Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamewaua Wayahudi waluomuua/msulubu Jesus kwa hiyo hakuna matata hapo
Watu wanapozungumzia "Taifa Teule" la Israel wanazungumzia according to maandiko yanayowafanya watu wawe kama mazuzu! Na according to hayo maandiko "Taifa Teule la Israel" is more than a piece of land bali Watoto wa Yakobo ambao walianza kuunda taifa teule la Israel hata kabla babu, wa mababu wa mababu wa vizazi kadhaa nyuma wa Hitler hawajazaliwa!Wakati wanauwwa hawa wayahudi bado hakukuwa na taifa liitwalo Israel
Plus sio wale ambao Hitler aliwaua. So mleta mada ulijue hilo kabla ya yote. Wale ni Khazarian people walitoka huko turkey/Russia sio wale damu yenyewe ya Yakobo bali wayahudi wa imani. Yaani kama mimi hapa nibadili dini Leo niwe myahudi lakini sio damu ya Yakobo.Watu wanapozungumzia "Taifa Teule" la Israel wanazungumzia according to maandiko yanayowafanya watu wawe kama mazuzu! Na according to hayo maandiko "Taifa Teule la Israel" is more than a piece of land bali Watoto wa Yakobo ambao walianza kuunda taifa teule la Israel hata kabla babu, wa mababu wa mababu wa vizazi kadhaa nyuma wa Hitler hawajazaliwa!
Mimi siongelei ukabila (ethnicity) bali ninazungumzia ubinadamu (humanity)Plus sio wale ambao Hitler aliwaua. So mleta mada ulijue hilo kabla ya yote. Wale ni Khazarian people walitoka huko turkey/Russia sio wale damu yenyewe ya Yakobo bali wayahudi wa imani. Yaani kama mimi hapa nibadili dini Leo niwe myahudi lakini sio damu ya Yakobo.
Wala haina ya haja ya kusoma chochote kwa sababu ninachosema ni kwamba, iwe wana wa Yakobo, Esau, Yeremia, Petro, au yeyote yule; suala kwamba eti taifa teule, mara sijui atayewafanyia hivi watalaaniwa; yote hayo ni porojo tu kwa sababu hicho kitu hakipo!!Plus sio wale ambao Hitler aliwaua. So mleta mada ulijue hilo kabla ya yote. Wale ni Khazarian people walitoka huko turkey/Russia sio wale damu yenyewe ya Yakobo bali wayahudi wa imani. Yaani kama mimi hapa nibadili dini Leo niwe myahudi lakini sio damu ya Yakobo.
Kasome tena kumbukumbu la torati 18 au 14 uone laana walizoambiwa na ni jamii gani katika historia ya ulimwengu walizipata.
Pia soma na ufunuo 12 nadhani.
So ukae Ukijua wale walio pale Israel now sio watoto wa yakobo. Na ndo maana hata hwajui Wako ni kabila gani Kati ya zile 12.
Wee jamaa mbona ni mgumu sana wa kuelewa mambo? Mimi nimekwambia sizungumzii Uyahudi hapa bali ninazungumzia ubinadamu.Wala haina ya haja ya kusoma chochote kwa sababu ninachosema ni kwamba, iwe wana wa Yakobo, Esau, Yeremia, Petro, au yeyote yule; suala kwamba eti taifa teule, mara sijui atayewafanyia hivi watalaaniwa; yote hayo ni porojo tu kwa sababu hicho kitu hakipo!!
Hiyo message uliyo-quote na hatimae kusema wewe huzungumzii Uyahudi umekuta nilikuandikia wewe; au?! Be honest bhana... hebu pitia michango ya watu kisha tafakari michango yao inaegemea wapi!!!!Wee jamaa mbona ni mgumu sana wa kuelewa mambo? Mimi nimekwambia sizungumzii Uyahudi hapa bali ninazungumzia ubinadamu.
Hata kama Ujerumani ingekuwa iliwaua Wajaluo ama Wahaya, bado ningehoji tu ila wewe unakazania utaifa teule utadhani mimi nimeliongelea hilo.
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Ndugu zangu watanzania;
Ujerumani iliwahi kuwaua binadamu zaidi ya Milioni 6, lakini ndio nchi yenye uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya (European Powerhouse)
Kwanini wao hawajatafunwa na laana hii ya asili kutoka kwa babu zao?
Je, hii dhana ya laana ya asili (Ancestral/Generational Curse) ipo sahihi kweli?
Kama ipo sahihi, kwanini iwepo Afrika tu na sio Ulaya?
Laana ya Asili kama inavyofafanulia na Mtumishi Joel Osteen (American Preacher & Televangelist)
=============
Laana ya vizazi inaaminika kurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine kwa sababu ya uasi dhidi ya Mungu. Ikiwa ukoo wako umepewa laana ya talaka, uchumba, umaskini, hasira au mifumo mingine isiyo ya kimungu, unaweza kuwa chini ya laana ya ukoo.
Familia zetu zina ushawishi mkubwa juu ya maendeleo yetu, pamoja na ukuzaji wa mifumo yetu ya dhambi. Watu wengine wanadai kwamba laana za kifamilia au kizazi hupitishwa kwa njia ya kizazi.
Imani hii inatokana na vifungu vya Agano la Kale ambavyo vinasema kwamba Mungu "huwaadhibu watoto na watoto wao kwa dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne" (Kutoka 34: 7).
Ikiwa familia zinarithi laana za kiroho au la, ni dhahiri kwamba mifumo ya dhambi hupitishwa kupitia familia. Kila mtu hutenda dhambi; lakini kama vile utamaduni, kabila, na jinsia zinavyoongoza mwelekeo wetu wa dhambi katika mwelekeo fulani, ndivyo pia familia zetu.
Tunarithi tabia nyingi na mapenzi ya kitu fulani kutoka kwa wazazi wetu ambao sio ushawishi mzuri kwetu au kwa wengine. Tunapopata tabia ya imani au imani ambayo inaathiri vibaya maisha yetu au wale wanaotuzunguka, hii inajulikana kama laana ya kizazi. Ni upande uliojificha wa tabia uliopitishwa kupitia vizazi.
KIINGEREZA KIDOGO: Many Africans, Christian or not, live in fear of generational curses. When misfortunes hit, they want to know who might have bewitched them.
Non-Christians may turn to the witchdoctor while believers seek a deliverance minister to diagnose their problem and prescribe necessary spiritual steps forward. But why is this so?
HISTORIA NDOGO YA MAUAJI YA WAYAHUDI BARANI ULAYA (HOLOCAUST)
==========
Holocaust, yalikuwa ni mauaji ya halaiki ya Vita vya pili vya dunia kwa Wayahudi wa Ulaya. Kati ya mwaka 1941 na mwaka 1945, Ulaya nzima ambayo ilikuwa inakaliwa na Wajerumani, Ujerumani ya wa Nazi na washirika wake waliwaua Wayahudi wapatao milioni sita, karibu theluthi mbili ya idadi ya Wayahudi wote wa ulaya kwa wakati ule.
Mauaji hayo yalifanywa kwa watu wengi kwa njia za upigaji wa risasi kwa halaiki ya watu;sera ya mauaji ya kutokomeza watu kupitia kazi katika kambi za mateso; na katika vyumba vya gesi na gari za gesi katika kambi za kuangamiza za Wajerumani, haswa Auschwitz, Belzec, Chelmno, Majdanek, Sobibór, na Treblinka katika Poland iliyokaliwa na Wajerumani.
UCHUMI WA UJERUMANI KWA UFUPI
=============
Pamoja na Pato la Taifa la zaidi ya Euro trilioni 3.4, uchumi wa Ujerumani ulikuwa mkubwa zaidi barani Ulaya mnamo mwaka 2019. Chumi zenye ukubwa sawa za Uingereza na Ufaransa zilikuwa chumi za pili na wa tatu kwa ukubwa barani Ulaya wakati wa mwaka jana, ikifuatiwa na Italia na Uhispania.
Uchumi mdogo kabisa katika takwimu hii ni ule wa taifa dogo la Balkan la Montenegro, ambalo lilikuwa na Pato la Taifa la Euro bilioni 4.66 tu, karibu mara 74 ndogo kuliko uchumi wa Ujerumani.
Uchumi wa Ujerumani umekuwa ndio uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya tangu mmwaka 1980, hata kabla ya kuungana tena kwa Ujerumani Magharibi na Mashariki. Uingereza, kwa kulinganisha, imekuwa na bahati wakati huo huo na ilikuwa na uchumi mdogo kuliko Italia mwishoni mwa miaka ya 1980.
Uingereza pia ilipata mapigo makubwa zaidi ya chumi zingine kubwa wakati wa anguko la uchumi wa mwishoni mwa miaka ya 2000, ikimaanisha uchumi wa Ufaransa ulikuwa wa pili kwa ukubwa barani kwa muda baadaye. Uchumi wa Uhispania ulikuwa wa tano kwa ukubwa Ulaya katika kipindi hiki cha miaka 38, na kutoka 2004 kuendelea umekuwa na thamani ya zaidi ya Euro trilioni moja.
Tazama takwimu kutoka chanzo sahihi hapo chini.
View attachment 1559175
Kwanini Ujerumani haijawahi kutafunwa na laana hii ya asili ya babu zao licha ya kuwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6 badala yake inazidi kuneemeka kiuchumi?
Mpaka Engineers bora wapo kwao>>> Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?
Je, dhana hii ya laana ya asili ipo sahihi kweli?
ANGALIZO: Hii mada haizungumzii Wayahudi kama taifa teule la Mungu bali inazungumzia roho za binadamu wa asili ya Uyahudi. It's all about humanity and not ethnicity.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mimi ninasimamia mada yangu kuu ndio nimeiandika humu na sio michango ya watu ambayo ni mawazo yao na sio maudhui ya mada hii...hebu pitia michango ya watu kisha tafakari michango yao inaegemea wapi!!!!
Kuanzia leo nitaanza kuamini kile unachoniambia na unachokiandika wewe. Sawa boss?...Kijana usiamini kila kitu uambiwacho au ukisomacho.
Kwahiyo unataka watu wajibiwe kwa kuangalia wewe umeandika nini na sio wao wameandika nini sio?!Mimi ninasimamia mada yangu kuu ndio nimeiandika humu na sio michango ya watu ambayo ni mawazo yao na sio maudhui ya mada hii...
Watu wajibu mada kuu na sio "hitting around the bush"Kwahiyo unataka watu wajibiwe kwa kuangalia wewe umeandika nini na sio wao wameandika nini sio?!
Milioni 6 ni hesabu bandia,,labda 600.Wajerumani waliangamiza roho Milioni 6 (hata kama wangekuwa sio Wayahudi bali ni Wajaluo kama mimi) ila hawana laana bali wananeemeka kila siku.
Hahahahaaaa, mkuu kwa hiyo na wewe haukubaliani na hii takwimu?Milioni 6 ni hesabu bandia,,labda 600.
Sikubaliani maana kabla ya vita vya pili vya dunia walikuwa milioni 12,vita imeisha wako milioni 15,Hahahahaaaa, mkuu kwa hiyo na wewe haukubaliani na hii takwimu?
Mbona unapanic? hupendi maendeleo anayoleta Rais Magufuli.Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Ndugu zangu watanzania;
Ujerumani iliwahi kuwaua binadamu zaidi ya Milioni 6, lakini ndio nchi yenye uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya (European Powerhouse)
Kwanini wao hawajatafunwa na laana hii ya asili kutoka kwa babu zao?
Je, hii dhana ya laana ya asili (Ancestral/Generational Curse) ipo sahihi kweli?
Kama ipo sahihi, kwanini iwepo Afrika tu na sio Ulaya?
Laana ya Asili kama inavyofafanulia na Mtumishi Joel Osteen (American Preacher & Televangelist)
=============
Laana ya vizazi inaaminika kurithishwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine kwa sababu ya uasi dhidi ya Mungu. Ikiwa ukoo wako umepewa laana ya talaka, uchumba, umaskini, hasira au mifumo mingine isiyo ya kimungu, unaweza kuwa chini ya laana ya ukoo.
Familia zetu zina ushawishi mkubwa juu ya maendeleo yetu, pamoja na ukuzaji wa mifumo yetu ya dhambi. Watu wengine wanadai kwamba laana za kifamilia au kizazi hupitishwa kwa njia ya kizazi.
Imani hii inatokana na vifungu vya Agano la Kale ambavyo vinasema kwamba Mungu "huwaadhibu watoto na watoto wao kwa dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne" (Kutoka 34: 7).
Ikiwa familia zinarithi laana za kiroho au la, ni dhahiri kwamba mifumo ya dhambi hupitishwa kupitia familia. Kila mtu hutenda dhambi; lakini kama vile utamaduni, kabila, na jinsia zinavyoongoza mwelekeo wetu wa dhambi katika mwelekeo fulani, ndivyo pia familia zetu.
Tunarithi tabia nyingi na mapenzi ya kitu fulani kutoka kwa wazazi wetu ambao sio ushawishi mzuri kwetu au kwa wengine. Tunapopata tabia ya imani au imani ambayo inaathiri vibaya maisha yetu au wale wanaotuzunguka, hii inajulikana kama laana ya kizazi. Ni upande uliojificha wa tabia uliopitishwa kupitia vizazi.
KIINGEREZA KIDOGO: Many Africans, Christian or not, live in fear of generational curses. When misfortunes hit, they want to know who might have bewitched them.
Non-Christians may turn to the witchdoctor while believers seek a deliverance minister to diagnose their problem and prescribe necessary spiritual steps forward. But why is this so?
HISTORIA NDOGO YA MAUAJI YA WAYAHUDI BARANI ULAYA (HOLOCAUST)
==========
Holocaust, yalikuwa ni mauaji ya halaiki ya Vita vya pili vya dunia kwa Wayahudi wa Ulaya. Kati ya mwaka 1941 na mwaka 1945, Ulaya nzima ambayo ilikuwa inakaliwa na Wajerumani, Ujerumani ya wa Nazi na washirika wake waliwaua Wayahudi wapatao milioni sita, karibu theluthi mbili ya idadi ya Wayahudi wote wa ulaya kwa wakati ule.
Mauaji hayo yalifanywa kwa watu wengi kwa njia za upigaji wa risasi kwa halaiki ya watu;sera ya mauaji ya kutokomeza watu kupitia kazi katika kambi za mateso; na katika vyumba vya gesi na gari za gesi katika kambi za kuangamiza za Wajerumani, haswa Auschwitz, Belzec, Chelmno, Majdanek, Sobibór, na Treblinka katika Poland iliyokaliwa na Wajerumani.
UCHUMI WA UJERUMANI KWA UFUPI
=============
Pamoja na Pato la Taifa la zaidi ya Euro trilioni 3.4, uchumi wa Ujerumani ulikuwa mkubwa zaidi barani Ulaya mnamo mwaka 2019. Chumi zenye ukubwa sawa za Uingereza na Ufaransa zilikuwa chumi za pili na wa tatu kwa ukubwa barani Ulaya wakati wa mwaka jana, ikifuatiwa na Italia na Uhispania.
Uchumi mdogo kabisa katika takwimu hii ni ule wa taifa dogo la Balkan la Montenegro, ambalo lilikuwa na Pato la Taifa la Euro bilioni 4.66 tu, karibu mara 74 ndogo kuliko uchumi wa Ujerumani.
Uchumi wa Ujerumani umekuwa ndio uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya tangu mmwaka 1980, hata kabla ya kuungana tena kwa Ujerumani Magharibi na Mashariki. Uingereza, kwa kulinganisha, imekuwa na bahati wakati huo huo na ilikuwa na uchumi mdogo kuliko Italia mwishoni mwa miaka ya 1980.
Uingereza pia ilipata mapigo makubwa zaidi ya chumi zingine kubwa wakati wa anguko la uchumi wa mwishoni mwa miaka ya 2000, ikimaanisha uchumi wa Ufaransa ulikuwa wa pili kwa ukubwa barani kwa muda baadaye. Uchumi wa Uhispania ulikuwa wa tano kwa ukubwa Ulaya katika kipindi hiki cha miaka 38, na kutoka 2004 kuendelea umekuwa na thamani ya zaidi ya Euro trilioni moja.
Tazama takwimu kutoka chanzo sahihi hapo chini.
View attachment 1559175
Kwanini Ujerumani haijawahi kutafunwa na laana hii ya asili ya babu zao licha ya kuwaua Wayahudi zaidi ya Milioni 6 badala yake inazidi kuneemeka kiuchumi?
Mpaka Engineers bora wapo kwao>>> Kwanini wahandisi wazuri sana duniani (Magari, Mitambo) wanapatikana nchini Ujerumani? Siri yao ni ipi hasa?
Je, dhana hii ya laana ya asili ipo sahihi kweli?
ANGALIZO: Hii mada haizungumzii Wayahudi kama taifa teule la Mungu bali inazungumzia roho za binadamu wa asili ya Uyahudi. It's all about humanity and not ethnicity.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tumpongeze Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa kuzalisha wasomi wazalendo kama Rais Magufuli.Saddam Hussein alichoma visima vya mafuta vya nchini Kuwait katika vita ya ghuba miaka ile ya 1990s lakini fidia bado inalipwa na serikali ya Iraq mpaka leo hii.
Ujerumani ni Ujerumani tu hata kama ilikuwa chini ya utawala wa Adolf Hitler na Wanazi wenzake.