Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Moshi ni pagumu kuanza biashara. Ila watu wakiisha kufahamu na ukaunda urafiki nao biashara inakuwa ni nzuri. Watu wanajenga mazoea ya kununua kitu kwa fulani. Hivyo mpaka ujenge jina na kuaminika. Na utasikia watu wakimtaja mtu zaidi kuliko jina la biashara yake.

Hivyo kama ndio unaanza inabidi uwe mvumilivu na utoe huduma ya uhakika kufikia kuaminiwa na kutambulika.

Ukweli mtupu
 
Hata kwa wazawa bado ni pagumu kibiashara maana kuna maBIG Fish tayari, labda usifanye hizi traditional businesses
Hao ma Big Fish ndio hasa wanaokwamisha harakati yani😂 ndio maana mji unakuwa mgumu! Yani we ukienda na biashara ambayo hutasumbuliwa isiwe business nyepesi iwe labda ni corporate business ila hizi za kawaida sijui mpesa,duka la nguo,bar ama vitu vya aina hio mizengwe ipo. Nilishatumiwaga askari wakaja kunipiga hela.
 
Daah karibu mi nitakuwa mwenyeji wako
Mkuu Moshi manispaa hunipotezi eneo lolote labda kdc ndio kidogo ntapotea ila tuambiane ukweli ulivyo kufanta biashara uchagani kunahitaji sana kujulikana wewe ni wa wapi, shika hili 'wewe ni wa wapi'

Ndio maana hata wewe utawaita wageni wafanyabiashara kwa makabila yao hadi maeneo tu ya biashara yapo tofauti kuna maeneo wengi wapare na wasambaa, alafu mchaga atakwambia siwezi nunua jeans za kisambaa [emoji23][emoji23] ukweli au uongo mleta uzi?

Hii ipo sana mfano stend tu pale gorofani mgeni amawezaje fanya biashara?, Embu sema tu Mkuu?, picha linaanza stand gorofani ukifika tu mfanyabishara mwenyewe anakujua ni homeboy anakuita utamkataaje dogo wa kitaa uende kwa mgeni mgeni kweli?

Moshi padogo sana na hii inachangia hili swala, yani ukiwa town unaweza kuta unafahamiana na wafanyabiashara wengi wa mahitaji uliyofuata, kwanini usinunue kwao sasa ukamtosa mgeni
 
Mkuu
Unawezaje kusema kwa watu wenye akili timamu kwamba wageni wote wanaofanya biashara na kufanikiwa Moshi wanafanya biashara haramu?
Utafiti wako ulifanyia wapi na sample ya watu wangapi?
Hao wageni sijui wasambaa na wenzao ni wanaroga kichizi ndio maana wanastahimili na biashara zao ni za kipuuzi tu kama kuosha carrot, kuuza samaki na mazaga mengine ya sokoni!

Mchaga hanaga wivu na biashara za kitoto kama hizo😂!

Kyasaka fungua fremu utie mtaji wa kueleweka uone. Duka la simu kubwa stand kuu, fungua fremu double road, mbuyuni uone mziki wake! Kwanza hio fremu yenyewe kuipata ni mziki lazma upigwe sana hela!
 
Hao ma Big Fish ndio hasa wanaokwamisha harakati yani[emoji23] ndio maana mji unakuwa mgumu! Yani we ukienda na biashara ambayo hutasumbuliwa isiwe business nyepesi iwe labda ni corporate business ila hizi za kawaida sijui mpesa,duka la nguo,bar ama vitu vya aina hio mizengwe ipo. Nilishatumiwaga askari wakaja kunipiga hela.

[emoji23][emoji23]upo sawa kabisa mkuu. Na ukianzisha hizi biashara za kawaida uwe mvumilivu kweli hadi watu waizoee na wakuzoee.
 
Moshi ni pagumu kuanza biashara. Ila watu wakiisha kufahamu na ukaunda urafiki nao biashara inakuwa ni nzuri. Watu wanajenga mazoea ya kununua kitu kwa fulani. Hivyo mpaka ujenge jina na kuaminika. Na utasikia watu wakimtaja mtu zaidi kuliko jina la biashara yake.

Hivyo kama ndio unaanza inabidi uwe mvumilivu na utoe huduma ya uhakika kufikia kuaminiwa na kutambulika.
Hili ndio linajibu thread ya mwamba hapo kuhusu ugumu wenyewe😂!
 
Mkuu Moshi manispaa hunipotezi eneo lolote labda kdc ndio kidogo ntapotea ila tuambiane ukweli ulivyo kufanta biashara uchagani kunahitaji sana kujulikana wewe ni wa wapi, shika hili 'wewe ni wa wapi'

Ndio maana hata wewe utawaita wageni wafanyabiashara kwa makabila yao hadi maeneo tu ya biashara yapo tofauti kuna maeneo wengi wapare na wasambaa, alafu mchaga atakwambia siwezi nunua jeans za kisambaa [emoji23][emoji23] ukweli au uongo mleta uzi?

Hii ipo sana mfano stend tu pale gorofani mgeni amawezaje fanya biashara?, Embu sema tu Mkuu?, picha linaanza stand gorofani ukifika tu mfanyabishara mwenyewe anakujua ni homeboy anakuita utamkataaje dogo wa kitaa uende kwa mgeni mgeni kweli?

Moshi padogo sana na hii inachangia hili swala, yani ukiwa town unaweza kuta unafahamiana na wafanyabiashara wengi wa mahitaji uliyofuata, kwanini usinunue kwao sasa ukamtosa mgeni

Pia spending habits za watu wa Moshi ziko chini sana iwe ni luxury au non-luxury goods, labda kwenye pombe.
 
Hao wageni sijui wasambaa na wenzao ni wanaroga kichizi ndio maana wanastahimili na biashara zao ni za kipuuzi tu kama kuosha carrot, kuuza samaki na mazaga mengine ya sokoni!

Mchaga hanaga wivu na biashara za kitoto kama hizo[emoji23]!

Kyasaka fungua fremu utie mtaji wa kueleweka uone. Duka la simu kubwa stand kuu, fungua fremu double road, mbuyuni uone mziki wake! Kwanza hio fremu yenyewe kuipata ni mziki lazma upigwe sana hela!
Alafu wanataka tuwape nchi?

Pambafuuu
 
Moshi kugumu kupata ardhi ya kuwekeza mgeni

Hadi manispaa ya moshi inashindwa kupanuka sababu hiyo

Miji midogo kibao inakua kwa kasi lakini mji wa moshi upo utafikiri umepigwa bomu .Kisa ubahili wa kutoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye pesa wawekeze
 
Moshi kugumu kupata ardhi ya kuwekeza mgeni

Hadi manispaa ya moshi inashindwa kupanuka sababu hiyo

Miji midogo kibao inkua kwa kasi lakini mji wa moshi upo utafikiri umepigwa bomu .Kisa ubahili wa kutoa ardhi kwa wawewkezaji wageni wenye pesa wawekeze
Hawataki watu wapatie utajiri kwao😂
 
Ila wao wanapenda kupatia utajiri kwa wengine very interesting
Eeh ni wabinafsi hao raia, yani Moshi biashara kama hujulikani utasota sana na uombe isife wakati una struggle maana ndio furaha yao!

Ila mikoa mingine mikubwa huwa biashara hazina majina yani we fungua Mbagala utauza, hamia Goba utauza tu, nenda Mbezi beach utauza tu! Na ndio maana hapa town watu hawataki kuondoka wanazidi kujazana tu.
 
Aisee mikoa ya kaskazini inasifika kwa ubinafsi sana. Waache hiyo tabia wakuze miji yao zaidi. Miji isiyo na ubinafsi huwa inakua kwa kasi sana.
N i kweli miji wasio wabinafsi inakua kwa spidi ya hatari

Mfano mzuri Dar es salaam .Wazaramo hawana shida ukitaka ardhi hiyo hapo anakuuzia chap chap yeye huyo anahamia porini.Mwenye pesa mpishe,Mji ukipanuka ukimfikia ukitaka kumnunua hana shida lete pesa mapori bado yako kibao anakuuzia huyo anaenda sehemu ingine anajenga anasema mimi hapa nakalia nini kwa maisha gani niliyonayo lete hizo milioni 50 niangalie mbele kwa mbele!! Hivyo unakuta jiji linapanuka kwa spidi ya 5G .Na fursa kibao zinafunguka

Lakini ardhi nyingi moshi hazina uwekezaji cha maana kilichoko kwenye hizo ardhi wanachokithamini sana ni makaburi tu .Otherwise ni useless land ambayo sehemu kubwa ina uhusiano tu na mortuary kubeba wachaga kwenda kuzika na nyumba tu za kuishi zinazotumika tu kipindi cha christmas!!! Mchaga vitu vikubwa ambavyo hujenga kwao ni nymba ya kufikia chrismas na mazishi sio uwekezaji.

Ukiikuta ardhi tupu kule ipo kwa ajili ya kanyumba ka KRISMAS wenyewe hawako Moshi HAWAJAJENGA NA ni eneo linalosubiri kuzika wachaga wa ndani na nje ya nchi watakaofariki!!!!
 
Moshi kugumu kupata ardhi ya kuwekeza mgeni

Hadi manispaa ya moshi inashindwa kupanuka sababu hiyo

Miji midogo kibao inakua kwa kasi lakini mji wa moshi upo utafikiri umepigwa bomu .Kisa ubahili wa kutoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye pesa wawekeze
Mchagga sio mjinga auze ardhi yake kipuuzi.

Kama yeye kashindwa kuwekeza basi mtoto au mjukuu wake ataikuta awekeze..

Nyie panueni miji yenu wala hakuna taabu
 
Back
Top Bottom