Achana na milenda🤣🤣😋😋😋
Imenikuza hyo ujue, adi unaniona hivi nilivyo nikawa ..... fake ni matokeo ya mlenda😂😂Achana na milenda🤣🤣
Huo umenishindagaImenikuza hyo ujue, adi unaniona hivi nilivyo nikawa ..... fake ni matokeo ya mlenda😂😂
Wakishua hamuwezi hizo vituHuo umenishindaga
Wapi wewe sina ushua hata wa kusingiziwa🤣Wakishua hamuwezi hizo vitu
chakula ambacho hakina vitaminiJunk food kwa lugha laini ya kiswahili ni?
Huku sasa kutamanishana
Bange unaifanyaje? Nipo jikoni hapa...ulivyovitaja vyote vipo. Fasta nirekebisheUgari na nyanya chungu au mnavu na bange wanangu wa iringa mnanielewa