luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Sasa hao Wagen hawafany biashara? Wanashangaa mataa Au?Moshi kuna wenyewe, ugumu unaoongelewa ni wa kufanya biashara, sio ajira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hao Wagen hawafany biashara? Wanashangaa mataa Au?Moshi kuna wenyewe, ugumu unaoongelewa ni wa kufanya biashara, sio ajira
Ulitaka tusijenge makwetu kama nyie? MTU KWAON i kweli miji wasio wabinafsi inakua kwa spidi ya hatari
Kumbe unawajua nje ndani. Ila sasa wanaface mabadiliko nadhani shida ilikuwa ni malezi. Maana Moshi daaah wanawake wa pande zile na Kilimanjaro kwa ujumla ni changamoto eneo la adabu.Sijajisifu mkuu lakini acha wale jeuri yao mkuu [emoji28] mi mwenyewe siwaelewi, aiseee hawa mademu wanadharau hizo daaah tena wengi wawe wametoka familia ambazo portifolio inasomaga, au demu ashike milioni moja mbili daah.
Sio kweli moshi biashara zinafanyika kila aina ndogo,za Kati na kubwashida inakuja kuwa waliobaki moshi kuna umaskini mkubwa wa kutupwa kule ajira hamna hata ya kuchoma tu mishikaki!! inabidi wakimbie waende mikoa
Acha kuongea Pumba,haiwez kuwa rahisi kupata housgirl au baa maid kutoka Moshi ni asilimia chacheKutokana na Moshi kutotoa ardhi kwa wawekezaji wageni wenye uwezo ili wapanue ajira sasa hivi Moshi ndio inaongoza kwa kutoa wafanyakazi wengi mabaa maid kwenye baa za watu mikoa mingine Tanzania nzima inasikitisha
Kwhyo kule Hakuna maisha yanayoendelea? Acha uzwazwa takwimu za serikali zinatuambia Kilimanjaro 90% nyuma ya dar 92% Wana makazi Bora na maisha Bora,hivyo vitu havitokanan na kufanya kazi zinazozalisha?Umeongea point wanarudi kuzika tu tena wakikaa sana siku tatu
Wamewekeza kwao na ugenini bothSasa kwanini wasiwekeze zaidi kwao ambako ardhi iko tele, wanasifika kwa biashara na uwekezaji miji ya watu ilhali miji yao ni halijojo aisee inashangaza sana.
Sasa kila mtu akisema aishi vile asili yake ilivyo tutaweza kuchanganyika na kuwa familia moja?!Nimejitahidi kusoma komenti za wadau ili na mimi nipate kitu kuhusu hili,wengi katika comment wamewashupalia jamii ya Wachagga kwamba ni wabinafsi n.k. lakini in deep down wengi wa waliotoa komenti ni chuki tu binafsi dhidi ya jamii ya Wachagga na hakuna lingine. Lakini hili swala la kusema hilo kabila ni wabinafsi mara moshi ni pagumu kutoka kibiashara hamjaliangalia katika Angle zingine.
Kabla ya kuwadis Wachagga mmeshajiuliza haya maswali.
1.mfumo wa kiutawala wa kichaga wa mangi miaka hiyo ulikuaje?
2.je unazijua koo za kichaga zilizopigana na zenye mabifu hadi leo (lyamungo sec vs umbwe sec clash)
3.mshajiuliza kwanini sera ya ujamaa ya nyerere haikufanikiwa kupenya uchagani kwa asilimia kubwa? Ujamaa uliishia tu maeneo ya mtakuja,newland, chekereni and the like kule kwenye mashamba ya tpc. haukufanikiwa kupenya huku juu migombani kwenye ubichi ubichi throughout the year.
4.mmeshawahi kujiuliza Wachagga ni vita ngapi wamezipiga na jamii ya nilotes (maasai) kutetea kidogo walichonacho (ardhi).?
5.mmeshajiuliza ardhi ya uchagani ina ukubwa gani ukilinganisha na mikoa mingine?.
6.je mmeliangalia kwa jicho la kijiografia hili swala la ardhi ya uchagani ?
7.mnajua kitu kinaitwa KIAMBA SYSTEM Uliopo uchagani?
Anyway....
Mnapowadis Wachagga kwamba ni wabinafsi hiyo hali haijaamuliwa na utashi wa Kabila bali ni many factors ikiwemo natural ,socio, historical na geographical n.k. ambazo nyingine sio rahisi kuzielezea hapa maana watu humu wana comment mihemko tu pasipo kufanya fact check.
Tembeeni mfanye kuwauliza wazee kuhusu uchagani kukoje watakupa what is /was going on behind the scenes.
Hata kwenye biblia kuna mstari unasema tembeeni huku na huko mpate kuuliza...[emoji38][emoji38]. Tatizo wa tz tuna ile hali ya kulishana Matango pori sana kuhusu jamii fulani haswa ikiwa jamii hiyo ina ushawishi au imefanikiwa katika nyanja fulani ya maisha.
N:B ni ngumu sana kushindana na mtu mwenye exposure ya huko duniani .
Na hizi chuki za kuwadis Wachagga zimeshamiri sana kipindi cha utawala uliopita na wala hazina tija sana na hazitawarudisha nyuma jamii hiyo kwenye kuisaka hela maana kuna msemo unasema if you can't beat e'm join them.
TUPENDANE TU NA TUIJENGE TZ MOJA KUdiscuss ukabila kwenye zama hizi ni ujinga usio na maana yoyote
TrueAll in all dunia inapoelekea hayo mambo ya ukabila yatapotea tu hata ukiyalinda vipi.
Ndiyo nimeona wanalalamika.Ndiyo,punguzeni roho mbaya na umimi.Fanyeni kazi acheni lawama za kiree. Yani mkiona mchaga amefanikiwa badala muige mfano wa anayofanya mnabaki kuanza kutafuta lawama na maneno yasiokuwa na ukweli.
Kwa attitude hii mliokuwa nayo mtaendelea kuburuzwa na wachaga vizazi vyenu vyote. Sasa sisi wachaga tutanunua ardhi zenu zote mpaka hii nchi yote tuimiliki mbakie nyie wengine kuwa vijakazi wetu tu. Hakuna namna nyingine.
Ulishaona mchaga analalamika kwenye mikoa mingine? Je kwani wachaga hawapati ugumu wa biashara huko walipo nchi nzima? Ulishasikia malalamiko? Akiona mambo magumu hakalii kulialia anainuka anatafuta fursa nyingine mahali pengine.
Sasa mtu kwasababu ameshindwa kufanya biashara Moshi anaanza kulia kwani ni lazima ufanyie Moshi? Fursa zipo kila mahali na sio lazima ufanikiwe kila mahali, nenda tafuta mahali pengine.
Mnasumbuliwa na inferiority complex.
Huyo jamaa Ana chuki za kipuuz na wachaga mpuuzeMkuu kama Moshi kuna umasikini wakutupwa, basi maeneo mengine ya Tz ni fukara kabisa. Bila ushabiki huo umasikini haupo Moshi.
Jambo lingine wachaga hawasahau kwao hata siku moja na kumbuka wamepafanya kwao kuwe nibsehemu yenya makazi ya kuishi, ndio maana wamejenga zaidi makazi kuliko vitu vingine.
Sina kabila.Chuki dhidi ya jamii fulani huwa ni ya kurithi toka kizazi hadi kizazi... Hata wewe umezaliwa ukalishwa tu chuki kwamba Wachagga wabaya na jamii iliyokuzunguka ..na hiyo chuki usiobadilika utaingia nayo kaburini na hakuna ulichofaidi ...nitajie basi mazuri ya hilo kabila lenu basi
Kwan ulitaka tusizike? Tukishazika tunaendelea na harakati we ulitakaje?Mimi shahidi na zile coaster zao za kukodi za kwenda na kurudi Ni exactly siku tatu
Bwana wewe hebu acha kuwa hivi. Unakuza sana hii title ya mchagga kwakweli. Hapa hatusengenyi tunakemea tabia za ajabu walizonazo mbona rahisi sana.Fanyeni kazi acheni lawama za kiree. Yani mkiona mchaga amefanikiwa badala muige mfano wa anayofanya mnabaki kuanza kutafuta lawama na maneno yasiokuwa na ukweli.
Kwa attitude hii mliokuwa nayo mtaendelea kuburuzwa na wachaga vizazi vyenu vyote. Sasa sisi wachaga tutanunua ardhi zenu zote mpaka hii nchi yote tuimiliki mbakie nyie wengine kuwa vijakazi wetu tu. Hakuna namna nyingine.
Ulishaona mchaga analalamika kwenye mikoa mingine? Je kwani wachaga hawapati ugumu wa biashara huko walipo nchi nzima? Ulishasikia malalamiko? Akiona mambo magumu hakalii kulialia anainuka anatafuta fursa nyingine mahali pengine.
Sasa mtu kwasababu ameshindwa kufanya biashara Moshi anaanza kulia kwani ni lazima ufanyie Moshi? Fursa zipo kila mahali na sio lazima ufanikiwe kila mahali, nenda tafuta mahali pengine.
Mnasumbuliwa na inferiority complex.
Unazidi kujidhalilisha,MCHAGA akishajenga kwao hata ugenini pia anajenga yaani bothNakubali kwa eneo la ujenzi wanaongoza maeneo makuu mawili ujenzi wa nyumba za makazi ambazo kazi yake kubwa Ni moja kufikia wakati wa Krismasi na pili kufikia waombolezaji waliopeleka msiba
Ujenzi wa pili wasiousahau Ni wa kuzika kwao na kujenga makaburi ya waliowazika
Haya ndio hasa utasokia ohh mchaga lazima ajenge kwao!!!!
Makabila Mengine definition ya kwao Ni pale anapopatia Riziki iwe Dar ,Mwanza au popote .Anaweka kambi hapo.Mchaga Akisema kwao definition kubwa Ni Krismasi na kuzikwa!!! Hamna kingine Cha ziada.Muulize mchaga yeyote ana Nini Cha ziada kafanya kwao zaidi ya kujenga nyumba ya kufikia Krismasi na misiba na kujenga makaburi kwao.Ana Nini Cha ziada? Wengi wao hamna kitu
Huyu mnywa ulanz wa kalenga ni mbishi mnoOk Mkuu, mkataa kwao mtumwa, mimi nizaliwe Moshi then kije kusema Dar ni kwetu ei kisa ndio sehemu nafanya mishe zangu, hiyo hapana Mkuu hapa nitabaki kuwa Mgeni wa Jiji ila kwetu ni Moshi daima.
Hivi Mkuu wewe ukienda kwa ndugu wa baba/mama yako utapakataa kwa wazazi wako kuwa sio kwenu? kama jibu ni ndio basi sina mjadala tena na wewe Mkuu.
Kwan hawana makwao?Ukioa au kuolewa na mtu asiye mchaga kwa watoto kwao Ni wapi?
Maana siku hizi wachaga mnaoa Sana na kuolewa na makabila Mengine hao watoto kwao kutakuwa wapi? Na wajukuu watakuwa kwao wapi ?
Una matatz ya akili? Sasa unasema Moshi watu hawauz viwanja,wakiuza unaanza kupinga Sasa tukueleweje!?Abiria chunga mfuko wako kununua ardhi Moshi Hadi ukoo uridhie epuka kutapeliwa na hawauzi kwa chasaka yaani mtu mgeni wa kuja
Viwanja halali vingekuwa tu vile vinauzwa na Halmashauri.Usinunue kwa mtu binafsi au private estate companies utakuwa Kila siku kesi mahakamani kwa miaka na pesa imeondoka.Serikali ndio ikuuzie hapo sawa .Sababu likitokea la kutokea wao ndio watawajibika
Ndiyo nimeona wanalalamika.Ndiyo,punguzeni roho mbaya na umimi.
Kaeni hapo mkiendelea kulia lia tu wenzetu wanasidi kufanikiwa nyie mtabaki wasindikizaji.Bwana wewe hebu acha kuwa hivi. Unakuza sana hii title ya mchagga kwakweli. Hapa hatusengenyi tunakemea tabia za ajabu walizonazo mbona rahisi sana.