TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Ushaanza uchoyo.... dah!

Ama kweli kukataliwa kubaya
Kwanini nikunyime wakati tumepewa buree 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi tu ombi lilikuwa la kuhifadhiwa na sio kudoea P
 
Kwanini nikunyime wakati tumepewa buree 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi tu ombi lilikuwa la kuhifadhiwa na sio kudoea P
Yani ulivyo na roho mbaya na PM umeshaniblock.... Dah

Sasa ombi langu ntalitumaje ukinifamyia hivyo
 
Yani ulivyo na roho mbaya na PM umeshaniblock.... Dah

Sasa ombi langu ntalitumaje ukinifamyia hivyo
Babu kabla hujatuma ombi lako faragha fanya mpango nipate maji kwanza mwenzio sijaoga
 
Wewe najua unataka nife ulilie urithi.

Mimi nyumba zangu hatutumii teknolojia ya kizamani ya ufunguo, tunafungua milango kwa retina scanner.
Nataka nirithi mkeo mkuu. 😄😀😅😁😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
 
Sasa mpaka inafikia hatua ya kuikimbia nyumba yako hadi kuingia mda mbaya kisa kumuepuka mtu si bora muachane tu kila mtu aangalie upande wake?
Kweli dunia ina mengi
Conflict resolution sometimes inahitaji kuptia baadh ya vtu kama hivyo, yes kuachana ni solution moja wapo ila kabla ya kufika huko mnaweza ptia hayo ukashangaa mnakuja pata solution before going separate ways. Like what i mean is there are steps kufikia huko. Sometimes shida ndogo ila watu wanafkia huko kukimbiana wakija kuwekwa chini unakuta wanaweza ponesha ndoa ama relationship yao, kukimbiana doesn't necessarily mean it has to lead to break up.
 
Guest zimeisha ?
 
Oukeeeeyyy
 
Sio GENTAMYCENE kweli? RIP?
 
Case kama hii ilitokea kigamboni mwezi uliopita

Jamaa kaingia nyumban kwa rafiki yake na akaendeleza kumla kimasihara mke wa rafiki yake bahati mbaya ikawa kwake jamaa mwenye mke akarudi bila taarifa

Mwamba katika harakat za kukimbia akuruka ukuta uliokuwa na nondo zilizochongoka zikamchoma tumboni jamaa akapoteza maisha
 
Death Brings Life
Sababu ni kwamba fall of mtu mmoja ni rise ya kiumbe mwingine

Ukiachana na Imani za kidini
Maisha ya mwanadamu yanategemea vitu vingi zaidi (resources) nature inabalance viumbe viendane na resources zilizopo (afe mtu ili azaliwe mwingine)

Hii ukitaka kuelewa ni pale unapoona kuna kipindi kikifika generation ya kwanza (babu na bibi ) hua wanaondoka kupisha vijukuu na vitukuu
Ukichukua age group ya watu 30_45 utakuta wengi wazazi wao au first generation yao haipo na pia wao utakuta tayari washaendeleza kizazi

Nmejarbu kuelezea kwa maandishi sio mwandishi mzuri though Erythrocyte
 
Hata mm mbeya nimenuzurika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…