia
Safi sana mkuu Kwa kujibu hoja,but ulipaswa uanishe

1.Miundo mbinu ya Usafiri kama ipi?,Je huo mradi wa maji unajengwa wilaya na kijiji kipi?

2.Kuna kiongozi gani ambaye unamfahamu alikosea na akawajibishwa Kwa mujibu wa Sheria?

3.Maslahi Bora kama yapi?,Je watumishi wamepandishiwa mishahara?,Je hayo maslahi walikuwa hawapati Kwa wakati tangu lini?
 
Wakuu yawezekana Mimi nikawa sioni ambacho Mh Rais Samia Suluhu Hassan anafanya au kwakuwa Niko bize sana na shughuli zangu,lakini hata kipindi Cha Rais Magufuli nilikuwa bize lakini niliona alichokuwa akifanya!

Yawezekana uenda nikawa tu na negativity Kwa Rais wetu mpendwa,hebu naomba mtu mwenye akili timamu na anayefatilia mambo anielekeze Kwa upole na Upendo ambacho amekifanya Rais Samia na kimekuwa na Impact kubwa Kwa Watanzania Kwa muda mfupi Ili nibadili mtazamo wangu

Karibuni
Goli la mama.
 
Safi sana mkuu Kwa kujibu hoja,but ulipaswa uanishe

1.Miundo mbinu ya Usafiri kama ipi?,Je huo mradi wa maji unajengwa wilaya na kijiji kshipi?

2.Kuna kiongozi gani ambaye unamfahamu alikosea na akawajibishwa Kwa mujibu wa Sheria?

3.Maslahi Bora kama yapi?,Je watumishi wamepandishiwa mishahara?,Je hayo maslahi walikuwa hawapati Kwa wakati tangu lini?
1. Miundo mbinu ambayo uaisisi wake ulikuwa Magufuli. Baada ya yeye kushika hatamu yote imevurundwa kwa kujenga chini ya viwango. Mfano mdogo ni mlinganisho wa ubora wa Mfugale Flyover na ile ya Chang'ombe. So in reality kavurunda.

2. Anachofanya ni kuwabadilisha vitengo wale wanaokosea na kuendelea kuwakumbatia.

3. Kila kitu kimepanda bei mara lukuki kwa kipindi kifupi mno. Kwa kipindi cha miaka 3 pesa ya Tanzania imeshuka thamani kwa kasi ya ajabu mno dhidi ya dola.

4. Kaondosha Watanzania wenye haki kama raia wengine kwenye makazi yao ya enzi na enzi ili kunufainisha matajiri wachache.
 
Wenye vyeo wamewezeshwa kujilipa mapesa na perdiems za kutosha 💪
 
Back
Top Bottom