Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 1,302
- 1,939
Hata Mwamwindi pia.Hata nyerere twamzungumzia bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Mwamwindi pia.Hata nyerere twamzungumzia bado
Viwanda kajenga saa100 tu.Miaka mia atazungumziwa maana alikuwa baba wa uongo na muuaji kama nanii.
Kiko wapi hicho kiwandaViwanda vya kutengeza mask n sanitizer…. Hivi viliibuka wakat wa korona!! sanitizer zake niliziok
😅😅😅😅kejeli hizoViwanda kajenga saa100 tu.
Maji ya kuoga kwa token ya kisado
Na kubeti kwingi. Yaani ni umaskini juu ya umaskini sasa hiviAlichochea makampuni ya kamari kuongezeka, hakuna kingine.
Lakini uchumi wa viwanda ndio slogan iliyovuma sana midomoni mwaoBut serekali ndio ina strategise na kutoa miongozo ya kisera... Infact mfumo uliopita haukuwa rafiki wa biashara wala viwanda!
NashangaaaHutaki azungumziwe shujaa?
🤣🤣🤣Labda Viwanda vya Majungu.
Hiiiiii....!!Mbona vipo mkuu v-wonder vya tofari na mikate
"Maendeleo hayana chama"
Walifafanua zaidi wakasema hata ukiwa na Mgahawa una sufuria mbili za kupika supu ni kiwanda🤣🤣🤣Ila tuliambiwa hata ukiwa na vyerehani vitatu ni kiwanda pia
Vilijengwa vingi mkoa wa pwani.Habari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.
Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.
Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?
Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?
Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Vinaitwaje na vinazalisha biddhaa ganiVilijengwa vingi mkoa wa pwani.
Vipo vingi tu siwezi kukutajia majina yao vyote....Vinaitwaje na vinazalisha biddhaa gani
Njoo mkoa wa Pwani au nenda Simiyu wilaya ya MaswaHabari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.
Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.
Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?
Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?
Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?
Taja vitatu tu kati ya hivyo vingiVipo vingi tu siwezi kukutajia majina yao vyote....
Karangtamu, hawa wanakaanga karanga.Vinaitwaje na vinazalisha biddhaa gani
Kazi ya RAISI WA NCHI NI MTENGENEZA SERA RAFIKI KWA NCHI NA WANANCHI KUWEZA KUJENGA VIWANDAHabari ndugu zanguni.
Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda.
Ni viwanda vile tulivyoimbiwa nyimbo na mapambio na wanaccm kwamba vinajenga na kila siku vilikuwa vinafunguliwa.
Wapinzani walipokosoa na kusema hakuna viwanda vinajengwa walizodolewa na kuitwa sio wazalendo na wapiga dili.
Viko wapi viwanda alivyojenga huyu Mwamba aliyepumzika Mahali pema peponi?
Mawaziri wake tuonesheni takwimu picha na mahali vilipo vijana mtaani hali ni tete?
Mbona uchumi unazidi kudidimia inamaana havijaanza kuzalisha products?