Anayejua Viwanda vilivyojengwa na Hayati Rais Dkt. John Magufuli anioneshe vilipo

Anayejua Viwanda vilivyojengwa na Hayati Rais Dkt. John Magufuli anioneshe vilipo

Habari ndugu zanguni.

Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.

Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.

Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?

Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?

Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Viwanda kujengwa au viwanda kufufuliwa?!
 
Habari ndugu zanguni.

Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.

Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.

Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?

Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?

Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Muacheni hyu mzee jmn ampunzike kwa amani rip magu
Magu anakumbukwa saan HV sas kuliko mtu yoyote au marehemu yoyote nchini sioni sababu ya kumjadili huyu mzee Kaz alizo famya na namna alivyo endesha nnchi Ni kipieekee zaid
 
Habari ndugu zanguni.

Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.

Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.

Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?

Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?

Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Wewe unakaa wapi? Uko unakokaa au kupitapita ujaona flemu zina vyerehani watu wanashonashona nguo?
 
IMG_1347.jpg

IMG_1346.jpg

Hivi hapa
 
Back
Top Bottom