YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Shauri zako aisee, japo ana mgogoro na mke wake lakini kaa nae mbali
Nioe wewe bas mtu wangu, unaonaje? [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri zako aisee, japo ana mgogoro na mke wake lakini kaa nae mbali
Aisee mbona huna vigezo vya kuwa na Mimi 😂 😂 😂Nioe wewe bas mtu wangu, unaonaje? [emoji1787][emoji1787]
Aisee mbona huna vigeo vya kuwa na Mimi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Poa lakini tumeshakupa onyo na ndoto umetafsiriwa sasa angalia ukajichanganya aiseee utaabika na huyo unamwiba na Mkuu wa WilayaBas kitulize, niendelee na baby wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Poa lakini tumeshakupa onyo na ndoto umetafsiriwa sasa angalia ukajichanganya aiseee utaabika na huyo unamwiba na Mkuu wa Wilaya
Humu kuna wivu mkubwa sana, kuwa makini na maneno ya hawa watuNiliyenaye sio mkuu wa wilaya sasa na hajaoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Akuonyeshe na cheti cha ndoaAlifunga ndoa kanisa gani?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu ni PM, CV yako kwanza huenda ukawa hata PS wangu 🤣🤣🤣Niliyenaye sio mkuu wa wilaya sasa na hajaoa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanataka kukutoa kwenye mstari, kuwa makini naoNioe wewe bas mtu wangu, unaonaje? [emoji1787][emoji1787]
Humu kuna wivu mkubwa sana, kuwa makini na maneno ya hawa watu
Wanataka kukutoa kwenye mstari, kuwa makini nao
Ni PM Wasifu wako basi 🤣 🤣 🤣Siwajibu tena nimeacha wananipotezea muda tu
Ndoto namba 1 kuhusu raisi kikweteMtaalam Folk Part II , nakusalimu kwa jina la jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nina ndoto nyingi sana nilizoota
1. Niliota nipo maeneo ya soko la samaki la Ferry kona ya kwenda Ikulu nimesimama na mwenzangu akapita Mheshimiwa Jakaya Kikwete raisi mstaafu anaendesha gari Escudo nyekundu akatuita huku anatabasamu Vijana twendeni tukapanda gari tukaondoka. Hii ina maana gani ?
2. Niliota ndoto nyingine kumhusu Msichana fulani ambaye tunatoka Wilaya moja na wote ni kabila moja na tumefanana kwa vitu vingi sana, ikiwemo Siku ya kuzaliwa japo nimempita karibia miaka mitano na miezi mitano na siku kama 9 hivi. Ananipa Sufuria ndogo nyeupe mpya kabisa huku akipiga goti na anatabasamu hii ina maana gani ?. Hizi ndoto kumhusu huyu binti nimeota zaidi ya ndoto saba ambazo ni kama series kabisa 🙂🙂
3. Ndoto nyingine niliota tupo kwenye mazoezi kama ya wale Vijana wa JKT tumesurubika sana, tukawa tumekaa chini tukiwa tumechafuka sana na tumenyoa vipara yaani ni kama mazoezi ya Kijeshi. Sasa akatokea Dada ambaye ni kama Secretary wa Boss akaanza kusema " Mwenye nidhamu na aliyefaulu mafunzo yetu ni ( .....................) Akamtaja jamaa mmoja ambaye ni mshikaji wangu tulisoma wote Shule ya Msingi na Secondary lakini tukaja kutengana baada ya Mimi kuhama ile Shule, Sasa yule Secretary wa Boss alivyomtaja yule Jamaa akatokea Boss akasema hakuna wewe kaa chini , njoo MANYANZA, sasa wakati nainuka nataka kwenda kwa boss huku nakimbia yule jamaa akanishika Tshirt ili nianguke lakini nilimpiga ngumi nzito na akaniachia huku akivuja damu puani na mdomoni, nilivyoinuka nikawa namkimbilia Boss nilipofika kwa Boss akaninyanyua juu huku akinipongeza. Na huyu jamaa ambaye niliyempiga ngumi kafariki mwaka huu kwa ajali ya gari hapa hapa Dar es Salaam na nilikuwa naenda sana kumtembelea na kumsafisha wakati mwingine. Je hii ndoto ina maana gani ?
4. Nimeandika ndoto ya kwanza kumhusu huyo Binti, Kuna siku nilimuota Mama yake Mzazi, wapo kwenye Kibasi kidogo hiace mbuga za Wanyama yeye na Wakina Mama wengine, Kile Ki Hiace kikaharibika ghafla na wale wakina wote wakamkimbia na Yeye akawa anahuzunika na akaonekana kama ana umwa ugonjwa wa tumbo na Mimi nilikuwa juu ya mti nikashuka nikaenda kumpa pole huku nimemshika begani akaanza kutabasamu na furaha ikamrudia tena. Je hii ndoto nayo ina maana gani ?
Zipo ndoto nyingi sana nisaidie maana ya hizo ndoto. Kiimani na Kiuhalisia wa maisha yetu Sisi Binadamu
Unaonyweshwa kwamba sio kila tatizo unalokumbana nalo kimaisha unamueleza kila mtu mengine inabidi kukaa kimya na kuyamaliza mwenyewe bila kuhusisha watu wenginenaota navamiwa na watu ila nikijaribu kupika kelele siwezi. Unakuta natamani hata kutahadharisha wengine sauti haitoki kabisa
fafanua hii umenieleza kwa kifupi sanaUnaonyweshwa kwamba sio kila tatizo unalokumbana nalo kimaisha unamueleza kila mtu mengine inabidi kukaa kimya na kuyamaliza mwenyewe bila kuhusisha watu wengine
Ndoto ya kuibiwa hayo ni matekelezo na ulikuwa unakumbushwa kabla kwa kuota hiyo ndoto ila wewe ukapuuzia kwa kutokujilinda na ulivyoibiwa, baada ya kuona unapuuza ilibidi ufanywe uthibitisho any way pole usipuuze ndotoKuota unaibiwa halafu ukiamka asubuhi kweli umeibiwa,hiyo maana yake nini![emoji23]
Kuota unakojoa halafu unaamka asubuhi kweli dream came true hii maana yake nini!
Ulikuwa unaonywesha kwamba ukifanya na mkeo au mwanamke yeyote nini madhara yake kufanya mapenzi kinyume na maumbile huko tigo ulichokiona kwenye ndoto kama madini huo ni uchafu bahati mbaya haujaoteshwa kujambajamba ovyo na kunuka uchafu unapewa onyo kiroho kwa mchezo huo usiufanyeOla hebu nitafsirie hii ndoto kuna mda nilishawahi muota wife na sex nae alafu anatoa madini kwenye haja kubwa kila nikimpelekea moto mfano wa vito vinavong'aa vinamdondoka huko kwenye tigo mpaka leo sjapata jibu nikawa nawaza au kuna mtu anamla tigo huyu msaada mkuu