Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Kutokana na Moshi kutotoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye uwezo ili wapanue ajira sasa hivi Moshi ndio inaongoza kwa kutoa wafanyakazi wengi mabaa maid kwenye baa za watu mikoa mingine Tanzania nzima inasikitisha
Ukiwa na ubinafsi then kizazi chako ndicho kitalipia na si wewe?!
 
Mkuu kama Moshi kuna umasikini wakutupwa, basi maeneo mengine ya Tz ni fukara kabisa. Bila ushabiki huo umasikini haupo Moshi.

Jambo lingine wachaga hawasahau kwao hata siku moja na kumbuka wamepafanya kwao kuwe nibsehemu yenya makazi ya kuishi, ndio maana wamejenga zaidi makazi kuliko vitu vingine.
Siku hizi m'mebakia mikwara tu na maneno ila jeuri sio kama mnavyojinasibu.

Mimi nina makazi hapo Moshi. Kumepoa sana na hali ya sasa ya uchumi dah aisee . Ila Moshi ni mji mzuri sana wa kupumzika na kujiliwaza. Ukimchukua mtu aliezoea Moshi Moshi umlete Dar miaka hii anaweza kirukwa akili.
 
Eeh ni wabinafsi hao raia, yani Moshi biashara kama hujulikani utasota sana na uombe isife wakati una struggle maana ndio furaha yao!

Ila mikoa mingine mikubwa huwa biashara hazina majina yani we fungua Mbagala utauza, hamia Goba utauza tu, nenda Mbezi beach utauza tu! Na ndio maana hapa town watu hawataki kuondoka wanazidi kujazana tu.
Kuna jamaangu alifungua duka hapo chugani ,yeye ni mtu wa mbeya ,duka kaweka katikati ya watu wa huko(wenyeji) ,alifanyafanya biashara kisela badae wakaja mpiga tukio,ilivunjwa frem yake pekee ,wakasepa na mzigo wote,akaamua kutemana na biashara ya duka akahama na mkoa kabisa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Mwamba ametawaliwa na hisia zaidi inasikitisha
Hawa ndio wanaokaa na babu zao wale mababu wenye itikadi za ubaguzi wanajadili namna ya kuwabagua jamii nyingine wao wapate. Vizee vigine bwana ona sasa vimewatia nuksi wajukuu zao.
 
Kuna jamaangu alifungua duka hapo chugani ,yeye ni mtu wa mbeya ,duka kaweka katikati ya watu wa huko(wenyeji) ,alifanyafanya biashara kisela badae wakaja mpiga tukio,ilivunjwa frem yake pekee ,wakasepa na mzigo wote,akaamua kutemana na biashara ya duka akahama na mkoa kabisa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ndio zao hizo yani, acha tu yule hayati msukuma awachukie wana hila sana hao jamaa
 
Mjibu simple tu hao ni wenyeji, sio wageni wakuja hao wengi wamezaliwa na kukulia hapo hapo. Na pia hao anaowataja na maeneo ni hapo kati kati ya mji ambapo wanakuja watu mchanganyiko kufuata mahitaji ila akisogee majengo, kiboriloni, soweto, rau, kcmc,kibosho,shanty, mbokomu, mfumuni n.k ambapo ndipo kwenye wakazi aone hao anaowataja wanafanya biashara vipi.

Moshi kwa mgeni kibiashara pagumu sana sio utani, labda uende na mtaji mkubwa na biashara tofauti, kidoogo utapata unafuu.
Sasa hii ni Chuki na Roho mbaya
 
Mkuu Moshi manispaa hunipotezi eneo lolote labda kdc ndio kidogo ntapotea ila tuambiane ukweli ulivyo kufanta biashara uchagani kunahitaji sana kujulikana wewe ni wa wapi, shika hili 'wewe ni wa wapi'

Ndio maana hata wewe utawaita wageni wafanyabiashara kwa makabila yao hadi maeneo tu ya biashara yapo tofauti kuna maeneo wengi wapare na wasambaa, alafu mchaga atakwambia siwezi nunua jeans za kisambaa [emoji23][emoji23] ukweli au uongo mleta uzi?

Hii ipo sana mfano stend tu pale gorofani mgeni amawezaje fanya biashara?, Embu sema tu Mkuu?, picha linaanza stand gorofani ukifika tu mfanyabishara mwenyewe anakujua ni homeboy anakuita utamkataaje dogo wa kitaa uende kwa mgeni mgeni kweli?

Moshi padogo sana na hii inachangia hili swala, yani ukiwa town unaweza kuta unafahamiana na wafanyabiashara wengi wa mahitaji uliyofuata, kwanini usinunue kwao sasa ukamtosa mgeni
Ubora wa bidhaa na sio kuangalia sura
 
Kuna jamaangu alifungua duka hapo chugani ,yeye ni mtu wa mbeya ,duka kaweka katikati ya watu wa huko(wenyeji) ,alifanyafanya biashara kisela badae wakaja mpiga tukio,ilivunjwa frem yake pekee ,wakasepa na mzigo wote,akaamua kutemana na biashara ya duka akahama na mkoa kabisa

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mimi sasa hivi niko huku, nawacheki tu. Nisipofilimba mtu huku basi Mungu anisaidie tu, maana hawa jamaa huwa wana mikwara utafikori hata fujo zenyewe wanaziweza.
 
Anamaanisha CHADEMA
Aaah sawa kumbe ni Chama Tatizo watanzania hawaelewi ukabila upo kila mahali na sio kwa wachagga tu watu wote unaojua wapo Tanzania bara ni wakabila 😋😋
 
Mimi sasa hivi niko huku, nawacheki tu. Nisipofilimba mtu huku basi Mungu anisaidie tu, maana hawa jamaa huwa wana mikwara utafikori hata fujo zenyewe wanaziweza.
Ukibishana utatolewa damu si upo arusha
 
Ndio zao hizo yani, acha tu yule hayati msukuma awachukie wana hila sana hao jamaa
Uzuri wa JF "WE DARE TO SPEAK OPENLY" hakuna makando makando. Wahusika wasikie na wajifunze na kurekebika.

Jamii yoyote ili iendelee inahitaji kushirikiana na wenzao na kuwa na upendo. Tanzania hatujafika hapa kimiujiza ni kutokana na umoja na kushirikiana.

Sasa kunapokuwa na wenzetu wanaoleta itikadi za kibaguzi either kidini au kabila sisi kazi yetu nikuwanyoosha na kuwakemea hadi wajue kuwa wanatoka nje ya mstari.

So tunawanyoosha kwa kusema ukweli na kuwapa makavu.......
 
Huo ni upumbavu na ukosefu wa akili. Wewe weka hiyo ardhi MUNGU atakuletea mjukuu m'moja bange na cha pombe ataiuza kwa bei nafuu kuliko pesa uliyokataa ukishakufa.

Hivi ninyi watu mnaowaza kuwa wengine wasipate ila upate wewe tu hizi akili huwa mnatoa wapi?!

Wewe hapo unasema hivyo halafu upo mikoa ya wengine na umekaribishwa na umeomba nafasi ya kiwanja na umeanzisha biashara na unaishi bila kubaniwa. Sasa wewe kwann uzingue wengine?!

Tabia chafu hizo za kibinafsi.
Tabia hizo kama za Wanaigeria
 
Aaah sawa kumbe ni Chama Tatizo watanzania hawaelewi ukabila upo kila mahali na sio kwa wachagga tu watu wote unaojua wapo Tanzania bara ni wakabila [emoji39][emoji39]
Haiwezekani nchi nzima msemwe ninyi tu hauoni kama ni tatizo, mfike muda muwe na aibu basi .

Wewe umeshawahi kwenda mikoa mingine ukaona mapokezi yao.....?!

Mikoa mingine mbona watu wanakwenda na hawakutani na vituko wala hila. Ila Hapo wilayani Moshi na hata wilaya zingine za Kilimanjaro haya matabia ya umimi mnayo sana. Ila uzuri ni kuwa mnajifunza taratibu maana naona hata mabinti zenu wanaacha viburi na tamaa za mali taratibu.

So soon mtarekebika na kujua hamuishi katika ulimwengu wa pekeee yenu hapa tanzania.
 
Haiwezekani nchi nzima msemwe ninyi tu hauoni kama ni tatizo, mfike muda muwe na aibu basi .

Wewe umeshawahi kwenda mikoa mingine ukaona mapokezi yao.....?!

Mikoa mingine mbona watu wanakwenda na hawakutani na vituko wala hila. Ila Hapo wilayani Moshi na hata wilaya zingine za Kilimanjaro haya matabia ya umimi mnayo sana. Ila uzuri ni kuwa mnajifunza taratibu maana naona hata mabinti zenu wanaacha viburi na tamaa za mali taratibu.

So soon mtarekebika na kujua hamuishi katika ulimwengu wa pekeee yenu hapa tanzania.
Sure nadhani pia ni ukosefu wa elimu pia unachangia yaani ile elimu ya kuhamasishwa not formal education.

Umesema wakike wameanza kuacha viburi na tamaa za mali hili bado wanalo labda mmoja mmoja wa bahati sana.
 
Back
Top Bottom