Mkuu Moshi manispaa hunipotezi eneo lolote labda kdc ndio kidogo ntapotea ila tuambiane ukweli ulivyo kufanta biashara uchagani kunahitaji sana kujulikana wewe ni wa wapi, shika hili 'wewe ni wa wapi'
Ndio maana hata wewe utawaita wageni wafanyabiashara kwa makabila yao hadi maeneo tu ya biashara yapo tofauti kuna maeneo wengi wapare na wasambaa, alafu mchaga atakwambia siwezi nunua jeans za kisambaa [emoji23][emoji23] ukweli au uongo mleta uzi?
Hii ipo sana mfano stend tu pale gorofani mgeni amawezaje fanya biashara?, Embu sema tu Mkuu?, picha linaanza stand gorofani ukifika tu mfanyabishara mwenyewe anakujua ni homeboy anakuita utamkataaje dogo wa kitaa uende kwa mgeni mgeni kweli?
Moshi padogo sana na hii inachangia hili swala, yani ukiwa town unaweza kuta unafahamiana na wafanyabiashara wengi wa mahitaji uliyofuata, kwanini usinunue kwao sasa ukamtosa mgeni