Hii mimba iliharibika tarehe Fulani March 2021Naona hiyo mimba inakusumbua njoo basi tukusaidie kuilea mimba yako usije ukafa na stress kwa kuhangaika na marehemu ambaye amelala na hawezi kujitetea ila tupo sisi kwa ajili ya kumtetea kwa kuonyesha mazuri aliyoiachia nchi yetu.
Kumbe ndio sababu ya kumchukia Mwendazake? Basi njoo nikupe mimi haitaharibika tena.Hii mimba iliharibika tarehe Fulani March 2021
Tuachane na CCM.Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Na kwa kuzingatia kwamba vigogo wa Ufisadi Tanzania ndio wameingia kuwekeza kwenye Civil Aviation Industry.......Huo ndiwo ukweli.
Rais Samia ni laini mno lijapo suala la usimamizi wa jambo na kwake yeye huamini kusikia/kusimuliwa zaidi kuliko kutimba mwenyewe ili kujionea.
Hulka ya Viongozi wengi ni wezi na mafisadi na kwayo hata mianya ya kuharibu kwa makusudi jambo lolote zuri ili tu wajinufaishe wao kwao si kazi kubwa.
Samia ni Rais wa kusimuliwa na hapo ndipo mwanya wa mafisadi kuiba na kuharibu kwa ajili ya maslahi yao huwa.
Mfano mzuri ni hayo matengenezo ya injini za Airbus zetu ukweli ni kwamba hayupo hata mtu anayefuatilia kwa maana ya mkazo na sababu ni moja tu wenye maslahi yao wameweka mkono wao ili mwisho wa siku Shirika life na wao waendelee kunufaika na miradi yao kama hapo awali.
Aminini nawaambia, Tanesco, ATCL na Mashirika yote ya UMMA yaliyoanza japo kujikongoja yatakufa yote ndani ya Utawala huu!
NB: Hata kule kwao mwanamke kwake ndani.
Kazi ya Rais si kutembelea kila Shirika la umma ili kujua utendaji wake. Nchi ya Tanzania ni kubwa mno hawezi kufika kila mahali ili ajue utendaji wa kazi. URais ni tasisi- ina watu wengi wanao msaidie Rais ili atimize majukumu yake ipasavyo Kama atatembelea kila sehemu- kuna majukumu mengine yatalala. Rais anatakiwa achague timu nzuri , watu ambao si ndugu zake wa damu, watu wa dini na makabila mbali mbali. Hakuna tatizo kwa Rais kusikiliza ushauri, hakuna binadamu anayejua kila kitu. Rais ameajiliwa na wapiga kura wake.Huo ndiwo ukweli.
Rais Samia ni laini mno lijapo suala la usimamizi wa jambo na kwake yeye huamini kusikia/kusimuliwa zaidi kuliko kutimba mwenyewe ili kujionea.
Hulka ya Viongozi wengi ni wezi na mafisadi na kwayo hata mianya ya kuharibu kwa makusudi jambo lolote zuri ili tu wajinufaishe wao kwao si kazi kubwa.
Samia ni Rais wa kusimuliwa na hapo ndipo mwanya wa mafisadi kuiba na kuharibu kwa ajili ya maslahi yao huwa.
Aminini nawaambia, Tanesco, ATCL na Mashirika yote ya UMMA yaliyoanza japo kujikongoja yatakufa yote ndani ya Utawala huu!
NB: Mwanamke kwake ndani.
inawezekana anaogopa kutia mguu tanesco kuna mirija minene ya wazito wenzake asije akawaudhiHuo ndiwo ukweli.
Rais Samia ni laini mno lijapo suala la usimamizi wa jambo na kwake yeye huamini kusikia/kusimuliwa zaidi kuliko kufika mwenyewe ili kujionea.
Hulka ya Viongozi wengi ni wezi na mafisadi na kwayo hata mianya ya kuharibu kwa makusudi jambo lolote zuri ili tu wajinufaishe wao kwao si kazi kubwa.
Samia ni Rais wa kusimuliwa na hapo ndipo mwanya wa mafisadi kuiba na kuharibu kwa ajili ya maslahi yao huwa.
Mfano mzuri ni hayo matengenezo ya injini za Airbus zetu ukweli ni kwamba hayupo hata mtu anayefuatilia kwa maana ya mkazo na sababu ni moja tu wenye maslahi yao wameweka mkono wao ili mwisho wa siku Shirika life na wao waendelee kunufaika na miradi yao kama hapo awali.
Aminini nawaambia, Tanesco, ATCL na Mashirika yote ya UMMA yaliyoanza japo kujikongoja yatakufa yote ndani ya Utawala huu!
NB: Hata kule kwao mwanamke kwake ndani.
Kwani kuna nini zaidi tunaweza kufanya zaidi ya kuandika ??Yaani kwa huu mgao wa umeme...JPM kuwaumbua basi ndio kisasi tunakilamba sisi kisawa sawa...hakuna rangi tutaachaona...
Hv tumekosa viongozi majasiri wakututetea kwa hili....tunamwachia Marope ana run the show km vile nchi ya baba yake hii...mara ukame?! Sasa hv sababu imebadilika ni matengenezo mitambo imechakaa...
Mitambo imechakaa pindi marope kushika wizara tu?! Watanzania tu Wapole sana kwa kweli