Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

Mi sijasema hivyo!

Tungebaki kwenye ukweli kwamba unayembikiri ndiye unamuoa kusingekuwa na mkanganyiko na shida zote tunazozishuhudia hizi. Na sisi wanaume ndiyo wahusika wakuu pia tusijitoe kwenye lawama.

Mtoto wa watu kajitunza mpaka chuo kikuu unambikiri huko ukimwaminisha kuwa utamuoa halafu mkimaliza chuo hata miezi mitatu haiishi ushapiga chini umeibua chombo kipya. Huyu MKE WAKO WA KIROHO uliyemfungulia njia takatifu huku unamwachia nani? Unamwacha mtoto wa watu na maumivu makali na wakati huo ushampotezea miaka miwili au mitatu tena katika prime yake akija kushtuka miaka 28 hii hapa inagonga. Tunavyofanya siyo vizuri!

Ndiyo ilikuwa sehemu ya hoja yangu pia japo hata mabinti nao hawawezi kukwepa lawama!
Eeh hapo mwisho umemalizia vizuri. Wao nao uje wanapenda kutommbwer dnt forget that.
 
Sasa km imetoka kwa kuendesha baiskeli hapo inakuwaje bro?!! [emoji1787]
Hicho ni kighairi (an exception). Ni lazima viwepo sema tu uzuri ni kwamba huwa ni vichache na huwa haviathiri hoja ya msingi wala majumuisho ya jumla maana vinaelezeka nje ya mada husika!
 
Mi sijasema hivyo!

Tungebaki kwenye ukweli kwamba unayembikiri ndiye unamuoa kusingekuwa na mkanganyiko na shida zote tunazozishuhudia hizi katika ndoa na kwingineko. Na sisi wanaume ndiyo wahusika wakuu pia tusijitoe kwenye lawama.

Mtoto wa watu kajitunza mpaka chuo kikuu unambikiri huko huku ukimwaminisha kuwa utamuoa halafu mkimaliza chuo hata miezi mitatu haiishi ushapiga chini umeibua chombo kipya. Huyu MKE WAKO WA KIROHO uliyemfungulia njia takatifu huku unamwachia nani? Unamwacha mtoto wa watu na maumivu makali na wakati huo ushampotezea miaka miwili au mitatu tena katika prime yake akija kushtuka miaka 28 hii hapa inagonga. Tunavyofanya siyo vizuri!

Ndiyo ilikuwa sehemu ya hoja yangu pia japo hata mabinti nao hawawezi kukwepa lawama!

Point, bro unatumia kinywaji gani? [emoji6]
 
Akupe caton kabisa nakuja kulipa au km hakuamini mwambie akupe lipa namba nimlipe [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Katoni chupa 6 za lita 1.6 ni buku tatu. Nimeshakutumia namba yake PM umlipe chap mi niondoke na katoni langu hapa wuhuuu 🤸🏿🤸🏿🖐
 
Nimeota namuona mwanamke ameshika panga anarizungushaa, nikawa namkwepa lakini baadae nikamshika nikambeba nikampeleka ndani, alikua ni mwanamke mweupe kupita kiasi, nikamvua nguo nikafanya nae mapenzi. But ghafla naona amelaza mtoto pembeni yake, nikamuuliza huyu mtoto wa nani? Akajibu ni mtoto wake. Lakini baada ya kumaliza tendo akawa ametapakaa damu mwili mzima na mm pia nilikua nimetapakaa damu mwili mzima huku nikiwa najifuta zile damu.

Ghafla nikajikuta nipo kwenye bustani za mbogamboga maeneo ambayo nimewahi kuishi zaman sana, nilikua nikitembea katika mboga peku huku nikiwa kama natafuta kitu ambacho sikijui, nikageuka nyuma nikamuona mjomba wangu akinisemesha lakini sikumsikia wala kumuelewa.

Kufika mbele kidogo ghafla nikaanza kuchomwa na miiba miguuni, maumiv yalikua ni real kabisa nikawa nahangaika kujinasua, kwa maana ilikua ile miba iliyokaa kama ndoana, ghafla nikashtuka.

Anaejua maana ake naomba animbie. Natanguliza shukrani.
 
Nimeota namuona mwanamke ameshika panga anarizungushaa, nikawa namkwepa lakini baadae nikamshika nikambeba nikampeleka ndani, alikua ni mwanamke mweupe kupita kiasi, nikamvua nguo nikafanya nae mapenzi. But ghafla naona amelaza mtoto pembeni yake, nikamuuliza huyu mtoto wa nani? Akajibu ni mtoto wake. Lakini baada ya kumaliza tendo akawa ametapakaa damu mwili mzima na mm pia nilikua nimetapakaa damu mwili mzima huku nikiwa najifuta zile damu.

Ghafla nikajikuta nipo kwenye bustani za mbogamboga maeneo ambayo nimewahi kuishi zaman sana, nilikua nikitembea katika mboga peku huku nikiwa kama natafuta kitu ambacho sikijui, nikageuka nyuma nikamuona mjomba wangu akinisemesha lakini sikumsikia wala kumuelewa.

Kufika mbele kidogo ghafla nikaanza kuchomwa na miiba miguuni, maumiv yalikua ni real kabisa nikawa nahangaika kujinasua, kwa maana ilikua ile miba iliyokaa kama ndoana, ghafla nikashtuka.

Anaejua maana ake naomba animbie. Natanguliza shukrani.
Wanawake watatuua jamani. Mchana tunahangaika kwa ajili yao. Na ndotoni hawatuachi tukapumzika dah!
 
Kuna wapumbavu wanajidai wanajua kila ndoto inamaanisha nini Kama machizi vile
 
Poleni kwa majukumu ya kila siku
Naomba kueleza ndoto niliyoota usiku wa kuamkia jana,kwa yoyote atakaeielewa naomba anielezee maana ake.
Niliota nipo na ndugu yangu ambae tumekua pamoja,Mimi nmelelewa na bibi jamaa tunalingana kwa kila kitu ijapo mimi namzid mwaka mmoja na miezi kadhaa.
Ni mara ya pili naota kuhusu tembo,ndoto ya kwanza wale tembo tulipowaona tuliogopa lakini hawakutushambulia tukabaki kuwaangalia hii ndoto nmeota miezi kadhaa imepita.
Lakini ndoto ya juzi tembo alinikimbiza mbaya akitaka kunishambulia..ipo hivi:
Nlikua mazngira fulani na huyo jamaa ghafla tuliona tembo ila tukawapotezea baadae kila mmoja akafata harakati zake tu,sehemu ilivyokua inaonekana ni kijijini haina makazi mengi kwa eneo lilivyoonekana kwenye ndoto nyumba moja ilionekana.
Basi baad ya kila mtu kuwa busy kufanya anachofanya nlimfata jamaa nkamtaka tuende mtoni tukaangalie kitu flani sikumbuki,ikumbukwe tyr tushagundua lile eneo kuna tembo kila mahali ila hatukuwa na wasiwasi tukaongozana kwamba tuelekee huko nlikomtaka jamaa tuende,kwa mbele kama kawaid tembo wengi walionekana wakipata malisho na sehemu tulikua tunaenda ndo njia ya kwenda tunapotaka tuende.
Hatua chache kabla hatujawafikia wale tembo tulivuka mfereji niseme tu mto lakin ulikua na miamba na mawe ya kutosha kana kwamba umejengwa coz yale mawe yalikua yamejipanga kama tiles ila ulkua ni mto japo ulkua hutiririshi maji wala maji yaliyotuama hayakuepo,mfano mzuri vile mifereji ya barabara inavyojengwa kwa mawe ili maji yasiharibu barabara tofauti tu ni kuwa ule mtu ulkua na kingo ndefu fut 15 na kuendelea.
Tulivuka huo mto na jamaa tembo tukawa tumewakaribia mwingne mmoja tukawa tumempita sasa mimi nililkua nimetangulia sabu njia ilikua nyembamba kwa mbele tembo alkua karibu na kibarabara,nilichofanya nkamgusa tembo mmoja ambae kwa haraka inaonekana alikua mdogo japo hakuwa mdogo kihivyo,tembo mama alikasrika na kunifata kwa fujo alirusha konga lake anikamate nkachuchumaa likawa limenikosa baada ya hapo mbio nyingi nyuma tembo akija kwa speed,tembo ni mnyama mkubwa ila anaspeed asee japo ni ndoto ila nilikiona cha moto,nilikimbia nkaamua kuruka kwenye zile kingo nkawa nakimbia seheme maji ya mto waga yanaflow nlivyoona stoboi nkapandisha ukingo wa pili sjui hata niliwezaje sabu lilikua jabali refu na jinsi tembo alikua amenikaribia+lile jabali lilikua kama linateleza nkajivuta vuta akiwa ananikosa kosa na konga..upande wa jamaa yeye yule alijisogeza tu kidg make lile varaganti na yule tembo kana lilikua halimhusu hivyo tembo alideal na mimi aliponikosa akarudi kwa tembo wenzake..nkashituka nahema mno ...mwenye anaelewa anifumbue plz
Asante
 
Ndoto ya pili;
Ilionekana nipo sehemu fulani,maeneo ya shamba.
Tulikua na jamaa watatu mimi,ndugu yangu tuliekua pamoja na mtu mwingine ambae pia alionekana ni ndgu yaani kaka ake na yule jamaa tulokua pamoja..mimi ntawaita baba zangu wadogo.
Tulikua ka tuna mazungumzo juu ya mzoga fulani ambae skuutambua vizuri huo mzoga ni wa mnyama gani ila ilionekana mzoga wa mnyama kama punda,ng'ombe au simba size hiyo hapo.
Tukiwa tunafikria nini tufanye juu ya mzoga huo,mimi nikawa na wazo kwamba tuupeleke kwenye shimo fulani lenye kingo ndefu kama nguzo za umeme ila kwa ndani lilikua na space kubwa tu ambayo iliwezesha watu kufanya kilimo cha bustani za mboga lakin cha ajabu halikua na maji,muda tumekaa kutafakari juu ya huo mzoga mimi nkawapa wazo kwamba tuuvulute tuupeleke kwenye lile bwawa au shimo ili mzoga ukioza tupate mbolea kwa ajili ya bustani,wazo langu likawa accepted na shughuli ya kuuburuza ule mzoga kuufikisha kwenye lile shimo ikaanza mimi na yule msela ndo tulihusika jamaa mwingne ikawa ka hayupo tena.
Tulipofika kwenye lile bwawa au shimo pana tukasimama na msela tukawa tunawaza tunaudhushaje ule mzoga from no Where scene ikabadilka mambo ya ndoto waga inatokea tu kitu kingine kinaibuka.
Safari hii jamaa alionekana sasa yaani kaka ake na msela tulokua nao(wote ni baba zangu wadogo)
Tulionekana tumekaa kwenye lile bwawa pembeni mwa zile kingo mimi nikiwa katikati,tukiwa tunapiga story jamaa tulokua nae akasema"nyie sikieni hivi mnajua sehemu tuliyokaa siyo salama"ebu angalieni pale
Mimi ndo nikawa wa kwanza kuangalia,ile kuangalia tu nikakutana na macho ya chui ambae alikua kwenye mwembe uliokua karibu na zile kingo mahali tumekaa ile tunajaribu kukimbia mimi akawa ameniwahi,purukushani nae sabu tulikua kwenye zile kingo nkajikuta tunadumbukia tukiwa hewani kuelekea chini mimi nkamtoboa macho yule chui hadi tunafika nlishangaa tunadumbukia kwenye maji kwamba lile bwawa tyr lilikua limejaa maji hadi yameanza kubomoa kingo,nkaogelea kwa kasi sana baada ya kumtoka yule chui ile naangalia kwenye kingo naona kuna watu kama watatu wamejifunga mashuka ya kimasai wanasubiri kunishambulia,bahati nzuri kingo zilikua zinabomoka za lile bwawa yale maji yaliyokua yanatoka yalinitoa speed wale watu waliposhtuk nipo mbali mimi nkaungana tena kwa mbele na yule jamaa tulokua pamoja tukakimbia..hawakuweza kunipata au kunipata kiujumla...atakaefahamu afungue code hii nmeota mwezi au miezi miwili ilopita.
 
Back
Top Bottom