peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
EtiMwaka 2025 mama Samia atatimiza miaka 65 hadi mwaka 2030 Akiwa madarakani atakuwa na umri wa miaka 70.
Mtanzania mwenye kuweza kutambia kipindi Samia Akiwa na umri wa miaka 70 anatupeka wapi atuambie mapema Ili wengi tukatafute maisha kwa Moi kuangalia mapema
Nafikiri kwa heading yako hata wewe utakuwa hata chembechembe ya kwamba ulikuwepo duniani hazionekani, miaka 1000 ijayo wewe utakuwa wapi ndugu peno!!Mwaka 2025 mama Samia atatimiza miaka 65 hadi mwaka 2030 Akiwa madarakani atakuwa na umri wa miaka 70.
Mtanzania mwenye kuweza kutambia kipindi Samia Akiwa na umri wa miaka 70 anatupeka wapi atuambie mapema Ili wengi tukatafute maisha kwa Moi kuangalia mapema
Broo bei ya beans kg 1 Tsh 4,000 hukoAngalia maisha Yako broo
Kama imefika 4000 c unashamba kalime ili usiuziwe hiyo beiBroo bei ya beans kg 1 Tsh 4,000 huko
Broo,njoo unione kama mie broBroo bei ya beans kg 1 Tsh 4,000 huko
Samia hatogombea Urais 2025Mwaka 2025 mama Samia atatimiza miaka 65 hadi mwaka 2030 Akiwa madarakani atakuwa na umri wa miaka 70.
Mtanzania mwenye kuweza kutambia kipindi Samia Akiwa na umri wa miaka 70 anatupeka wapi atuambie mapema Ili wengi tukatafute maisha kwa Moi kuangalia mapema
Huu ndio upuuzi walionao Waafrika wengiAngalia maisha Yako broo
Upuuzi unao wewe hujui tuHuu ndio upuuzi walionao Waafrika wengi