Bora kama ulimwelewa,, ni kweli ndoa sio ya kila mmoja 🤗kuna mtu humu jf alishasema kwenye koment fulani kwamba maswala ya ndoa siyo ya kila mtu .Sikumwelewa kwa haraka anamaanisha nini. Sasa nimejifunza
Unajua siku hizi mtu ukimuonya mienendo yake anaweza kukudhalilisha hadi ukajuta.Wanandoa walifanya uzembe wa kutofanya usuluhishi. Jamii pia haikuwaingilia kutatua mgogoro.
Unaandika ya wengine umesahau ya kwako?Natabiri Huyu atanyingwa mpaka mpaka kufa. Tena anabahati sana Tz kwa muda hawanyongi ila tendo amelifanya nilakinyama kiasi dam ya mke wake ilimtesa mpaka akaamua kujisema mwenyewe. Kuuwa pasipo kukusudia kuna jinsi ya ku detect siwezi andika hapa kwa sababu za kiusalama. Ila huyu hata jela yake itakuwa ngumu sana.
Kabisa ndugu yangu na hasa ulimwengu wa sasa watu tunatembea na magonjwa ambayo yanasubiriaga tu sababu.aaha acha tu ndugu hasira hizii yani kuua bila kukusudia inawezekana kabisaaa kabisaa... hasa hiii njia ya kumsukuma mwanamke hatari mno
kama huwezi kukausha ondokaa eneo la tukio yaniKabisa ndugu yangu na hasa ulimwengu wa sasa watu tunatembea na magonjwa ambayo yanasubiriaga tu sababu.
Kuepusha hili ni kujitahidi kuzizuia hasira tu.
haya mambo yanatukuta sisi lakini hata wazazi wetu sometimes tunawaambia wavumiliane but bora kukubali watenganeee ndoa ni hatari sana msipofananaYaani kuna wana ndoa hulalamika kuhusu ndoa lakini watu huwapa maneno ya kuwatuliza ndoa Ndivyo zilivyo vumilia, sasa unakuta mtu anakaa eti Mme /mke miaka zaidi hata 3-6 bila tendo la ndoa, halafu useme kuna ndoa hapo si upuuzi huo, ifike mtu akilalamika kuhusu ndoa ni afadhali watu wapumzishane tu, hapo kuna kuwa mmoja anateseka mwingine yupo kawaida,
Wakati mwingine ndoa kama upumbafu flani.
Kabisa ndugu yangu. Hasira zikipungua unarudi.kama huwezi kukausha ondokaa eneo la tukio yani
Ukiniquote jibu hojaHamkosekani km nyinyi ndio hua mnaishia kupigwa na praizi
404: Page Not Found
Sasa kama hiyo scenario mwanaume mwenyewe ameshasema ilifika kipindi yeye na mke wake kila mmoja alikuwa anachepuka huko na kurudi kwa muda wake, halafu wewe na wenzako mnamshikia bango mwanamke tu mara sijui msumbufu mara kiburi kana kwamba mwanaume yeye ndio hakuwa na makosa, yani maelezo yako ni kama yanamshutumu zaidi mwanamke kana kwamba mwanaume yeye alikuwa innocent na ni victim tu wa mke wakeMimi siongelei cases za wanaume bali naongelea case na watu ninaowafahamu. Sijawataja watu wengine kwenye comments zangu zaidi ya marehemu Naomi na mumewe tu. Sasa hizo zingine kama vyanzo ni wanawake au wanaume mimi sizijui
Inategemea na mwanaume alipokuwa na hela alikuwa anamtreat vipi mke wakeKuna jamàa anakwambia alipofukuzwa kazi tu na huku mkewe ana kazi ndipo alipozijua rangi zote za mkewe hadi mtoto aliambiwa sio wa kwake unyumba hapewi mke anatoka na wanaume wengine hivi anamuona anamwambia katika wanaume na yeye ni mwanaume ? Yaan mwanamke akikwambia hivyo gunia la mkaa lazima litafutwe
404: Page Not Found
Hii ndoa inaonekana ilikuwa na ugomvi wa siku nyingi na unaojirudia-rudia. Pengine huyo mwanamke alikuwa ni aina ya wale ambao hawakubali kushindwa na muda wote wanataka kuonyeshana umwamba na mumewe. Ndoa ikishafikia stage hii suluhisho ni kuachana haraka sana kwani mking'ang'ania kuendelea kuishi pamoja lolote linaweza kutokea, i.e. mnaweza kuumizana kwa bahati mbaya au hata kuuana kwa hasira. Wanawaume wenzangu, mimi naamini sana kwenye usawa wa jinsia, lakini hima hima, ukiona mke wako anapenda kufanya ligi na wewe muda wote basi kimbia haraka sana.Unajua siku hizi mtu ukimuonya mienendo yake anaweza kukudhalilisha hadi ukajuta.
Anakwambia Maisha yangu hayakuhusu hata kama unaona anslaelekea kwenye hatari.
Mpaka mtu limpate ndio anaanza kulaum jamii kwamba haikumsaidia.
Wakati mambo yanamwendea vizuri humwambii kitu same as hawa dada zetu akiwa na mabwana wanamuhonga anaona dunia ni yake. Sasa subiri apate HIV au Mimba na kuachwa au vyote viwili utamuonea huruma.
Na kuna siku pia aliaagiza aletewe kadi zake za bank gerezani ili alipe school fees za wanawe!! Kweli dish linaweza kua limeyumba!!Huyu jamaa ni vema wangempeleka kwanza isanga pale akatathminiwe kama dishi liko sawa. Namwona kama kesi ya milembe hii maana kuna siku alishawahi tishia waandishi kuwa ataua mtu tena
Ila kweli, jamii inatetea sana mwanamke na kuona kama anaonewa. Jambo la msingi fanya kikao objective na kichwa chako mjiridhishe kama kweli mwanamke ana kosa na kazidi kipimo. Kisha piga chini bila kujali lawamaYaani ukiachana na mke jamii inakuandama ohoooo Akai na mke huyu ana tabia mbaya nyambafuuuu
Mmmh[emoji848]Inategemea na mwanaume alipokuwa na hela alikuwa anamtreat vipi mke wake
Kama naye alikuwa ndio wale wa "mwanaume akichelewa kurudi haulizwi anatakiwa kurudi muda anaotaka", au "mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja kikubwa heshima na matunzo kwa mkewe asijue", basi siku akifilisika aandike maumivu tu
Mwanamke hana moyo wa chuma wa kusamehe na kuvumilia makosa tu kila siku, naye ni binadamu anachoka na anahitaji kuondoa maumivu yake, na kila mmoja ana namna yake ya kuondoa maumivu aliyokuwa nayo muda mrefu moyoni
Ndiyo hili nilikuwa nalizungumza kwenye post iliyopita. Kwenye ndoa, ligi ya kushindana na kulipizana visasi, eti huyu alikuwa anani-treat hivi basi na mimi nalipiza ni sumu mbaya sana. Mauaji kama hayo kwenye hii kesi hutokana na mambo kama haya.Inategemea na mwanaume alipokuwa na hela alikuwa anamtreat vipi mke wake
Kama naye alikuwa ndio wale wa "mwanaume akichelewa kurudi haulizwi anatakiwa kurudi muda anaotaka", au "mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja kikubwa heshima na matunzo kwa mkewe asijue", basi siku akifilisika aandike maumivu tu
Mwanamke hana moyo wa chuma wa kusamehe na kuvumilia makosa tu kila siku, naye ni binadamu anachoka na anahitaji kuondoa maumivu yake, na kila mmoja ana namna yake ya kuondoa maumivu aliyokuwa nayo muda mrefu moyoni