Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Anayesema Moshi pagumu kwa wageni, ugumu wake ni nini?

Nimejitahidi kusoma komenti za wadau ili na mimi nipate kitu kuhusu hili,wengi katika comment wamewashupalia jamii ya Wachagga kwamba ni wabinafsi n.k. lakini in deep down wengi wa waliotoa komenti ni chuki tu binafsi dhidi ya jamii ya Wachagga na hakuna lingine. Lakini hili swala la kusema hilo kabila ni wabinafsi mara moshi ni pagumu kutoka kibiashara hamjaliangalia katika Angle zingine.

Kabla ya kuwadis Wachagga mmeshajiuliza haya maswali.
1.mfumo wa kiutawala wa kichaga wa mangi miaka hiyo ulikuaje?
2.je unazijua koo za kichaga zilizopigana na zenye mabifu hadi leo (lyamungo sec vs umbwe sec clash)
3.mshajiuliza kwanini sera ya ujamaa ya nyerere haikufanikiwa kupenya uchagani kwa asilimia kubwa? Ujamaa uliishia tu maeneo ya mtakuja,newland, chekereni and the like kule kwenye mashamba ya tpc. haukufanikiwa kupenya huku juu migombani kwenye ubichi ubichi throughout the year.
4.mmeshawahi kujiuliza Wachagga ni vita ngapi wamezipiga na jamii ya nilotes (maasai) kutetea kidogo walichonacho (ardhi).?
5.mmeshajiuliza ardhi ya uchagani ina ukubwa gani ukilinganisha na mikoa mingine?.
6.je mmeliangalia kwa jicho la kijiografia hili swala la ardhi ya uchagani ?
7.mnajua kitu kinaitwa KIAMBA SYSTEM Uliopo uchagani?
Anyway....

Mnapowadis Wachagga kwamba ni wabinafsi hiyo hali haijaamuliwa na utashi wa Kabila bali ni many factors ikiwemo natural ,socio, historical na geographical n.k. ambazo nyingine sio rahisi kuzielezea hapa maana watu humu wana comment mihemko tu pasipo kufanya fact check.
Tembeeni mfanye kuwauliza wazee kuhusu uchagani kukoje watakupa what is /was going on behind the scenes.
Hata kwenye biblia kuna mstari unasema tembeeni huku na huko mpate kuuliza...[emoji38][emoji38]. Tatizo wa tz tuna ile hali ya kulishana Matango pori sana kuhusu jamii fulani haswa ikiwa jamii hiyo ina ushawishi au imefanikiwa katika nyanja fulani ya maisha.

N:B ni ngumu sana kushindana na mtu mwenye exposure ya huko duniani .
Na hizi chuki za kuwadis Wachagga zimeshamiri sana kipindi cha utawala uliopita na wala hazina tija sana na hazitawarudisha nyuma jamii hiyo kwenye kuisaka hela maana kuna msemo unasema if you can't beat e'm join them.
TUPENDANE TU NA TUIJENGE TZ MOJA KUdiscuss ukabila kwenye zama hizi ni ujinga usio na maana yoyote
 
Nakubali kwa eneo la ujenzi wanaongoza maeneo makuu mawili ujenzi wa nyumba za makazi ambazo kazi yake kubwa Ni moja kufikia wakati wa Krismasi na pili kufikia waombolezaji waliopeleka msiba

Ujenzi wa pili wasiousahau Ni wa kuzika kwao na kujenga makaburi ya waliowazika

Haya ndio hasa utasokia ohh mchaga lazima ajenge kwao!!!!

Makabila Mengine definition ya kwao Ni pale anapopatia Riziki iwe Dar ,Mwanza au popote .Anaweka kambi hapo.Mchaga Akisema kwao definition kubwa Ni Krismasi na kuzikwa!!! Hamna kingine Cha ziada.Muulize mchaga yeyote ana Nini Cha ziada kafanya kwao zaidi ya kujenga nyumba ya kufikia Krismasi na misiba na kujenga makaburi kwao.Ana Nini Cha ziada? Wengi wao hamna kitu
Fact
 
Nimejitahidi kusoma komenti za wadau ili na mimi nipate kitu kuhusu hili,wengi katika comment wamewashupalia jamii ya Wachagga kwamba ni wabinafsi n.k. lakini in deep down wengi wa waliotoa komenti ni chuki tu binafsi dhidi ya jamii ya Wachagga na hakuna lingine. Lakini hili swala la kusema hilo kabila ni wabinafsi mara moshi ni pagumu kutoka kibiashara hamjaliangalia katika Angle zingine.

Kabla ya kuwadis Wachagga mmeshajiuliza haya maswali.
1.mfumo wa kiutawala wa kichaga wa mangi miaka hiyo ulikuaje?
2.je unazijua koo za kichaga zilizopigana na zenye mabifu hadi leo (lyamungo sec vs umbwe sec clash)
3.mshajiuliza kwanini sera ya ujamaa ya nyerere haikufanikiwa kupenya uchagani kwa asilimia kubwa? Ujamaa uliishia tu maeneo ya mtakuja,newland, chekereni and the like kule kwenye mashamba ya tpc. haukufanikiwa kupenya huku juu migombani kwenye ubichi ubichi throughout the year.
4.mmeshawahi kujiuliza Wachagga ni vita ngapi wamezipiga na jamii ya nilotes (maasai) kutetea kidogo walichonacho (ardhi).?
5.mmeshajiuliza ardhi ya uchagani ina ukubwa gani ukilinganisha na mikoa mingine?.
6.je mmeliangalia kwa jicho la kijiografia hili swala la ardhi ya uchagani ?
7.mnajua kitu kinaitwa KIAMBA SYSTEM Uliopo uchagani?
Anyway....

Mnapowadis Wachagga kwamba ni wabinafsi hiyo hali haijaamuliwa na utashi wa Kabila bali ni many factors ikiwemo natural ,socio, historical na geographical n.k. ambazo nyingine sio rahisi kuzielezea hapa maana watu humu wana comment mihemko tu pasipo kufanya fact check.
Tembeeni mfanye kuwauliza wazee kuhusu uchagani kukoje watakupa what is /was going on behind the scenes.
Hata kwenye biblia kuna mstari unasema tembeeni huku na huko mpate kuuliza...[emoji38][emoji38]. Tatizo wa tz tuna ile hali ya kulishana Matango pori sana kuhusu jamii fulani haswa ikiwa jamii hiyo ina ushawishi au imefanikiwa katika nyanja fulani ya maisha.

N:B ni ngumu sana kushindana na mtu mwenye exposure ya huko duniani .
Na hizi chuki za kuwadis Wachagga zimeshamiri sana kipindi cha utawala uliopita na wala hazina tija sana na hazitawarudisha nyuma jamii hiyo kwenye kuisaka hela maana kuna msemo unasema if you can't beat e'm join them.
TUPENDANE TU NA TUIJENGE TZ MOJA KUdiscuss ukabila kwenye zama hizi ni ujinga usio na maana yoyote
Well said
 
shida inakuja kuwa waliobaki moshi kuna umaskini mkubwa wa kutupwa kule ajira hamna hata ya kuchoma tu mishikaki!! inabidi wakimbie waende mikoa mingine kuajiriwa kazi ya kuchoma mishikaki grocery ya mangi mwenzao ,Na wakishafika mikoa mingine wakajenga vitega uchumi vikubwa mahoteli ya nguvu nk hawarudi tena kuwekeza moshi .Mikodi mikubwa kuanzia ya manispaa inalipwa huko walikowekeza mikoa mingine kwao moshi mgambo wanakuwa kazi kukimbizana na akina mama wauza nyanya na vitunguu vya mafungu na watembeza matunda kuuzia wasafiri stendi kuu koo ya mabasi moshi mjini!!!!

vizaz vingi vimepita tend ni hiyo hiyo.Kwa hiyo unategemea mjukuu aje kuwekeza Moshi mahali ambapo population haiongezeki inapungua siku hadi siku kwa kuhamia mikoa mingine kutafuta riziki?

Trend ya population ya moshi ni exodus sio indus ,WEngi wanatimua sio wanaingia!!! na wakishajijenga hata wakifa watoto na wajukuu watabaki kusimamia vitega uchumi vya wazazi vilivyoko mikoa hiyo waliko wazazi
Wewe ni wa wapi na umewekeza wapi? Maana hayo unayoyaongelea hayapo moshi tu. Maeneo mengi tu nchi hii watu wanayaacha na kwenda kwenye miji mingine mikubwa na wanawekeza huko nyumbani wanarudi mara moja moja kusalimia.
 
Wanajamii, Salam Alleykum na Bwana Yesu asifiwe sana.

Hivi mbona wasambaa na watu wa Tanga wengi wako hapa mbuyuni, soko manyema, Dar Street, mtaa wa Ismail tena wasomali kama wote, TPC kuna hadi Wanyaki wa Mbeya japo kule ni Moshi Vijijini, watumishi wengi hapa Moshi sasa hivi ni watu wa kanda maalumu, watu wa Singapore (Singida) wapo wengi tu tena wamejaa utadhani wazawa Ghala street kuna wasomali na wahindi, hizi Shirinjiko na Hindu temple zipo tu za kutosha, nowadays kabila zote zipo.

Sasa wale wanaosema kuwa Wachagga wanaishi na nyie kwa ugumu nawashangaa sana tena sana.

Kuna watu nawasikia nawashangaa sana eti sijui nini na nini Moshi. Mara yule jamaa alisema moshi mmechelewa sana, sasa bila wewe tungeweza vipi Baba yetu.
Ni wezi, wabinafsi na wakabila. Ila huwa nawapenda kwa kitu kimoja tu, kutoruhusu wahindi wageuze moshi bombay. Yaliyobaki, nawaachia wenyewe.
 
Moshi kugumu kupata ardhi ya kuwekeza mgeni

Hadi manispaa ya moshi inashindwa kupanuka sababu hiyo

Miji midogo kibao inakua kwa kasi lakini mji wa moshi upo utafikiri umepigwa bomu .Kisa ubahili wa kutoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye pesa wawekeze
Rombo ndio wamewauzia ardhi wakenya

Sent from my HUAWEI CAM-L21 using JamiiForums mobile app
 
Nakubali kwa eneo la ujenzi wanaongoza maeneo makuu mawili ujenzi wa nyumba za makazi ambazo kazi yake kubwa Ni moja kufikia wakati wa Krismasi na pili kufikia waombolezaji waliopeleka msiba

Ujenzi wa pili wasiousahau Ni wa kuzika kwao na kujenga makaburi ya waliowazika

Haya ndio hasa utasokia ohh mchaga lazima ajenge kwao!!!!

Makabila Mengine definition ya kwao Ni pale anapopatia Riziki iwe Dar ,Mwanza au popote .Anaweka kambi hapo.Mchaga Akisema kwao definition kubwa Ni Krismasi na kuzikwa!!! Hamna kingine Cha ziada.Muulize mchaga yeyote ana Nini Cha ziada kafanya kwao zaidi ya kujenga nyumba ya kufikia Krismasi na misiba na kujenga makaburi kwao.Ana Nini Cha ziada? Wengi wao hamna kitu
Una chuki binafsi.Jenga kwenu usitie aibu ukifariki.
 
Nimejitahidi kusoma komenti za wadau ili na mimi nipate kitu kuhusu hili,wengi katika comment wamewashupalia jamii ya Wachagga kwamba ni wabinafsi n.k. lakini in deep down wengi wa waliotoa komenti ni chuki tu binafsi dhidi ya jamii ya Wachagga na hakuna lingine. Lakini hili swala la kusema hilo kabila ni wabinafsi mara moshi ni pagumu kutoka kibiashara hamjaliangalia katika Angle zingine.

Kabla ya kuwadis Wachagga mmeshajiuliza haya maswali.
1.mfumo wa kiutawala wa kichaga wa mangi miaka hiyo ulikuaje?
2.je unazijua koo za kichaga zilizopigana na zenye mabifu hadi leo (lyamungo sec vs umbwe sec clash)
3.mshajiuliza kwanini sera ya ujamaa ya nyerere haikufanikiwa kupenya uchagani kwa asilimia kubwa? Ujamaa uliishia tu maeneo ya mtakuja,newland, chekereni and the like kule kwenye mashamba ya tpc. haukufanikiwa kupenya huku juu migombani kwenye ubichi ubichi throughout the year.
4.mmeshawahi kujiuliza Wachagga ni vita ngapi wamezipiga na jamii ya nilotes (maasai) kutetea kidogo walichonacho (ardhi).?
5.mmeshajiuliza ardhi ya uchagani ina ukubwa gani ukilinganisha na mikoa mingine?.
6.je mmeliangalia kwa jicho la kijiografia hili swala la ardhi ya uchagani ?
7.mnajua kitu kinaitwa KIAMBA SYSTEM Uliopo uchagani?
Anyway....

Mnapowadis Wachagga kwamba ni wabinafsi hiyo hali haijaamuliwa na utashi wa Kabila bali ni many factors ikiwemo natural ,socio, historical na geographical n.k. ambazo nyingine sio rahisi kuzielezea hapa maana watu humu wana comment mihemko tu pasipo kufanya fact check.
Tembeeni mfanye kuwauliza wazee kuhusu uchagani kukoje watakupa what is /was going on behind the scenes.
Hata kwenye biblia kuna mstari unasema tembeeni huku na huko mpate kuuliza...[emoji38][emoji38]. Tatizo wa tz tuna ile hali ya kulishana Matango pori sana kuhusu jamii fulani haswa ikiwa jamii hiyo ina ushawishi au imefanikiwa katika nyanja fulani ya maisha.

N:B ni ngumu sana kushindana na mtu mwenye exposure ya huko duniani .
Na hizi chuki za kuwadis Wachagga zimeshamiri sana kipindi cha utawala uliopita na wala hazina tija sana na hazitawarudisha nyuma jamii hiyo kwenye kuisaka hela maana kuna msemo unasema if you can't beat e'm join them.
TUPENDANE TU NA TUIJENGE TZ MOJA KUdiscuss ukabila kwenye zama hizi ni ujinga usio na maana yoyote
Punguzeni ubaguzi na uchoyo.Watu wakijifunza haya yote yatawasaidia nini?
Japo mna mambo mengi mazuri watu wanawwza kujifunza ila ni wabaguzi nyie mbwa wacha mchambwe!!!

Kuna mdau humu anawachukua mno ila sababu mnajenga tu kwenu,hana sababu nyingine.Na yeye naye ana chuki ila nyie mna roho mbayaaaa
 
Nimejitahidi kusoma komenti za wadau ili na mimi nipate kitu kuhusu hili,wengi katika comment wamewashupalia jamii ya Wachagga kwamba ni wabinafsi n.k. lakini in deep down wengi wa waliotoa komenti ni chuki tu binafsi dhidi ya jamii ya Wachagga na hakuna lingine. Lakini hili swala la kusema hilo kabila ni wabinafsi mara moshi ni pagumu kutoka kibiashara hamjaliangalia katika Angle zingine.

Kabla ya kuwadis Wachagga mmeshajiuliza haya maswali.
1.mfumo wa kiutawala wa kichaga wa mangi miaka hiyo ulikuaje?
2.je unazijua koo za kichaga zilizopigana na zenye mabifu hadi leo (lyamungo sec vs umbwe sec clash)
3.mshajiuliza kwanini sera ya ujamaa ya nyerere haikufanikiwa kupenya uchagani kwa asilimia kubwa? Ujamaa uliishia tu maeneo ya mtakuja,newland, chekereni and the like kule kwenye mashamba ya tpc. haukufanikiwa kupenya huku juu migombani kwenye ubichi ubichi throughout the year.
4.mmeshawahi kujiuliza Wachagga ni vita ngapi wamezipiga na jamii ya nilotes (maasai) kutetea kidogo walichonacho (ardhi).?
5.mmeshajiuliza ardhi ya uchagani ina ukubwa gani ukilinganisha na mikoa mingine?.
6.je mmeliangalia kwa jicho la kijiografia hili swala la ardhi ya uchagani ?
7.mnajua kitu kinaitwa KIAMBA SYSTEM Uliopo uchagani?
Anyway....

Mnapowadis Wachagga kwamba ni wabinafsi hiyo hali haijaamuliwa na utashi wa Kabila bali ni many factors ikiwemo natural ,socio, historical na geographical n.k. ambazo nyingine sio rahisi kuzielezea hapa maana watu humu wana comment mihemko tu pasipo kufanya fact check.
Tembeeni mfanye kuwauliza wazee kuhusu uchagani kukoje watakupa what is /was going on behind the scenes.
Hata kwenye biblia kuna mstari unasema tembeeni huku na huko mpate kuuliza...[emoji38][emoji38]. Tatizo wa tz tuna ile hali ya kulishana Matango pori sana kuhusu jamii fulani haswa ikiwa jamii hiyo ina ushawishi au imefanikiwa katika nyanja fulani ya maisha.

N:B ni ngumu sana kushindana na mtu mwenye exposure ya huko duniani .
Na hizi chuki za kuwadis Wachagga zimeshamiri sana kipindi cha utawala uliopita na wala hazina tija sana na hazitawarudisha nyuma jamii hiyo kwenye kuisaka hela maana kuna msemo unasema if you can't beat e'm join them.
TUPENDANE TU NA TUIJENGE TZ MOJA KUdiscuss ukabila kwenye zama hizi ni ujinga usio na maana yoyote
Ni ngumu mtu kuweza ku fanya fact checking kama tayari ana prejudices. Wengi ni wivu unawasumbua na wengine wao wamekaririshwa tu story za uongo.
 
Punguzeni ubaguzi na uchoyo.Watu wakijifunza haya yote yatawasaidia nini?
Japo mna mambo mengi mazuri watu wanawwza kujifunza ila ni wabaguzi nyie mbwa wacha mchambwe!!!

Kuna mdau humu anawachukua mno ila sababu mnajenga tu kwenu,hana sababu nyingine.Na yeye naye ana chuki ila nyie mna roho mbayaaaa
Fanyeni kazi acheni lawama za kiree. Yani mkiona mchaga amefanikiwa badala muige mfano wa anayofanya mnabaki kuanza kutafuta lawama na maneno yasiokuwa na ukweli.

Kwa attitude hii mliokuwa nayo mtaendelea kuburuzwa na wachaga vizazi vyenu vyote. Sasa sisi wachaga tutanunua ardhi zenu zote mpaka hii nchi yote tuimiliki mbakie nyie wengine kuwa vijakazi wetu tu. Hakuna namna nyingine.

Ulishaona mchaga analalamika kwenye mikoa mingine? Je kwani wachaga hawapati ugumu wa biashara huko walipo nchi nzima? Ulishasikia malalamiko? Akiona mambo magumu hakalii kulialia anainuka anatafuta fursa nyingine mahali pengine.

Sasa mtu kwasababu ameshindwa kufanya biashara Moshi anaanza kulia kwani ni lazima ufanyie Moshi? Fursa zipo kila mahali na sio lazima ufanikiwe kila mahali, nenda tafuta mahali pengine.

Mnasumbuliwa na inferiority complex.
 
Kuutetea ukabila kwa kujidai haupo ni kazi ngumu pia.

Mgeni ni rahisi kutoboa Moshi ukiwa unafanya biashara haramu na ku cover kwa biashara halali ambayo itakuwa haina wateja.

Mchagga hawezi kuliacha duka la Mchagga mwenzie aje kununua kwako Mmatengo
ONA USIJE UKAHUKUMIWA KWA CHUKI UNAZO ZIJENGA
 
Punguzeni ubaguzi na uchoyo.Watu wakijifunza haya yote yatawasaidia nini?
Japo mna mambo mengi mazuri watu wanawwza kujifunza ila ni wabaguzi nyie mbwa wacha mchambwe!!!

Kuna mdau humu anawachukua mno ila sababu mnajenga tu kwenu,hana sababu nyingine.Na yeye naye ana chuki ila nyie mna roho mbayaaaa
Chuki dhidi ya jamii fulani huwa ni ya kurithi toka kizazi hadi kizazi... Hata wewe umezaliwa ukalishwa tu chuki kwamba Wachagga wabaya na jamii iliyokuzunguka ..na hiyo chuki usiobadilika utaingia nayo kaburini na hakuna ulichofaidi ...nitajie basi mazuri ya hilo kabila lenu basi
 
Fanyeni kazi acheni lawama za kiree. Yani mkiona mchaga amefanikiwa badala muige mfano wa anayofanya mnabaki kuanza kutafuta lawama na maneno yasiokuwa na ukweli.

Kwa attitude hii mliokuwa nayo mtaendelea kuburuzwa na wachaga vizazi vyenu vyote. Sasa sisi wachaga tutanunua ardhi zenu zote mpaka hii nchi yote tuimiliki mbakie nyie wengine kuwa vijakazi wetu tu. Hakuna namna nyingine.

Ulishaona mchaga analalamika kwenye mikoa mingine? Je kwani wachaga hawapati ugumu wa biashara huko walipo nchi nzima? Ulishasikia malalamiko? Akiona mambo magumu hakalii kulialia anainuka anatafuta fursa nyingine mahali pengine.

Sasa mtu kwasababu ameshindwa kufanya biashara Moshi anaanza kulia kwani ni lazima ufanyie Moshi? Fursa zipo kila mahali na sio lazima ufanikiwe kila mahali, nenda tafuta mahali pengine.

Mnasumbuliwa na inferiority complex.
Yaani watu wame comment humu kwa hisia za mihemko halafu hata hawajawahi kutembea kujifunza....inastaajabisha sana yaani.
 
Back
Top Bottom