SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Dhalim alikuwa mtu mmoja fix sana, nakumbuka alikuwa anazindua viwanda ambavyo vilishafanya kazi tangu miaka kumi iliyopita.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitapita mabarabarani huku unaangalia huku na kule unaweza ukashangaa umeviona.Ya Mungu mengi.😂😂😂😂😂Vipo wapi sasa?
Shey ni vzr kwa faida ya wengine ukavionyesha hapa na specific location tuanze kuvitembelea tuone uzalishaji unavyoendelea. Usiwatupie watu huko Google!Google. Utaviona. Hili swali lilishajibiwa muda labda kama umejiunga JF hivi karibuni.
Hata nyerere twamzungumzia badoMpaka leo bado tunamzungumzia JPM?
Hutaki azungumziwe shujaa?Mpaka leo bado tunamzungumzia JPM?
Sasa hicho so Cha Bakressa, na Bakressa alikua akijenga viwanda vingi tu tangu enzi za JK?Vingi
Vingi vipo mkoa wa Pwani pamoja na shamba na kiwanda cha sukari cha Azam kiko Bagamoyo mkuu.
Vipo vya matofali kila konaHabari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda...
HAKUNA HATA KIWANDA KIMOJA NDIO MAANA MAKELELE YA TANZANIA YA VIWANDA KWISHA HABARI YAKEHabari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.
Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.
Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?
Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?
Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Sera ya viwanda imekufa kibudu?HAKUNA HATA KIWANDA KIMOJA NDIO MAANA MAKELELE YA TANZANIA YA VIWANDA KWISHA HABARI YAKE
😅😅😅😅sawaKwani huoni vibanda vya kukamua juice za miwa huko mtaani...maana tuliambiwa navyo ni viwanda
😀😁😂🤣😃😄😅Dhalim alikuwa mtu mmoja fix sana, nakumbuka alikuwa anazindua viwanda ambavyo vilishafanya kazi tangu miaka kumi iliyopita.
Tulikuwa tunajenga kwanza nchi ifananie na uraya!. Kusiwe na haja ya kukimbila uraya kwa vijana wetu ndiyo tuje na hilo.Habari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda...
But serekali ndio ina strategise na kutoa miongozo ya kisera... Infact mfumo uliopita haukuwa rafiki wa biashara wala viwanda!Viwanda havijengwi na serikali katika zama hizi za soko huria.
Viwanda vya kutengeza mask n sanitizer…. Hivi viliibuka wakat wa korona!! sanitizer zake niliziokHabari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.
Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.
Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?
Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?
Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Miaka mia atazungumziwa maana alikuwa baba wa uongo na muuaji kama nanii.Mpaka leo bado tunamzungumzia JPM?