LUZGER
Member
- Nov 25, 2013
- 72
- 31
Unajilazimishaje kuwa mganga wa kienyeji?Mwaka 2025 mama Samia atatimiza miaka 65 hadi mwaka 2030 Akiwa madarakani atakuwa na umri wa miaka 70.
Mtanzania mwenye kuweza kutambia kipindi Samia Akiwa na umri wa miaka 70 anatupeka wapi atuambie mapema Ili wengi tukatafute maisha kwa Moi kuangalia mapema
Kwani wewe unajijua utakua uko wapi huo mwaka?