Anayesafiri kwa usafiri binafsi kutoka Dar kwenda Mwanza na anatarajiwa kufika Mwanza walau saa 12 jioni

Anayesafiri kwa usafiri binafsi kutoka Dar kwenda Mwanza na anatarajiwa kufika Mwanza walau saa 12 jioni

Ukuhika zaidi tuma kwa ndege humu kwenye lami mtiahini nguo nyeupe shida
 
Kama unataka mzigo wako ufike saa 12 Nenda ubungo pakia kwenye costa za Arusha ukifika Arusha wapakie kwenye basi za mwanza hizo zinafika mwanza kuanzia saa 11-12
 
This is serious broh. Sio cha msala hiki trust me. Why umuingize mtu innocent kwenye mathow can you
how can you prove yourself innocent?? we have been in trouble from similar cases and we learnt from mistakes!!!!!

tumia public transport kama wewe ni innocent
 
Piga hesabu saa 9 usiku to 1 usiku
Usibishe Gari inayotoka DAR saa9 inafika mwanza saa2 kasoro paka saa3 kwa mabasi yanayokimbia Kama Ally's Na katarama Ila kampuni zingine zinafika saa4 kasoro,, mwanza Ni mbali Aisee Ni Kama umbali wa kilometer 1200 from Dar.
 
Usibishe Gari inayotoka DAR saa9 inafika mwanza saa2 kasoro paka saa3 kwa mabasi yanayokimbia Kama Ally's Na katarama Ila kampuni zingine zinafika saa4 kasoro,, mwanza Ni mbali Aisee Ni Kama umbali wa kilometer 1200 from Dar.
Kwa hiyo saa 2 kasoro siyo saa 1 na dak 45? nimesema saa 12-1 usiku
 
how can you prove yourself innocent?? we have been in trouble from similar cases and we learnt from mistakes!!!!!

tumia public transport kama wewe ni innocent
Shida ni haraka niliyo nayo. Wewe kama huamini my innocence nipe namba yako kama unasafiri. Nitumie pm
 
Back
Top Bottom