Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Andika chakula ukipendacho na sisi tukijue

Ugali dagaa hasa dagaa mchele zilizokaangwa, mlenda, na kachumbari pembeni roho inasuuzika[emoji39]
 
Mbalaga(ndizi)

Hizi upikwa kwa mchanganyiko wa
[emoji117]nyama&utumbo
[emoji117]nazi&karanga
[emoji117]pilipil ya kunukia na kuwasha kwa mbaaaali
[emoji117]njegere

Then zikiwa kwenye sahani kubwaa zikifuka moshi wenye harufu taamu kwa kusindikizwa na juisi moja saaaafi ya bariiidiiiiiiiiii ama mirinda nyeusi ikikosekana pepsi ya bariiidi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Aloo hii kitu ni nomaa mwanamke akipatia kupika hii kitu nitaoa kwa mahali apendayo yeye na chenji abaki nayo[emoji28]
Wooow.
Nipe recipe
 
Mi napenda kila kitu.
Ila kiwe kimepikwa vizuri.
Sina machaguzi sana.
Kasoro
Kabicho,mlenda.
Vingine almost vyote vinachuana.
Kama ni samaki/dagaa liwe na nazi la kutosha
Kama kitimoto/mbuzi sehemu ya mbavu
Kama ni ubwabwa uwe haujawaha boko wala sio mgumu.
Kama ni maarage liwe na nazi ya ela yote.
Napika mwenyewe tusisumbuane.
HAPA NINA NJAA NIMEKUTANA NA HUU UZI LABDA NDO MAANA NAHISI KILA KITU NAKIPENDA
 
Hv mshawahi kukutana na toto la kipwani likapika...WALI UMEOGA NAZI NA SAMAKI ANAITWA KIBUA AFU ROAST YA KIBUA IMEKOGA NAZI PIA,NA VIAZI MBATATA VYA UONGO...AFU PEMBENI KUNA SHARUBATI YA PARACHICHI NZITOO..
OYAA HILO TOTO LIKINIPIKIA HIVYO HAKI SICHEPUKI.
 
Hivi kwa wale wataalam, kisamvu inapikwaje.?🤔🤔
 
Wajameni...Mbona mnajifanya hamjui humu ndani JF! chakula kitamu kuliko vyoote....niseme! au nisiseme???....... tena mnashangiliaga sana wkt mkila kalee....Kanyama ka binadamu (mtu) wa jameni hasa kule kiringeni!

siku ikotokea Mleta Mada umeonja hii kitu! kamwe hutaiacha!!! ni tamu balaa! na sehemu tamu zaidi ni makalio, na papuchi! ni lainii kama nyama ya ulimi wa ngombe ila tamu zaidi kuliko! ajili ya mafuta mafuta!

hizi parts hata ukipiga roast, au ukizichoma ni tamu sana! wauza mishikaki wamegundua hii kitu, huwa wana kamua mafuta yake wana changanya na mishikaki ya kawida au samaki! nasema lazima urudi kununua palepale!

kuna namna flani ya kuweza kugundua km mishikaki ile mitamu imechnganywa na Mafuta ya Binadamu tena kirahisi tu ila hilo ni somo jingine na mahali pengine!
 
Daaa Kweli Dunia ina mambo dagaa! bana weee zipike upikavyo! lkn hao dagaa wako na mie ni kitu mbali mbali tena mnooo! naweza kukuroga usirudi hapo!

hawana madhara na mwili wangu lkn kamwe sinto shiba sijui kwa nini!! .....labda niwe na njaa sana!
 
My favourate
IMG-20221030-WA0008.jpg
 
1:Chakula ninacho kiandaa mwenyewe, yaan ndizi, samaki mkavu na karanga au nazi hii kitu tamu sana
2: kuku mchemsho weee
3: ugali mlaiiin samaki au kuku, mboga ya majani yaani msusa ulotiwa karanga,niwe nimepika mimi tamu sana.

Sipendagi vitu vigumu na vikavu.
 
Sikh ukila ndizi na nyama ya nyoka,mtaacha kulinganisha misosi
 
Back
Top Bottom