Ancestral Curse: Ujerumani iliwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6, lakini ndio nchi yenye nguvu zaidi Ulaya. Je, hii dhana ya laana ya asili ipo sahihi?

Wale waliouawa ni binadamu pasipo kujali walikuwa ni Wayahudi wa imani au damu ya Yakobo.

Wajerumani waliangamiza roho Milioni 6 ila hawana laana bali wananeemeka...
Unajua ni kwanini Dkt. Magufuli anamshinda Tundu Lissu?
 
Kuna coment hapo juu nimemuuliza mtoa mada atoe tafsiri sahihi ya hao waliouawa walikuwa ni wayahudi wenye asili ya Israeli au walikuwa ni wafuasi wa madhehebu tu, lakini kamute!
Mkuu, siku-mute bali nilikujibu kwamba, Hitler aliua BINADAMU pasipo kujali ethnicity yao. Hata kama wangekuwa ni wajaluo ama wamakonde roho ya mtu haifanyiwi siasa mzee baba...
 
Mkuu, siku-mute bali nilikujibu kwamba, Hitler aliua BINADAMU pasipo kujali ethnicity yao. Hata kama wangekuwa ni wajaluo ama wamakonde roho ya mtu haifanyiwi siasa mzee baba...
Sawa, hilo linafahamika na idadi hiyo ya watu kuangamizwa.

Sasa niliona kwa kuwa unauelewa mkubwa kuhusu hayo mambo, si vibaya ukanifafanulia na hilo.

Ujue mimi ninaelewa kuwa uyahudi ni madhehebu na wengine hudai kuwa wayahudi waliouawa ni wa asili ya Israeli.

Huo ndiyo utata.

Na wanahistoria wanaandika kuwa waliouawa ni wayahudi wa nchi zilizokuwa zimevamiwa na kuwekwa chini ya himaya ya ujerumani enzi hizo za vita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa niliona kwa kuwa unauelewa mkubwa kuhusu hayo mambo, si vibaya ukanifafanulia na hilo.
Mkuu, uelewa wangu ni wa kawaida sana kaka mkubwa.

I am a very ordinary person bro. and I look very normal. Siku ukibahatika kuonana ana kwa ana na mimi hotoamini appearance yangu...
 
Italy ni kinchi kidogo tu cha hovyo! Kwa kipimo kipi?
 
Mkuu, uelewa wangu ni wa kawaida sana kaka mkubwa.

I am a very ordinary person bro. and I look very normal. Siku ukibahatika kuonana ana kwa ana na mimi hotoamini appearance yangu...
Chadema ni genge la wakora ,wakuogopwa kama ugonjwa wa ukoma,hawafai.
 
I think this guy was trying to instill patriotic mindset kwa wananchi wake. Huu ni uzalendo sana kwa kiongozi...
Mi mwenyewe naweza waamini.Watu walipigwa vita wakashindwa vibaya.Wametumia akili, wamejenga uchumi, wamekuza teknolojia na Sasa ni taifa no.1 ualaya huoni kuwa hao ndio wazungu wenye akili zaidi kuwhi kutokea.Kuna wagunduzi wengi sana ujermani kuliko taifa lolote la ulaya.Marekani inatumia race zote kufanya maendeleo yake ujermani wapo kivyao.Uchina inaiba teknolojia Herman ina innivate!
 
Kabila la wameru Arusha walimtairi mmsionari mzungu kwa lazima na kumpiga sasa utaniambia wameru wapoje? Kina Nassari?
 
Ata kama hiyo laana ipo sio lazima itokee kwenye kizazi ambacho wewe upo.inawezekana ikaja kuwatafuna kizazi cha miaka mingi ijayo.Kwahiyo sio rahisi kupata majibu ya moja kwa moja sasa angali dunia na ujerumani bado ipo na itaendelea kuwepo ata baada ya sisi kupita.kwahiyo tuupe wakati muda wakuamua.
Hitler aliteketeza roho za watu achana na suala la Uyahudi kwanza. Kwanini hawa jamaa hawatafunwi na laana ya babu zao na badala yake wanazidi kuneemeka kiuchumi?...
 
Chadema ingechaguliwa 2015 haya maendeleo ya ujenzi wa miundombinu ikiwemo SGR, Bwawa la umeme Fly overs, ununuzi wa ndege nk...nk ingekuwa bado ni ndoto kwa watanzania.
 
We unadhani kwanini halaumiwi yeye tibbets na badala yake lawama zinaenda kwa marekani?
Upo sahihi mkuu. Ndio maana nimehoji juu ya dhambi ya mababu kwa Ujerumani na sio Hitler pekee.

Huyo jamaa hapo juu alikuwa anachanganya watu tu humu for no good reasons.
 
Ilikwisha tabiriwa na nikuabarishe Tu mababu wa Israel walijitabiria dam yaMasia iwe juu Yao na uzao wao ndicho kikatokea baada ya miaka mingi kupita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…