Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?

Anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga. Kuzuiwa bila kifungu, kuruhusu bila Kifungu. Ni hisani ya Rais Samia. Haki kuhisaniwa hadi lini?

Wabongo wengi wamelala usingizi wa pono kwenye masuala ya siasa, sayansi, na uchumi.

Ndiyo maana watawala wanawaviringa na kuwafanya chochote wanachotaka.
 
Bila Katiba Mpya, mambo mengi nchi hii tumekuwa tukifanyiwa kwa hisani tu, na kama hatujui kupigania haki zetu, basi ni vyema tukashukuru kwa hisani tunazopewa na watawala, kinyume na hapo ni kukosa shukrani tu, kwasababu hata wakitunyima hatuwezi kuwafanya chochote zaidi ya kulia lia mitandaoni, na kutoa pole mitandaoni kwa wale wanaoumizwa wakipigania haki zetu.
 
Wanabodi,
Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, sasa ni nderemo na vifijo nchi mzima!. Na mimi naomba nijiunge kupongeza Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya siasa, kukubali kurekebisha sheria mbalimbali kandamizi na kubwa kuliko, kukubali kuendeleza mchakato wa katiba mpya.

Kwenye hili la kuzuiwa mikutano ya hadhara, kwa vyàma vya siasa imeruhusiwa na katiba, hivyo ni haki ya kikatiba ya vyama vya siasa kufanya mikutano kwa mujibu wa katiba, lile swali langu la Ikulu, kumuuliza rais wa JMT, ametumia mamlaka gani kwenye kifungu kipi cha sheria, kuzuia jàmbo lililoruhusiwa na katiba?.

Sasa leo Rais Samia, amelijibu lile swali kwa mtindo ule ule wa "anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!", jambo linalozuiliwa kwa utashi tuu wa mtu bila kifungu chochote, siku ya kuliruhusu pia ni kwa utashi tuu, bila kifungu chochote!. Hii inapelekea suala la mikutano ya siasa kuonekana ni kama Hisani tuu ya rais aliyepo madarakani, hivyo kuruhusiwa huku kwa mikutano ya siasa ni kwa hisani tuu ya Rais Mama Samia!. Swali ni jee mikutano ya vyama vya siasa ni haki ya vyama kufanya mikutano au ni hisani ya Rais wa JMT aĺlye madarakani?

Kitu kama ni haki, then ni stahili sio Hisani!, Je sisi Watanzania tutaendelèa kusubiri hadi lini haki zetu na stahili zetu zikifanywa ni Hisani?.

Haki mbili kuu za kiraia zilizotolewa na katiba yetu, haki za kuchagua na kuchaguliwa, nazo zimegeuzwa hisani!,
Kwenye issues za haki zetu za kikatiba, jee Watanzania tutaendelea kusubiri kuhisaniwa mpaka lini?.

Naendelea kusistiza mwaka huu wa 2023, Watanzania lazima tufanye kitu.

Asante Mama Samia kwa a political will kuruhusu mikutano ya siasa, kwa utashi tuu hivyo vyama kujiona vimehisaniwa, nakuomba tumia a political will kama hii hii kuwaruhusu Watanzania kuchagua na kuchaguliwa.

Wakati tukisubiria hisani ya Mama Samia kwenye hili, la kumruhusu kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, should we just sit and wait kusubiria hisani kama vyama vya siasa vilivyosubiri hadi leo vilipohisaniwa, or we should do something?. Hiki ndicho nilicho anza nacho mwaka huu Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?

Haki ni stahiki sio hisani!, haki haiombwi na kutegemea hisani, wala haki haihitaji vikao, mikutano na majadiliano, haki hauletewi kwenye kisahani cha chai kama hisani au zawadi, ni stahiki inayopaswa kutolewa unconditional not as a favour or hisani but as a right, au haki, hivyo haki tusizigeuze ni hisani!, haki ni stahiki kutolewa na haiombwi, bali ikibidi kupiganiwa!,

Happy New Year.

Paskali
Hizo ni neema za mwaka mpya na funzo la kutoigeuza haki kuwa hisani tena.
 
Wanabodi,
Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, sasa ni nderemo na vifijo nchi mzima!. Na mimi naomba nijiunge kupongeza Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya siasa, kukubali kurekebisha sheria mbalimbali kandamizi na kubwa kuliko, kukubali kuendeleza mchakato wa katiba mpya.

Kwenye hili la kuzuiwa mikutano ya hadhara, kwa vyàma vya siasa imeruhusiwa na katiba, hivyo ni haki ya kikatiba ya vyama vya siasa kufanya mikutano kwa mujibu wa katiba, lile swali langu la Ikulu, kumuuliza rais wa JMT, ametumia mamlaka gani kwenye kifungu kipi cha sheria, kuzuia jàmbo lililoruhusiwa na katiba?.

Sasa leo Rais Samia, amelijibu lile swali kwa mtindo ule ule wa "anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!", jambo linalozuiliwa kwa utashi tuu wa mtu bila kifungu chochote, siku ya kuliruhusu pia ni kwa utashi tuu, bila kifungu chochote!. Hii inapelekea suala la mikutano ya siasa kuonekana ni kama Hisani tuu ya rais aliyepo madarakani, hivyo kuruhusiwa huku kwa mikutano ya siasa ni kwa hisani tuu ya Rais Mama Samia!. Swali ni jee mikutano ya vyama vya siasa ni haki ya vyama kufanya mikutano au ni hisani ya Rais wa JMT aĺlye madarakani?

Kitu kama ni haki, then ni stahili sio Hisani!, Je sisi Watanzania tutaendelèa kusubiri hadi lini haki zetu na stahili zetu zikifanywa ni Hisani?.

Haki mbili kuu za kiraia zilizotolewa na katiba yetu, haki za kuchagua na kuchaguliwa, nazo zimegeuzwa hisani!,
Kwenye issues za haki zetu za kikatiba, jee Watanzania tutaendelea kusubiri kuhisaniwa mpaka lini?.

Naendelea kusistiza mwaka huu wa 2023, Watanzania lazima tufanye kitu.

Asante Mama Samia kwa a political will kuruhusu mikutano ya siasa, kwa utashi tuu hivyo vyama kujiona vimehisaniwa, nakuomba tumia a political will kama hii hii kuwaruhusu Watanzania kuchagua na kuchaguliwa.

Wakati tukisubiria hisani ya Mama Samia kwenye hili, la kumruhusu kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, should we just sit and wait kusubiria hisani kama vyama vya siasa vilivyosubiri hadi leo vilipohisaniwa, or we should do something?. Hiki ndicho nilicho anza nacho mwaka huu Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?

Haki ni stahiki sio hisani!, haki haiombwi na kutegemea hisani, wala haki haihitaji vikao, mikutano na majadiliano, haki hauletewi kwenye kisahani cha chai kama hisani au zawadi, ni stahiki inayopaswa kutolewa unconditional not as a favour or hisani but as a right, au haki, hivyo haki tusizigeuze ni hisani!, haki ni stahiki kutolewa na haiombwi, bali ikibidi kupiganiwa!,

Happy New Year.

Paskali
Mimi sijaelewa wameridhiana kuendesha mikutano ya kisiasa? kwanini wasinge maliza mambo yote ndiyo wake kwenye Camera.Maana ishu nyeti ni katiba na tume ya uchaguzi!sasa mambo ya kutueleza mipasho kuwa sheria zipo kwenye pipeline inasaidia nini!!
CCM hawapo tayari kwa maridhiano,Mama angekaa kimya tu,lile kokololo haliwezi.
 
ALIYEIZUIA ALIVUNJA KATIBA MAMA KARUHUSU ILI KATIBA IHESHIMIWE WALA SIO HISANI
Ilipovunjwa alikuwepo wapi au ughaibuni?

Aliyemkamata Mbowe na kumuachia ni huyo huyo aliyemruhusu kufanya mikutano bila kutueleza behind the scene.

Ukweli wa haya yote anajua Mbowe na mama said ila wanatuletea michezo ya kaole...

Mbowe kuwa kimya na kuweka mikono nyuma kuomba mikutano ambayo ni haki yake kikatiba sio bure, kuna kitu wanatuficha...

Ngoja tuone Mbowe atakuwa kama Kabwe wa ACT,tusubirie muda ndio kila kitu, amekuwa compromised.
 
Wanabodi,
Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, sasa ni nderemo na vifijo nchi mzima!. Na mimi naomba nijiunge kupongeza Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya siasa, kukubali kurekebisha sheria mbalimbali kandamizi na kubwa kuliko, kukubali kuendeleza mchakato wa katiba mpya.

Kwenye hili la kuzuiwa mikutano ya hadhara, kwa vyàma vya siasa imeruhusiwa na katiba, hivyo ni haki ya kikatiba ya vyama vya siasa kufanya mikutano kwa mujibu wa katiba, lile swali langu la Ikulu, kumuuliza rais wa JMT, ametumia mamlaka gani kwenye kifungu kipi cha sheria, kuzuia jàmbo lililoruhusiwa na katiba?.

Sasa leo Rais Samia, amelijibu lile swali kwa mtindo ule ule wa "anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!", jambo linalozuiliwa kwa utashi tuu wa mtu bila kifungu chochote, siku ya kuliruhusu pia ni kwa utashi tuu, bila kifungu chochote!. Hii inapelekea suala la mikutano ya siasa kuonekana ni kama Hisani tuu ya rais aliyepo madarakani, hivyo kuruhusiwa huku kwa mikutano ya siasa ni kwa hisani tuu ya Rais Mama Samia!. Swali ni jee mikutano ya vyama vya siasa ni haki ya vyama kufanya mikutano au ni hisani ya Rais wa JMT aĺlye madarakani?

Kitu kama ni haki, then ni stahili sio Hisani!, Je sisi Watanzania tutaendelèa kusubiri hadi lini haki zetu na stahili zetu zikifanywa ni Hisani?.

Haki mbili kuu za kiraia zilizotolewa na katiba yetu, haki za kuchagua na kuchaguliwa, nazo zimegeuzwa hisani!,
Kwenye issues za haki zetu za kikatiba, jee Watanzania tutaendelea kusubiri kuhisaniwa mpaka lini?.

Naendelea kusistiza mwaka huu wa 2023, Watanzania lazima tufanye kitu.

Asante Mama Samia kwa a political will kuruhusu mikutano ya siasa, kwa utashi tuu hivyo vyama kujiona vimehisaniwa, nakuomba tumia a political will kama hii hii kuwaruhusu Watanzania kuchagua na kuchaguliwa.

Wakati tukisubiria hisani ya Mama Samia kwenye hili, la kumruhusu kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, should we just sit and wait kusubiria hisani kama vyama vya siasa vilivyosubiri hadi leo vilipohisaniwa, or we should do something?. Hiki ndicho nilicho anza nacho mwaka huu Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?

Haki ni stahiki sio hisani!, haki haiombwi na kutegemea hisani, wala haki haihitaji vikao, mikutano na majadiliano, haki hauletewi kwenye kisahani cha chai kama hisani au zawadi, ni stahiki inayopaswa kutolewa unconditional not as a favour or hisani but as a right, au haki, hivyo haki tusizigeuze ni hisani!, haki ni stahiki kutolewa na haiombwi, bali ikibidi kupiganiwa!,

Happy New Year.

Paskali
Tanzania imeshachoka kufanya siasa kilichopo ni maigizo na ushenzi tu.

Vyama vya siasa havipo tena yaliyopo ni magenge ya wahuni tu.
 
Haki ni stahiki sio hisani!, haki haiombwi na kutegemea hisani, wala haki haihitaji vikao, mikutano na majadiliano, haki hauletewi kwenye kisahani cha chai kama hisani au zawadi, ni stahiki inayopaswa kutolewa unconditional not as a favour or hisani but as a right, au haki, hivyo haki tusizigeuze ni hisani!, haki ni stahiki kutolewa na haiombwi, bali ikibidi kupiganiwa!
Utapewa kesi kama Mbowe....nenda taratibu.
 
Wanabodi,
Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, sasa ni nderemo na vifijo nchi mzima!. Na mimi kama Mtanzania mzalendo wa taifa letu, pale linapofanywa jambo jema lolote la kheri kwa mustakabali mwema kwa taifa letu, sina budi kujiunga na wengine wote wanaolitakia mema taifa hili kwa kumpongeza Rais wetu, Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu mikutano ya siasa, kukubali kurekebisha sheria mbalimbali kandamizi na kubwa kuliko, kukubali kuendeleza mchakato wa katiba mpya.

Kwenye hili la kuzuiwa mikutano ya hadhara, kwa vyàma vya siasa
, kwa vile mikutano hiyo ya vyama vya siasa ni kitu ambacho kimeruhusiwa na katiba, kitendo kile cha kuzuia mikutano hii, hakikuwa sawa!, huu ilikuwa ni ukwiukwaji wa wazi kabisa wa katiba ya JMT mchana kweupe!.

Kufanya mikutano ni miongoni mwa haki za vyama vya siasa zilizoainishwa na katiba, hata lile swali langu la Ikulu, kumuuliza rais wa JMT, ametumia mamlaka gani kwenye kifungu kipi cha sheria, kuzuia jàmbo lililoruhusiwa na katiba?, naamini wengi mnajua nilijibiwa nini!.

Sasa leo Rais Samia, alichokifanya kwa kuruhusu mikutano ya siasa, ni kama leo ndio lile swali liameljibiwa kwa mtindo ule ule wa "anayekuja pasi na hodi, huondoka pasi kuaga!", jambo linalozuiliwa kwa utashi tuu wa mtu bila kifungu chochote, cha katiba au sheria, siku ya kuliruhusu jambo hilo, pia ni kwa utashi tuu, wa kiongozi aliyepo, bila kutumia kifungu chochote au sheria yoyote!. Jambo lolote lililozuiliwa, (regardless lilizuiwaje), linaporuhusiwa, hatua ya kwanza ni kushukuru kwa jambo hilo kurusiwa, hivyo Watanzania wote tujiunge pamoja na kusema kwa kauli moja, "Asante Sana Mama".

Baada ya kushukuru, sasa twende ndani kidogo zaidi ya jambo lenyewe lililoruhusiwa, kwa vile mikutano ya siasa ilizuiliwa kwa utashi tuu, na sasa imeruhusiwa kwa utashi tena, tukishukuru na kusema tuu asante bila kutia neno jingine lolote, hii inapelekea suala la mikutano ya siasa kuonekana ni kama jambo la hisani tuu ya rais aliyepo madarakani, JPM alizuia mikutano kwa utashi tuu, na leo Rais Samia ameruhusu mikutano hii kwa utashi na kwa hisani tuu!, swali linabaki ni jee mikutano ya vyama vya siasa ni haki ya vyama kufanya mikutano au ni hisani ya Rais wa JMT aĺlye madarakani?

Kitu kama ni haki, then haki ni stahili sio hisani!, Je sisi Watanzania tutaendelèa kusubiri hadi lini wakati haki zetu na stahili zetu zikigeuzwa kuwa hisani?.

Tena afadhali ya hili la haki ya mikutano ya siasa, limefanywa kwa utashi tuu kwa kutumia kauli tuu, yaani mikutano ilizuiliwa kwa kauli, na sasa imeruhusiwa kwa kauli, lakini kuna na haki nyingine mbili ambazo ndizo haki kuu za kiraia zilizotolewa na katiba yetu, haki za kuchagua na kuchaguliwa, nazo zimegeuzwa hisani!. Haki ya kuchagua yenyewe bado ipo, ila haki ya kuchaguliwa, haipo!, imenyofolewa na kufinyangwa finyangwa hivyo kuonekana kama ipo ila kiukweli ni haipo na mimi mwenyewe ni shahidi wa hili!.

Kwenye issues za haki zetu za msingi za kikatiba, jee Watanzania tutaendelea kusubiri kuhisaniwa mpaka lini?.

Naendelea kusistiza mwaka huu wa 2023, Watanzania lazima tuamke tufanye kitu.

Watanzania tuendelee kuwa watu wa shukrani kwa kushukuru kwa yote, hata kama ni madogo ili tuweze kupatiwa makubwa, hivyo tuendelee kusema
asante sana Mama Samia kwa a good political will la kuruhusu mikutano ya siasa, kwa utashi tuu hivyo vyama na Watanzania kukushukuru kwa hisani yako hii, tunakuomba tumia a political will kama hii hii kuwaruhusu Watanzania wote kuchagua na kuchaguliwa!.

Wakati tukisubiria hisani ya Mama Samia kwenye hili, kupitia marekebisho ya sheria mbalimbali na kumruhusu kila Mtanzania kuchagua na kuchaguliwa, should we just sit and wait kusubiria hisani ya Mama kama vyama vya siasa vilivyosubiri hadi leo vilipohisaniwa, or should we do something?. Hiki ndicho nilicho anza nacho mwaka huu Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?

Haki ni stahiki sio hisani!, haki haiombwi na kutegemea hisani, wala haki haihitaji vikao, mikutano na majadiliano kuzijadili haki, na haki hauletewi kwenye kisahani cha chai kama hisani, fadhila au zawadi, haki ni stahiki inayopaswa kutolewa unconditional not as a favour, hisani au fadhila!. Haki is a right, inayopaswa kutolewa unconditional na isipotolewa, haiombwi, bali hudaiwa, na katika kuidai huku kukishindikana kuidai kwa amani na kisheria, ndipo nguvu hutumika kuipigania, but only pale inapobidi, na ni katika kuipigania huku sometimes machozi, jasho na damu huweza kumwagika!.

Kwa vile Rais wetu Mama Samia, keshaonyesha utashi, kwa kauli na matendo, tuzidi kumuombea ili Mungu amuwezeshe ayaweze yote haya kabla hajamaliza awamu yake hii ya kwanza, ili hata ikitokea akaendelea kwa awamu ya pili, then hiyo itakuwa ni awamu ya shukrani na kumpa asante kwa aliyotatenda, na sio awamu ya kukamilisha ambayo hayakumamilika.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania

Happy New Year.

Paskali
Mkuu Paskali
Kisheria, haikuwa sahihi kuzuia shughuli za kisiasa awamu ile na ilipaswa kabla ya kuruhusu ziendelee rais alipaswa kuweka bayana kuwa katiba na sheria ndiyo mwongozo wa shughuli zote za serikali.

Najua watawala wetu hawawezi kuomba radhi kwa makosa ya makusudi wanayoyafanya lakini kuliweka bayana kuwa katiba na sheria ni mwongozo sahihi na tunapaswa kujikumbusha wakati wote ktk hilo.

Amefanya vyema yes lakini vyema from where? Was it legitimacy decision to ban political activities in Tanzania? Sheria ipi ilitumika na Katiba imeruhusu wapi maamuzi hayo?
 
Mkuu Paskali
Kisheria, haikuwa sahihi kuzuia shughuli za kisiasa
Mkuu Msanii , hii ni kweli, haikuwa sahihi kuzuia mikutano ya siasa, ila pia it's very unfortunately hatuna any serious opposition inayojua wajibu wake!.

Baada ya mikutano kuzuiliwa ukawa wakapanga maandamano nchi nzima, nikamshauri Lissu Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Kuna siku nilikutana na Zitto nikamuuliza

View: https://youtu.be/A_YPEHtM9WM?si=d1GNsfSaX6LaWDox
awamu ile na ilipaswa kabla ya kuruhusu ziendelee rais alipaswa kuweka bayana kuwa katiba na sheria ndiyo mwongozo wa shughuli zote za serikali.
Naunga mkono hoja
Najua watawala wetu hawawezi kuomba radhi kwa makosa ya makusudi wanayoyafanya lakini kuliweka bayana kuwa katiba na sheria ni mwongozo sahihi na tunapaswa kujikumbusha wakati wote ktk hilo.
Naunga mkono hoja
Amefanya vyema yes lakini vyema from where? Was it legitimacy decision to ban political activities in Tanzania? Sheria ipi ilitumika na Katiba imeruhusu wapi maamuzi hayo?
Hili ndio hoja kuu ya bandiko hili, Watanzania tutaendelea kunyamaza hadi lini wakati haki zetu zikigeuzwa ni hisani?.

Uchaguzi Huru na wa haki ni haki sio hisani!.
Kuchagua viongozi unaowataka ni haki sii hisani!.

Ili wananchi wawachague viongozi wanaowataka lazima haki ya kugombea uongozi iwepo, ili mtu kugombea uongozi, haki hii ya kugombea imehisaniwa kwenye chawa cha siasa!.
P
 
Mkuu Msanii , hii ni kweli, haikuwa sahihi kuzuia mikutano ya siasa, ila pia it's very unfortunately hatuna any serious opposition inayojua wajibu wake!.

Baada ya mikutano kuzuiliwa ukawa wakapanga maandamano nchi nzima, nikamshauri Lissu Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Kuna siku nilikutana na Zitto nikamuuliza

View: https://youtu.be/A_YPEHtM9WM?si=d1GNsfSaX6LaWDox

Naunga mkono hoja

Naunga mkono hoja

Hili ndio hoja kuu ya bandiko hili, Watanzania tutaendelea kunyamaza hadi lini wakati haki zetu zikigeuzwa ni hisani?.

Uchaguzi Huru na wa haki ni haki sio hisani!.
Kuchagua viongozi unaowataka ni haki sii hisani!.

Ili wananchi wawachague viongozi wanaowataka lazima haki ya kugombea uongozi iwepo, ili mtu kugombea uongozi, haki hii ya kugombea imehisaniwa kwenye chawa cha siasa!.
P

Naona majibu unayoyaandika yananisogeza kuwa mwanasheria ama mwanasiasa wa msimamo fulani.

Anyways. Ndo narejea kutoka event ya kutoa zawadi kwa washindi wa Strories of Change.

Nitarudi kujenga hoja hapa
 
Kwa vile Rais wetu Mama Samia, keshaonyesha utashi, kwa kauli na matendo, tuzidi kumuombea ili Mungu amuwezeshe ayaweze yote haya kabla hajamaliza awamu yake hii ya kwanza, ili hata ikitokea akaendelea kwa awamu ya pili, then hiyo itakuwa ni awamu ya shukrani na kumpa asante kwa aliyotatenda, na sio awamu ya kukamilisha ambayo hayakumamilika.

Mungu Mbariki Rais Samia
Mungu Ibariki Tanzania

Happy New Year.

Paskali

Hii ni zawadi yangu kwa Birthday ya Mama leo, nilipanga kumpa wiki ya mwisho ya October 2025,

Ili zawadi hii iwe na manufaa kwake, nikisubiri mpaka hiyo 2025, it might be a bit too little too late, kuna ubaya hiyo zawadi, kutolewa mapema mwaka huu ili iweze kutumika mwaka kesho?.

Zawadi yenyewe ni Salaam tuu za Birthday zenye ki parcel fulani!

HBD Mhe. Rais Samia kwa kutimiza miaka 64!, nakupongeza sana na kukuombea afya njema!.

Mwakani 2025 utakuwa unatimiza umri wa miaka 65 na 2030 utakuwa na umri wa miaka 70, hivyo zawadi yangu ya pekee kwako ni HII na kukusisitizia, sio lazima kuizingatia saana kivile, ila ni muhimu kuisikiliza na kujisikilizia kama na wewe pia uliambiwa kama nilivyoambiwa mimi, kwasababu yule YEYE, sometimes ana tabia na mtindo wa kuwaambia watu wake, kupitia kwa watu wengine!, hivyo just listen and try to make sense of this, a think about it, if makes any sense to you, ikitokea it doesn't make any sense to you, then dismiss it as just another set of crap!.

Ila ikitokea na wewe pia uliambiwa, but you are not very sure kama ni YEYE au ni yeye, then don't take a chance!, usipuuze!, maana hicho kitu chenyewe, is nothing compared!.

If this being the case, then tunakuomba sana sana sana, ututekelezee haya mambo tunayokulilia nayo tangu umeingia kwenye usukani, tekeleza tuu yale yaliyomo ndani ya uwezo wako, maana kusubiria post 2025, it might be too little too late!. Please Mama!.

Na ikitokea wewe hujaambiwa mpaka 2025 inaingia na hujawahi kuambiwa na mtu mwingine yeyote, then ipuuze HII itakuwa sio sauti yake YEYE bali itakuwa ni sauti ya yeye tuu ambaye sio YEYE!.

Hivyo endelea na ule mpango wako wa 2025!, na Watanzania wanaolitakia mema taifa letu hili, wote tutakuwa Tuko nyuma yako,
Tuko pamoja nawe,
Tuko nawe!.

Mungu Akubariki Sana!.
HBD Mamaa!.
Paskali
 
Wanabodi,

Kwenye hili la kuzuiwa mikutano ya hadhara, kwa vyàma vya siasa
, kwa vile mikutano hiyo ya vyama vya siasa ni kitu ambacho kimeruhusiwa na katiba, kitendo kile cha kuzuia mikutano hii, hakikuwa sawa!, huu ilikuwa ni ukwiukwaji wa wazi kabisa wa katiba ya JMT mchana kweupe!.

Kitu kama ni haki, then haki ni stahili sio hisani!, Je sisi Watanzania tutaendelèa kusubiri hadi lini wakati haki zetu na stahili zetu zikigeuzwa kuwa hisani?.

Kwenye issues za haki zetu za msingi za kikatiba, jee Watanzania tutaendelea kusubiri kuhisaniwa mpaka lini?.
Paskali
Tanzania tunapaswa kufanya mambo yetu kwa taratibu za kikatiba, sio utashi wa mtu mmoja mmoja hata kama mtu huyo ndio Raisi wa nchi, au waziri,au IGP au Katibu mwenyezi wa CCM nk. Namna hiyo ya uongozi haitatufikisha popote.
Mkuu @Sythesizer, naunga mkono hoja. Siku mikutano ya siasa na maadamano yaliporuhusiwa nilisema mikutano ya vyama na maandamano ni haki na sio hisani!, haki ni kitu stahiki na sio hisani!, karibu mitaa hii
P
 
Back
Top Bottom