wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,203
Kwa hiyo saa 2 kasoro siyo saa 1 na dak 45? nimesema saa 12-1 usiku
Timetable ya Latra gari ya saa 9 muda huo Ndio inakua stand Shinyanga inasaini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo saa 2 kasoro siyo saa 1 na dak 45? nimesema saa 12-1 usiku
SawaTimetable ya Latra gari ya saa 9 muda huo Ndio inakua stand Shinyanga inasaini
Kimiminika. Less thana 1/2 kg
Mwanza na kigoma wapi mbali Zaid?Usibishe Gari inayotoka DAR saa9 inafika mwanza saa2 kasoro paka saa3 kwa mabasi yanayokimbia Kama Ally's Na katarama Ila kampuni zingine zinafika saa4 kasoro,, mwanza Ni mbali Aisee Ni Kama umbali wa kilometer 1200 from Dar.
Mwanza na kigoma wapi mbali Zaid?
Naomba kumpata huyo mtu kama yupo. Nina kiparcel kutoka Dar ambacho natamani kukipokea mida hiyo hapo Mwanza.