Anayejua Viwanda vilivyojengwa na Hayati Rais Dkt. John Magufuli anioneshe vilipo

HAKUNA HATA KIWANDA KIMOJA NDIO MAANA MAKELELE YA TANZANIA YA VIWANDA KWISHA HABARI YAKE
 
Habari ndugu zanguni.

Kutokana na hali ngumu ya kimaisha ambayo watanzania wanapitia kwa sasa( ofcourse tulitabiri hili) ni muda sasa vijana wa kitanzania wakawa Absorbed kwenye ajira za viwanda...
Tulikuwa tunajenga kwanza nchi ifananie na uraya!. Kusiwe na haja ya kukimbila uraya kwa vijana wetu ndiyo tuje na hilo.
 
Viwanda vya kutengeza mask n sanitizer…. Hivi viliibuka wakat wa korona!! sanitizer zake niliziok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…