Ndio nimependekeza ni bora amchukue Dotto Biteko kwenye Uwaziri Mkuu.Lazima awe naye?
Uko sahihi kabisa pamoja na jinsia yake na hali aliyokutana nayo nimemsifu sana amepambana sana na Maadui zake wa humo CCM.Hiki ni kipind cha mpito hata kwa raisi wetu mpendwa ,hali sio nzuri kidunia bahati mbaya imeanguki katika awamu yake ...Tumuombee Mungu kumpa nguvu za kupambania nchi yetu...Kama unajisikia vibaya basi yeye ni ni 10x ,Rais anapambania kufa na kupona usiwe mtu wa kulaumu tu kwa sana.
Mliotumika kupora kupitia TRA na hata ujambazi wa kupora Bureu De Change na msiojulikana kuteka watu ili watoe pesa, sasa mnaumbuka.Nikiuliza nipewe sababu mhimu ya Kwa nini bei ya bidhaa imepanda Kwa kiasi kikubwa hiko hakuna sababu ya maana!
Hiyo ni moja ya dalili za kushindwa! Kwa nini mgao wa umeme, sababu hazijitosherezi, Kwa nini kipindi cha nyuma gharama ya kuingiziwa umemw ilikuwa 27000, na sasa 300000+ hakuna sababu ya msingi!
Kwa nini tumeongeza tozo lakini zimefanya nini, labda kuna jambo jipya ambalo halikuwa likifanywa kipindi cha nyuma tozo imefanya, napo hakuna!
Hizo ndizo dalili za kishindwa!
Na sababu Moja wapo ya yeye kushindwa, amekaa kirafiki sana hata mahali pasipostahili kukaa kipendwa kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania
Urafiki katika kazi sio mmbaya, ila wateule wanapoharibu na kumharibia, urafiki wa nini hapo?
Kwa nini kuwa na urafiki na mtu anayeharibu kazi yake?
Mawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais, Kwa nini urafiki nao.?
Badala yake sasa tunaanza kuungana nao kuombea kila kitu kisifanikiwe chini yake Kwa sababu yeye Mh anataka hivyo,
Kwani watu wazuri, wazalendo, wachapakazi na wasomi wameisha kwenye Taifa hili ili hali kila kitu kinaenda ndivyo sivyo?
Yule ni mbovu kabisa, bora Kalemani asee jamaa ana uwezo mkuwa kama siyo udini na ukanda angefaa sanaNdio nimependekeza ni bora amchukue Dotto Biteko kwenye Uwaziri Mkuu.
Wizara ya Madini kaidhibiti na sasa inachangia pakubwa kwenye pato la Taifa.Yule ni mbovu kabisa, bora Kalemani asee jamaa ana uwezo mkuwa kama siyo udini na ukanda angefaa sana
Doto Biteko huyu huyu heri hata katelephone pasipo kujali weakness zakeSamia amekutana na bahati mbaya ya Ukame na Waziri mkuu mbovu.
Dotto Biteko anafaa kuwa Waziri Mkuu.
Basi apewe Hussein Bashe kama Dotto Biteko mnamsagia Kunguni.Doto Biteko huyu huyu heri hata katelephone pasipo kujali weakness zake
Hatari snWizara ya Madini kaidhibiti na sasa inachangia pakubwa kwenye pato la Taifa.
Mkuu, wewe unapendekeza nani awe Waziri Mkuu mpya?Hatari sn
Anapambana vipi wakati hadi leo wameshindwa kutoa mikopo yetu ya ufugaji samaki na uvuvi? Pesa ambazo zilitolewa na mabeberu tangu kitambo. Acha uchawa wewe, Rais hopeles kabisa huyuHiki ni kipind cha mpito hata kwa raisi wetu mpendwa ,hali sio nzuri kidunia bahati mbaya imeanguki katika awamu yake ...Tumuombee Mungu kumpa nguvu za kupambania nchi yetu...Kama unajisikia vibaya basi yeye ni ni 10x ,Rais anapambania kufa na kupona usiwe mtu wa kulaumu tu kwa sana.
Wizara ya Madini kaidhibiti na sasa inachangia pakubwa kwenye pato la Taifa.
Maana Tumuombee tu Mungu sidhani Kama anapenda legacy yake kuchafuka anajitahidi mno kwa kweli, baadhi ya Wanasiasa ambao ni kwamba wanatamanu nafasi ile ndo wanalisha sumu na kuleta taharuki kweny jamii tambua watu huko nje wanaandamana hali sio shwari.Uko sahihi kabisa pamoja na jinsia yake na hali aliyokutana nayo nimemsifu sana amepambana sana na Maadui zake wa humo CCM.
Mama anatoa fedha kiroho safi zinaliwa wakati Majaliwa wajibu wake ni kufuatilia.
Mama akijifanya kukomaa na WM chombo kitazama huku anakiona.
Huyo atleast shida anavingereza vingi sipati picha atakavyokuwa anatoa maelekezo kwa watendaji mbalimbali na kueleza mwelekeo wa serikali wa watu wa kawaida .Ni kama kiswahili straight kinampa shidaBasi apewe Hussein Bashe kama Dotto Biteko mnamsagia Kunguni.
Lakini mpaka sasa huwaambii kitu Wakulima kuhusu Bashe mpaka imembidi Bashiru kuanza kumsagia Kunguni.Huyo atleast shida anavingereza vingi sipati picha atakavyokuwa anatoa maelekezo kwa watendaji mbalimbali na kueleza mwelekeo wa serikali wa watu wa kawaida .Ni kama kiswahili straight kinampa shida
Dr. MsukumaMkuu, wewe unapendekeza nani awe Waziri Mkuu mpya?