Aiba
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 2,047
- 3,912
Wengi wameongea kiubinafsi sana na Kwa chuki kwa wachaga Moshi ni kugumu kweli na Sisi ambao tulizaliwa pale wengi tumekuja mikoa mingine kuangalia fursa za maisha Ila katika mikoa ambayo imebaki na identity yaake Kwa wazawa ni Moshi, mbeya, na mikoa mingi ya kanda ya ziwa Ila kiuhalisia Kilimanjaro ni ndogo sana ukiiacha dar mkoaa unaofata kiudogo ni Kilimanjaro katika mikoa iliyowahi kupata elimu Kilimanjaro ipo Kwa elimu waliyopata na tamadumi Zao si rahisi kuachia ardhi kirahisi na vile mkoa ulivyomdogo tofauti na mikoa mingine na kingine kilichochangia ugumu Moshi ni ubinafsi WA CCM katika maendeleo ya nchi hii kama Tanga ingeachwa kama mji wa Bandar na viwanda vingi vingeendelezwa leoo hii kaskazini ingekuwa mbali snaa kingine jamii nyingine zinaona kama umoja wa wachaga ni ubinafsi ivi unawza Acha kumuungisha rafiki yako kabila lako kwenye biashara ukanunue Kwa mwingine kama unaweza basi jua unaroho mbaya penda watu wenu penda mji wako penda vya kwenu ndyoo uendee Kwa mwingine CCM iliwaaminisha watu vitu vya hovyo sana na sijui hii mentality utatoka Lin vichwani kwenu