Ancestral Curse: Ujerumani iliwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6, lakini ndio nchi yenye nguvu zaidi Ulaya. Je, hii dhana ya laana ya asili ipo sahihi?

Ancestral Curse: Ujerumani iliwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6, lakini ndio nchi yenye nguvu zaidi Ulaya. Je, hii dhana ya laana ya asili ipo sahihi?

Kwanza Joel ni tapeli kama akina Gwajima.
Pili wale ni wayahudi wa imani sio wayahudi/Israel wa damu ya yakobo.
Maendeleo ni juhudi ambacho sisi wa afrika hatuna kazi kuuana wenyewe kwa wenyewe na uroho wa madaraka.
Ikiwa Joel na Gwajima ni matapeli wape salute wale wafuasi wengi sana, na wewe uliwaita matapeli sijui utakua nani?
 
Hii comment niliisubiri sana. Hitler kweli aliwaua wayahaudi wa ulaya na si wayahudi tu.
Lakini pia si iwa idadi inayozungumzwa, Wayahudi wamejaliwa sana kwenye propaganda huenda kuna hidden agenda ya wao kudanganya figure. Walikuwa na maana yao ambayo huenda sisi hatuijui.
Tena dunia nzima imefanywa ijisikie guilty kwa hicho kinachoitwa holocaust hadi leo hii!!! Nchi nyingi za Ulaya ni kosa la jinai kusema hapakua na mauwaji hayo
 
Wale waliouawa ni binadamu pasipo kujali walikuwa ni Wayahudi wa imani au damu ya Yakobo.

Wajerumani waliangamiza roho Milioni 6 ila hawana laana bali wananeemeka...
Hata hapa Kuna walioua na bado Wako madarakani na watu wanawapigia kura na viongozi wa dini wanawalamba miguu. Hawajalaaniwa pia
 
Mkuu kama hautajali, nitaomba tafsiri sahihi zaidi mno kuhusu hao watu (jews) wa ulaya walioangamizwa kwenye kadhia hiyo uliyoisimulia katika andiko lako.

Huwa ninaona picha zao za rangi na zisizokuwa na rangi pia clips mbali mbali za kutia huruma.

Watu hao mostly walikuwa ni wazungu weupe tena blonde!

Ninavyoelewa uyahudi (jew) ni imani ama tuseme ni dini, pia ni utamaduni ambao unaweza kufuatwa na mtu yeyote kutoka taifa lolote bila kujali mipaka kama ilivyo kwa uislam au ukristo.

Swali langu ni: je hao walikuwa ni waIsrael wayahudi au walikuwa ni wazungu wenye imani ya uyahudi kutoka mataifa hayo yaliyoathiriwa na vita?

Kama jibu litakua ni 'Waisrael', kwanini popote hakuna katika simuluzi hizo kutajwa kama walikuwa ni waIsrael wayahudi wahamiaji ama walowezi?

Majibu yako ndiyo yatayonipatia uzani wa kuzama zaidi ama lah kwenye maswali ya uasili wa watu hao walioangamizwa kinyama sana katika karne ya 20.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale waliouawa ni binadamu pasipo kujali walikuwa ni Wayahudi wa imani au damu ya Yakobo.

Wajerumani waliangamiza roho Milioni 6 ila hawana laana bali wananeemeka...
Halafu pia hiyo story ya milioni 6 iliongezwa chumvi na hao wahuni wa kiyahudi. Wajerumani wenyewe Kuna kipindi waligoma kuwalipa mapesa hao jamaa kwamba namba hazikai sawa kuwa waliuawa milioni 6 miaka hiyo lakini now Wako 10 million tu.
Mfalme leopold wa ubelgiji aliua 10 milioni na zaidi ya wa afrika.
Wamarekani walioua zaidi ya milioni 6 ya native Americans.
Waingereza waliua more than 5 milions ya native Australians.
Hao dons wa kiyahudi ndio walikuwa wafadhili wakubwa wa utumwa and we know utumwa umepoteza roho za watu weusi zaidi 100 millions. BUT HUJIULIZI WHY PEOPLE HAWAONGELEI KUHUSU HAO MILLIONS WENGINE WANAONGELEA HAO 6 WA KIYAHUDI???
Na mbona hao jamaa wengine hawalaaniwa pamoja na makosa yote hayo??
Hitler hakuwaua hao jamaa kwa hiyo namba. Wazungu waingereza na Wamarekani ndio waliongeza chumvi na kupitia movies zao ndo wakawaaminisha zaidi watu. Hiyo yote ni kutafuta reasons za kuwapeleka pale Israel
 
Mkuu, kwa maana hiyo Generational Curse haina usahihi wowote bali ni dhana tu ya kufikirika?...
Hizo ni kama imani tu. Wazungu hawaamini sana hayo makitu ndo maana wanaendelea. Acheni uroho na kuuana hovyo kama vichaa mtaendelea
 
Ikiwa Joel na Gwajima ni matapeli wape salute wale wafuasi wengi sana, na wewe uliwaita matapeli sijui utakua nani?
Wafuasi wengi haimaanishi wewe sio tapeli. Sema Wajinga ni wengi. Hata Yesu Alisema hao wanabii wa UONGO watawadanganya "WENGI".
 
Na kama jamaa aliposema hapo juu. Americans aka hao wayahudi Wako unaowaongelea ndio wamewaua Wayahudi halisi wa Biblia na mpaka Leo wanawaua na adhabu yao iko njiani.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Ndugu zangu watanzania;

Ujerumani iliwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6, lakini ndio nchi yenye nguvu zaidi barani Ulaya (European Powerhouse). Je, hii dhana ya laana ya asili (Ancestral/Generational Curse) ipo sahihi kweli? Kama ipo sahihi, kwanini iwepo Afrika tu na sio Ulaya?

Laana ya Asili kama inavyofafanulia na Mtumishi Joel Osteen (American Preacher & Televangelist)
=============
Laana ya vizazi inaaminika kurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine kwa sababu ya uasi dhidi ya Mungu. Ikiwa ukoo wako umepewa laana ya talaka, uchumba, umaskini, hasira au mifumo mingine isiyo ya kimungu, unaweza kuwa chini ya laana ya ukoo.

Familia zetu zina ushawishi mkubwa juu ya maendeleo yetu, pamoja na ukuzaji wa mifumo yetu ya dhambi. Watu wengine wanadai kwamba laana za kifamilia au kizazi hupitishwa kwa njia ya kizazi.

Imani hii inatokana na vifungu vya Agano la Kale ambavyo vinasema kwamba Mungu "huwaadhibu watoto na watoto wao kwa dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne" (Kutoka 34: 7).

Ikiwa familia zinarithi laana za kiroho au la, ni dhahiri kwamba mifumo ya dhambi hupitishwa kupitia familia. Kila mtu hutenda dhambi; lakini kama vile utamaduni, kabila, na jinsia zinavyoongoza mwelekeo wetu wa dhambi katika mwelekeo fulani, ndivyo pia familia zetu.

Tunarithi tabia nyingi na mapenzi ya kitu fulani kutoka kwa wazazi wetu ambao sio ushawishi mzuri kwetu au kwa wengine. Tunapopata tabia ya imani au imani ambayo inaathiri vibaya maisha yetu au wale wanaotuzunguka, hii inajulikana kama laana ya kizazi. Ni upande uliojificha wa tabia uliopitishwa kupitia vizazi.

KIINGEREZA KIDOGO: Many Africans, Christian or not, live in fear of generational curses. When misfortunes hit, they want to know who might have bewitched them.

Non-Christians may turn to the witchdoctor while believers seek a deliverance minister to diagnose their problem and prescribe necessary spiritual steps forward. But why is this so?

HISTORIA NDOGO YA MAUAJI YA WAYAHUDI BARANI ULAYA (HOLOCAUST)
==========
Holocaust, yalikuwa ni mauaji ya halaiki ya Vita vya pili vya dunia kwa Wayahudi wa Ulaya. Kati ya mwaka 1941 na mwaka 1945, Ulaya nzima ambayo ilikuwa inakaliwa na Wajerumani, Ujerumani ya wa Nazi na washirika wake waliwaua Wayahudi wapatao milioni sita, karibu theluthi mbili ya idadi ya Wayahudi wote wa ulaya kwa wakati ule.

Mauaji hayo yalifanywa kwa watu wengi kwa njia za upigaji wa risasi kwa halaiki ya watu;sera ya mauaji ya kutokomeza watu kupitia kazi katika kambi za mateso; na katika vyumba vya gesi na gari za gesi katika kambi za kuangamiza za Wajerumani, haswa Auschwitz, Belzec, Chelmno, Majdanek, Sobibór, na Treblinka katika Poland iliyokaliwa na Wajerumani.

UCHUMI WA UJERUMANI KWA UFUPI
=============
Pamoja na Pato la Taifa la zaidi ya Euro trilioni 3.4, uchumi wa Ujerumani ulikuwa mkubwa zaidi barani Ulaya mnamo mwaka 2019. Chumi zenye ukubwa sawa za Uingereza na Ufaransa zilikuwa chumi za pili na wa tatu kwa ukubwa barani Ulaya wakati wa mwaka jana, ikifuatiwa na Italia na Uhispania.

Uchumi mdogo kabisa katika takwimu hii ni ule wa taifa dogo la Balkan la Montenegro, ambalo lilikuwa na Pato la Taifa la Euro bilioni 4.66 tu, karibu mara 74 ndogo kuliko uchumi wa Ujerumani.

Uchumi wa Ujerumani umekuwa ndio uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya tangu mmwaka 1980, hata kabla ya kuungana tena kwa Ujerumani Magharibi na Mashariki. Uingereza, kwa kulinganisha, imekuwa na bahati wakati huo huo na ilikuwa na uchumi mdogo kuliko Italia mwishoni mwa miaka ya 1980.

Uingereza pia ilipata mapigo makubwa zaidi ya chumi zingine kubwa wakati wa anguko la uchumi wa mwishoni mwa miaka ya 2000, ikimaanisha uchumi wa Ufaransa ulikuwa wa pili kwa ukubwa barani kwa muda baadaye. Uchumi wa Uhispania ulikuwa wa tano kwa ukubwa Ulaya katika kipindi hiki cha miaka 38, na kutoka 2004 kuendelea umekuwa na thamani ya zaidi ya Euro trilioni moja.

Tazama takwimu kutoka chanzo sahihi hapo chini.

View attachment 1559175

Kwanini Ujerumani haijawahi kutafunwa na laana hii ya asili licha ya kuwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6 badala yake inazidi kuneemeka kiuchumi na kisiasa?

Mpaka Engineers bora wapo kwao>>> Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?

Je, dhana hii ya laana ya asili ipo sahihi kweli?

ANGALIZO: Hii mada haizungumzii Wayahudi kama taifa teule la Mungu bali inazungumzia roho za binadamu wa asili ya Uyahudi. It's all about humanity and not ethnicity.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Jibu lipo hapa,
KIINGEREZA KIDOGO: Many Africans, Christian or not, live in fear of generational curses. When misfortunes hit, they want to know who might have bewitched them.

Ujinga wa mtu kulaaniwa, kurogwa ni wa watu wa Afrika. Wajerumani wanazidi kuvumbua na kuchanga pesa kwa ajili ya maisha yao. Kosa. limefanywa na watu wa zama au karne iliyopita wao wakae na sononeko?
 
Mimi Ni mkristo Ila hapo kwa Israel tumemezeshwa kasumba

Israel Ni ile ya Zama za yesu na mitume hao wa Sasa Ni wachimbachumvi
 
Ni story ndefu,why aliwaua hao jamaa.na akaweka policy ya ant Jews,kwenye NAZI.
I don't even know the reasons why Hitler and his fellow gangsters chose to commit all those atrocities.

But all in all, they took away so many innocent lives.
 
Back
Top Bottom