Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

Umeuliza maana ya ndoto yako umejibiwa, Na usingejibiwa ungelalamika. Jifunze kuwa Positive hata kama majibu uliyoyatarajia hajakupendeza. Hata kama ni maisha ya mtandaoni [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani ni serious?! Sasa mimi sina bwana afu naambiwa niko kwenye mahusiano na mume wa mtu, sasa niamini??!!

Yeye mwenyewe anachangamsha genge tu
 
Huyo Binti anafaa kuwa mke wako mkuu
 
naota navamiwa na watu ila nikijaribu kupika kelele siwezi. Unakuta natamani hata kutahadharisha wengine sauti haitoki kabisa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani ni serious?! Sasa mimi sina bwana afu naambiwa niko kwenye mahusiano na mume wa mtu, sasa niamini??!!

Yeye mwenyewe anachangamsha genge tu
Kwamba hujawah tongozwa na mme wa mtu?
 
Siwachunguzagi, alafu sijawai kuwa na mahusiano na mme wa mtu
Aiseee pole sana utakuwa psychologically torture sana mana mi inanitesa nakuomba nipe uzoefu wako huku PM kama utajar lakini sina nia mbaya labda nikutongoze no nataka tupige story tu
 
Huyo Binti anafaa kuwa mke wako mkuu
Ndio maana nimeandika ndoto ni za series πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Lakini naona Whatsapp status yupo na kijamaa na huwa anaandika Wedded Bliss halafu na hicho kijamaa ni kipitaji tu. Nimeshaota ndoto nyingi mnoo mpaka anakuja home akilia na kuomba msamaha yaani mambo ni mengi sana kumhusu huyu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani ni serious?! Sasa mimi sina bwana afu naambiwa niko kwenye mahusiano na mume wa mtu, sasa niamini??!!

Yeye mwenyewe anachangamsha genge tu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Aisee kwa sisi tunaosoma mambo mengi huwezi kutudanganya, tafsiri ya Folk Part II ni kweli kabisa na amekupatia lakini unavunga tu hapa.
Naweza kusema ni sawa na mtu kaenda kupima ukimwi na akakutwa anao anapewa majibu kwamba ni HIV + Lakini yeye anayakataa majibu wakati majibu yako sahihi. Anyway ukweli unao moyoni 🀣🀣🀣
 
Aiseee pole sana utakuwa psychologically torture sana mana mi inanitesa nakuomba nipe uzoefu wako huku PM kama utajar lakini sina nia mbaya labda nikutongoze no nataka tupige story tu
Ni kweli kabisa mkuu umesema kweli huyu Binti kisaikolojia hayuko vizuri, anapitia maumivu makali na hapa anajaribu kutafuta faraja tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na ukweli hataki kuukubali
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza ndoto yenyewe sijaota, nilikuwa nataka nimchangamshie uzi

Sema na wewe unapenda ligi, mwenzio nimechoka kutype nitafute kesho tushinde tunabishana mpk ufurahi na roho yako
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwanza ndoto yenyewe sijaota, nilikuwa nataka nimchangamshie uzi

Sema na wewe unapenda ligi, mwenzio nimechoka kutype nitafute kesho tushinde tunabishana mpk ufurahi na roho yako
🀣🀣🀣🀣
Aisee mambo ni mengi sana sijui kama nitakuwa na muda lakini.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani ni serious?! Sasa mimi sina bwana afu naambiwa niko kwenye mahusiano na mume wa mtu, sasa niamini??!!

Yeye mwenyewe anachangamsha genge tu
Sasa ndugu RC si mume wa joan🀣 kwani hilo ni geni kwako?
 
nimeota nimeokota milioni 7
site hii ina maana gani
 
Mkuu Folk Part II mbona hunipi tafsiri? Nina ndoto zaidi ya 196 aisee na huwa ninaziandika kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…