TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

TANZIA Anayesadikiwa kuwa MwanaJF afariki dunia

Nyumba yake, mgeni wake anagoma kumfungulia mwenye nyumba, ama kweli wanawake mmejaaliwa roho
Wengine tickets Kama hizo hatuzipati,tukacheze mechi za ugenini, ndiyo kwanza tunatafutwa kila dakika na simu hadi wakereka na Mama Mjengo!!!
 
Watu humu mnachangia maoni
Kuhusu marehemu asiyejulikana

Ova
 
Yeye alipokataa kufungua wala hakuwaza hayo. Lakini pia huwezi jua ndoa yao ilikuwaje...ukute marehemu alikuwa aina ya wanaume ambao hawajali hisia za mke bali kujifurahisha yeye mwenyewe kwenye hizo pombe zake jambo ambalo mkewe alikuwa halimfurahishi
Unamtetea mwenzio,marehemu hayupo angejitetea vizuri tu
 
Pole kwa wafiwa..

Mi nilikuwa na mazoea hayo ya kulewa na kurudi usiku naruka hizo nondo asubuhi najikuta nimekwaruzika mwili mzima kisa cha kuacha mchezo huo sitasahau.

Nilirudi siku hiyo kilevi kimezidi kuliko kawaida nikapiga simu na kugonga sikufunguliwa nikachukua maamuzi ya kuruka. Niliacha kila kitu juu ya nondo surwali shati hadi boksa. Nikaingia ndani nikalala na viatu tuu. Asubuhi kidogo mama angu afe kwa presha akajua nimeuliwa nikatupwa juu ya nondo kumbe nguo. Akaingia ndani nimelala uchi akanikagua mzima zaidi ya michubuko tuu. Sitasahau
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yaani sijui nacheka nini ha ha ha, mafuta ulikuwa unaupaka huo mwili kweli au ndiyo walikuta umepauka kama nyau mlala kwenye majiko [emoji23]
 
Bora na ww umejionea.
Na akirudi vurugu. Lipo lipare limoja la makanya linafanya bandari nalo lina tabia za kula starehe huko na madanga halafu likirudi limelewa chakarii linampiga maza angu mdogo.... linanikera natamani hata lipate majanga Leo kesho.

We libaba kama unasoma hapa jua tu kwa matendo yako sikupendi kama m****avi
Pole jirani
 
Yeye alipokataa kufungua wala hakuwaza hayo. Lakini pia huwezi jua ndoa yao ilikuwaje...ukute marehemu alikuwa aina ya wanaume ambao hawajali hisia za mke bali kujifurahisha yeye mwenyewe kwenye hizo pombe zake jambo ambalo mkewe alikuwa halimfurahishi
Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kumuacha mumewe nje, mume ndio kichwa cha familia kwanza, na je unataka kutuambia hakuwaza je jamaa akivamiwa na majambazi hapo getini ?

Mimi siku nikioa,mwanamke anifanyie huo upuuzi naondoka namuachia nyumba naenda kupanga huko
 
Jaman wale mnaopenda kulewa au kuchelewa kurudi majumbani mwenu kwa sababu za starehe kama hizi muwe mnakuwa na funguo za ziada ili ukirudi unajifungulia mwenyewe kuepusha vifo visivyo vya lazima.

Inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie
Huu uzi ni wa muda mrefu, lakini nimewiwa kuongea na mtu huyu...

Kwanza ninamasikitiko sana kama hii stori ni ya kweli, huyo mwanamke atakuwa amehusika moja kwa moja kumuua mumewe, na kama ilikuwa tabia yake kupita kwa kuruka, basi alijitakia kifo..

Hiyo sentensi ya mwisho kila nikiisoma najaa jazba, eti "inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie"

Sentensi imejaa makosa mengi ya kimantiki, na mengine ni ya ujinga tu wa kushindwa kuelewa.

1)Huyo unaemuita mtu siyo mtu tu kama watu wengine...
-Huyo ni mumeo.
-Ametoa pesa kwenu ili kukununua wewe uje umuhudumie.
-Huyo ndiyo kichwa cha nyumba kiongozi wa familia.
-Ndiye mbadala wa baba yako.
-Ndiye kachukua majukumu ya baba yako.
-Kwa hiyo huyo ni kama baba yako.
-Ndiye mwenye jukumu la kukuvisha, kukulisha unashiba mpaka unapata huyo usingizi wako.
-Hapangiwi muda wa kurudi.
-Ni jukumu lako kumfungulia mlango, kumtengea chakula ale, na kuhakikisha ameenda kulala vizuri..

Niishie tu hapa inatosha..

Mimi ukigoma kufungua mlango siku hiyo hiyo unaondoka na hautorudi kamwe..

Mwanaume ukiendekeza ujinga ujinga kwa mkeo unajitafutia kifo cha mapema, siyo hilo la kufunguliwa tu, kuna viujinga ujinga vingi. Ni bora uishi bachela, kuliko kuishi na mwanamke asiyetambua nafasi yako kama baba wa familia.
 
Huu uzi ni wa muda mrefu, lakini nimewiwa kuongea na mtu huyu...

Kwanza ninamasikitiko sana kama hii stori ni ya kweli, huyo mwanamke atakuwa amehusika moja kwa moja kumuua mumewe, na kama ilikuwa tabia yake kupita kwa kuruka, basi alijitakia kifo..

Hiyo sentensi ya mwisho kila nikiisoma najaa jazba, eti "inachosha sana kuamshwa na mtu aliyetoka kwenye starehe zake ukatishe usingizi wako ili umfungulie"

Sentensi imejaa makosa mengi ya kimantiki, na mengine ni ya ujinga tu wa kushindwa kuelewa.

1)Huyo unaemuita mtu siyo mtu tu kama watu wengine...
-Huyo ni mumeo.
-Ametoa pesa kwenu ili kukununua wewe uje umuhudumie.
-Huyo ndiyo kichwa cha nyumba kiongozi wa familia.
-Ndiye mbadala wa baba yako.
-Ndiye kachukua majukumu ya baba yako.
-Kwa hiyo huyo ni kama baba yako.
-Ndiye mwenye jukumu la kukuvisha, kukulisha unashiba mpaka unapata huyo usingizi wako.
-Hapangiwi muda wa kurudi.
-Ni jukumu lako kumfungulia mlango, kumtengea chakula ale, na kuhakikisha ameenda kulala vizuri..

Niishie tu hapa inatosha..

Mimi ukigoma kufungua mlango siku hiyo hiyo unaondoka na hautorudi kamwe..

Mwanaume ukiendekeza ujinga ujinga kwa mkeo unajitafutia kifo cha mapema, siyo hilo la kufunguliwa tu, kuna viujinga ujinga vingi. Ni bora uishi bachela, kuliko kuishi na mwanamke asiyetambua nafasi yako kama baba wa familia.
🚮
 
Bora na ww umejionea.
Na akirudi vurugu. Lipo lipare limoja la makanya linafanya bandari nalo lina tabia za kula starehe huko na madanga halafu likirudi limelewa chakarii linampiga maza angu mdogo.... linanikera natamani hata lipate majanga Leo kesho.

We libaba kama unasoma hapa jua tu kwa matendo yako sikupendi kama m****avi
Mama mdogo hana pa kwenda?
 
Back
Top Bottom