Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Umeona eeh. Yaani ni bampa to bampa, ukisita wanakuchomekeaNoma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeh. Yaani ni bampa to bampa, ukisita wanakuchomekeaNoma sana
Kwahiyo unajisifu na kuona fahari mabinti zenu kuwa na tabia za ajabu ...!Sure nadhani pia ni ukosefu wa elimu pia unachangia yaani ile elimu ya kuhamasishwa not formal education.
Umesema wakike wameanza kuacha viburi na tamaa za mali hili bado wanalo labda mmoja mmoja wa bahati sana.
Kuutetea ukabila kwa kujidai haupo ni kazi ngumu pia.
Mgeni ni rahisi kutoboa Moshi ukiwa unafanya biashara haramu na ku cover kwa biashara halali ambayo itakuwa haina wateja.
Mchagga hawezi kuliacha duka la Mchagga mwenzie aje kununua kwako Mmatengo
Aaaah kuna sehemu zimezidi aisee....... Kama huko Kilimanjaro, Bukoba huko Zanzibar.... Yaani matabia ya ajabu sanahii ni shida ya Tanzania yote, ukabila upo kila mkoa nchi hii..... Binafsi naomba haya makabila yafutike tu yasiwepo tubaki watanzania tu...
Aaaah kuna sehemu zimezidi aisee....... Kama huko Kilimanjaro, Bukoba huko Zanzibar.... Yaani matabia ya ajabu sana
Sijajisifu mkuu lakini acha wale jeuri yao mkuu 😅 mi mwenyewe siwaelewi, aiseee hawa mademu wanadharau hizo daaah tena wengi wawe wametoka familia ambazo portifolio inasomaga, au demu ashike milioni moja mbili daah.Kwahiyo unajisifu na kuona fahari mabinti zenu kuwa na tabia za ajabu ...!
Sijaona wanaojua vagi huku, zaidi ni vipanya road vimejaa vinajiita Charlii ya R.Ukibishana utatolewa damu si upo arusha
Bero ni upumbavu tu. Kwetu Musoma watu walokuwa wanapigwa vishoka na mapanga wewe unaongelea mabero wanayotumia mateja ???🤣🤣Arusha huwa sipapendi kukitwa bero ni saa yoyote.
Sijawahi kuona vagi la kutisha huku zaidibya watu kutumia bastola na mateja kusumbua watu na kukaba. Ila hakuna anayeweza vita.😅😅😅🙌🙌🙌🙌
Daaah kwani kaskazini kuna kitu tena vyuma vimekaza bado, utalii amna, mererani hakutemi jeuri wanatoa wapi?Sijawahi kuona vagi la kutisha huku zaidibya watu kutumia bastola na mateja kusumbua watu na kukaba. Ila hakuna anayeweza vita.
Musoma siku hizi watu wamemua tu kuachana na fujo.
Sialikwagi kipindi cha hija so sionagi tofauti yoyoteNi wewe tu mkuu, ungetakiwa urudi wa kwanza au wa pili mwakani. Moshi kuanzia mwezi wa 12 kunajaa
Mtaa ganNipo mkuu moshi nimejaa kama maji kwa ndoo mpaka namwagika.