Machalari oyeeee ๐ฅNdizi zile za moshi ziwekwe nyama ya kutosha plus nazi, naimaliza siku vizuri sana. Wali maharage/chapati na roast nyama hapa pia nafsi huburidika .
Nina vingi ๐๐๐
Taja kimoja tuNina vingi ๐๐๐
Junk food kwa lugha laini ya kiswahili ni?Ugali kitimoto hakuna anaepiga hiyo kitu [emoji39]
Kwa junk food ni pizza[emoji487] yaani i can literally kill for a slice of pizza
Ugali dagaa ๐๐๐๐๐Taja kimoja tu
+ mlenda๐๐๐Ugali dagaa ๐๐๐๐๐
wali maharage hiki chakula kimekosa mpinzani.Wali wa nazi na maharage ya nazi, siku iyo moyo nahisi unatoka kupunga hewa ya huku nje.
Utakua mnyiramba wewe๐คฃ+ mlenda๐๐๐
Unakula had unafurahia mwenyewe
Utaharibu hali ya hewa wewe๐
๐๐Utaharibu hali ya hewa wewe๐
Daah umejuajeUtakua mnyiramba wewe๐คฃ
๐Ugali, maharage,samaki,kachumbari
Oooh si unajua wewe ni...fake?๐๐คฃDaah umejuaje
Ndio ..... fake, umelenga mule mule๐Oooh si unajua wewe ni...fake?๐๐คฃ
Nimetaja.Ndio ..... fake, umelenga mule mule๐
Utaje chakula chako basi nikijue
๐๐๐Nimetaja.
Makange ya kuku + ndizi 2 mzuzu uloiva kidogo.
Shushia na wine kidogo aaah