Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Kutokana na Moshi kutotoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye uwezo ili wapanue ajira sasa hivi Moshi ndio inaongoza kwa kutoa wafanyakazi wengi mabaa maid kwenye baa za watu mikoa mingine Tanzania nzima inasikitisha
So hawa kina Manka wengi ni mabar maids.
 
Sasa kwanini wasiwekeze zaidi kwao ambako ardhi iko tele, wanasifika kwa biashara na uwekezaji miji ya watu ilhali miji yao ni halijojo aisee inashangaza sana.
Ukiwa ambia wachagga wote warudi moshi hapata tosha kama watarudi wote.
 
Dah. Nikama mmenifungua macho au ndio mnanipotosha.
Hawa ni WABNAFSI hivyo.
Mbona wengi ndio WANAHARAKATI kwa siasa za sasa hapa Tz?
 
Jambo lingine wachaga hawasahau kwao hata siku moja na kumbuka wamepafanya kwao kuwe nibsehemu yenya makazi ya kuishi, ndio maana wamejenga zaidi makazi kuliko vitu vingine.
Nakubali kwa eneo la ujenzi wanaongoza maeneo makuu mawili ujenzi wa nyumba za makazi ambazo kazi yake kubwa Ni moja kufikia wakati wa Krismasi na pili kufikia waombolezaji waliopeleka msiba

Ujenzi wa pili wasiousahau Ni wa kuzika kwao na kujenga makaburi ya waliowazika

Haya ndio hasa utasokia ohh mchaga lazima ajenge kwao!!!!

Makabila Mengine definition ya kwao Ni pale anapopatia Riziki iwe Dar ,Mwanza au popote .Anaweka kambi hapo.Mchaga Akisema kwao definition kubwa Ni Krismasi na kuzikwa!!! Hamna kingine Cha ziada.Muulize mchaga yeyote ana Nini Cha ziada kafanya kwao zaidi ya kujenga nyumba ya kufikia Krismasi na misiba na kujenga makaburi kwao.Ana Nini Cha ziada? Wengi wao hamna kitu
 
Nakubali kwa eneo la ujenzi wanaongoza maeneo makuu mawili ujenzi wa nyumba za makazi ambazo kazi yake kubwa Ni moja kufikia wakati wa Krismasi na pili kufikia waombolezaji waliopeleka msiba

Ujenzi wa pili wasiousahau Ni wa kuzika kwao na kujenga makaburi ya waliowazika

Haya ndio hasa utasokia ohh mchaga lazima ajenge kwao!!!!

Makabila Mengine definition ya kwao Ni pale anapopatia Riziki iwe Dar ,Mwanza au popote .Anaweka kambi hapo.Mchaga Akisema kwao definition kubwa Ni Krismasi na kuzikwa!!! Hamna kingine Cha ziada.Muulize mchaga yeyote ana Nini Cha ziada kafanya kwao zaidi ya kujenga nyumba ya kufikia Krismasi na misiba na kujenga makaburi kwao.Ana Nini Cha ziada? Wengi wao hamna kitu
Ok Mkuu, mkataa kwao mtumwa, mimi nizaliwe Moshi then kije kusema Dar ni kwetu ei kisa ndio sehemu nafanya mishe zangu, hiyo hapana Mkuu hapa nitabaki kuwa Mgeni wa Jiji ila kwetu ni Moshi daima.

Hivi Mkuu wewe ukienda kwa ndugu wa baba/mama yako utapakataa kwa wazazi wako kuwa sio kwenu? kama jibu ni ndio basi sina mjadala tena na wewe Mkuu.
 
Ok Mkuu, mkataa kwao mtumwa, mimi nizaliwe Moshi then kije kusema Dar ni kwetu ei kisa ndio sehemu nafanya mishe zangu, hiyo hapana Mkuu hapa nitabaki kuwa Mgeni wa Jiji ila kwetu ni Moshi daima.

Hivi Mkuu wewe ukienda kwa ndugu wa baba/mama yako utapakataa kwa wazazi wako kuwa sio kwenu? kama jibu ni ndio basi sina mjadala tena na wewe Mkuu.
Ukioa au kuolewa na mtu asiye mchaga kwa watoto kwao Ni wapi?

Maana siku hizi wachaga mnaoa Sana na kuolewa na makabila Mengine hao watoto kwao kutakuwa wapi? Na wajukuu watakuwa kwao wapi ?
 
IMG_4745.jpg

Viwanja vipo, karibuni Moshi
 
View attachment 1894253
Viwanja vipo, karibuni Moshi
Abiria chunga mfuko wako kununua ardhi Moshi Hadi ukoo uridhie epuka kutapeliwa na hawauzi kwa chasaka yaani mtu mgeni wa kuja

Viwanja halali vingekuwa tu vile vinauzwa na Halmashauri.Usinunue kwa mtu binafsi au private estate companies utakuwa Kila siku kesi mahakamani kwa miaka na pesa imeondoka.Serikali ndio ikuuzie hapo sawa .Sababu likitokea la kutokea wao ndio watawajibika
 
wale matajiri wabobezi wengi weshatangulia mbele ya haki.....watoto wao wameshika mji....na wana pesa kwei kwei.......ukiingia moshi na ukaanzisha very creative business,,,...wao ndio watakuwa wateja wako wakuu....na watajenga urafiki na wewe.....kuna mawili...ukubali kuwapatia hisa au kuwauzia hiyo biashara.....kataa yote utajishangaa....nimekulia pale, nimesomea pale na ni my homeland.....na wengi nimesoma nao...kizazi cha kili boys, kolila, namfua, kibo, mawenzi na moja nimeishau iko pande za kibosho ....maduka, petrol station, workshop, hardware, bar......yaani kila kitu....thats why moshi pako vile vile daily....zaidi ya kpiga rangi ...nothing more..
 
N i kweli miji wasio wabinafsi inakua kwa spidi ya hatari

Mfano mzuri Dar es salaam .Wazaramo hawana shida ukitaka ardhi hiyo hapo anakuuzia chap chap yeye huyo anahamia porini.Mwenye pesa mpishe,Mji ukipanuka ukimfikia ukitaka kumnunua hana shida lete pesa mapori bado yako kibao anakuuzia huyo anaenda sehemu ingine anajenga anasema mimi hapa nakalia nini kwa maisha gani niliyonayo lete hizo milioni 50 niangalie mbele kwa mbele!! Hivyo unakuta jiji linapanuka kwa spidi ya 5G .Na fursa kibao zinafunguka

Lakini ardhi nyingi moshi hazina uwekezaji cha maana kilichoko kwenye hizo ardhi wanachokithamini sana ni makaburi tu .Otherwise ni useless land ambayo sehemu kubwa ina uhusiano tu na mortuary kubeba wachaga kwenda kuzika na nyumba tu za kuishi zinazotumika tu kipindi cha christmas!!! Mchaga vitu vikubwa ambavyo hujenga kwao ni nymba ya kufikia chrismas na mazishi sio uwekezaji.

Ukiikuta ardhi tupu kule ipo kwa ajili ya kanyumba ka KRISMAS wenyewe hawako Moshi HAWAJAJENGA NA ni eneo linalosubiri kuzika wachaga wa ndani na nje ya nchi watakaofariki!!!!
Tabia chafu sana hii kubania wengine wasipate na wewe muda huo huo hupati chochote msyuuuuuuuu
 
Abiria chunga mfuko wako kununua ardhi Moshi Hadi ukoo uridhie epuka kutapeliwa na hawauzi kwa chasaka yaani mtu mgeni wa kuja

Viwanja halali vingekuwa tu vile vinauzwa na Halmashauri.Usinunue kwa mtu binafsi au private estate companies utakuwa Kila siku kesi mahakamani kwa miaka na pesa imeondoka.Serikali ndio ikuuzie hapo sawa .Sababu likitokea la kutokea wao ndio watawajibika
Hawa wachagga wa huku Kilimanjaro wanapenda sana kesi uchwara
 
Mchagga sio mjinga auze ardhi yake kipuuzi.

Kama yeye kashindwa kuwekeza basi mtoto au mjukuu wake ataikuta awekeze..

Nyie panueni miji yenu wala hakuna taabu
Huo ni upumbavu na ukosefu wa akili. Wewe weka hiyo ardhi MUNGU atakuletea mjukuu m'moja bange na cha pombe ataiuza kwa bei nafuu kuliko pesa uliyokataa ukishakufa.

Hivi ninyi watu mnaowaza kuwa wengine wasipate ila upate wewe tu hizi akili huwa mnatoa wapi?!

Wewe hapo unasema hivyo halafu upo mikoa ya wengine na umekaribishwa na umeomba nafasi ya kiwanja na umeanzisha biashara na unaishi bila kubaniwa. Sasa wewe kwann uzingue wengine?!

Tabia chafu hizo za kibinafsi.
 
shida inakuja kuwa waliobaki moshi kuna umaskini mkubwa wa kutupwa kule ajira hamna hata ya kuchoma tu mishikaki!! inabidi wakimbie waende mikoa mingine kuajiriwa kazi ya kuchoma mishikaki grocery ya mangi mwenzao ,Na wakishafika mikoa mingine wakajenga vitega uchumi vikubwa mahoteli ya nguvu nk hawarudi tena kuwekeza moshi .Mikodi mikubwa kuanzia ya manispaa inalipwa huko walikowekeza mikoa mingine kwao moshi mgambo wanakuwa kazi kukimbizana na akina mama wauza nyanya na vitunguu vya mafungu na watembeza matunda kuuzia wasafiri stendi kuu koo ya mabasi moshi mjini!!!!

vizaz vingi vimepita tend ni hiyo hiyo.Kwa hiyo unategemea mjukuu aje kuwekeza Moshi mahali ambapo population haiongezeki inapungua siku hadi siku kwa kuhamia mikoa mingine kutafuta riziki?

Trend ya population ya moshi ni exodus sio indus ,WEngi wanatimua sio wanaingia!!! na wakishajijenga hata wakifa watoto na wajukuu watabaki kusimamia vitega uchumi vya wazazi vilivyoko mikoa hiyo waliko wazazi
Kuna msemo 'roho mbaya haijengi inabomoa' hawa wanajamii wenzetu tabia zao za kibinafsi haziwezi kuzaa matunda.

Uzuri malipo na kujifunza ni hapa hapa duniani. Wala sio chuo kikuu.
 
Abiria chunga mfuko wako kununua ardhi Moshi Hadi ukoo uridhie epuka kutapeliwa na hawauzi kwa chasaka yaani mtu mgeni wa kuja

Viwanja halali vingekuwa tu vile vinauzwa na Halmashauri.Usinunue kwa mtu binafsi au private estate companies utakuwa Kila siku kesi mahakamani kwa miaka na pesa imeondoka.Serikali ndio ikuuzie hapo sawa .Sababu likitokea la kutokea wao ndio watawajibika

Kwahiyo Mkuu hao Kambele si kampuni iliyosajiliwa na kupewa kibali na Serikali? Au hii imekaaje?
 
Back
Top Bottom