Habari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo Watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.
Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.
Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili. Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?
Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?
Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo Watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.
Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.
Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili. Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?
Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?
Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?