Folk Part II
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 419
- 490
- Thread starter
- #81
Human physiology + understanding yourselfNahitaji kuwa kuwa mtabiri ndoto mahiri, Niombe kozi gani inayohusiana na hili pale UDSM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Human physiology + understanding yourselfNahitaji kuwa kuwa mtabiri ndoto mahiri, Niombe kozi gani inayohusiana na hili pale UDSM?
Ilikuwa inakuonyesha kwamba watu wema humalizwa na watu wachache wabaya na pia sio kila anayeadhibiwa ni mkosefu wengine wanaonewa tu na watu wenye uwezo wa kufanya ivo kwaiyo inakupa onyo kwepa sana mazingira ya ivoKuota ngombe wanachinjwa nyumban kwako wameizunguka nyumba
Kwema aiseee?Ukiota mkeo anagegedwa na bestie wake wa kiume ina maana gani kindoto/kiroho?
SawaIlikuwa inakuonyesha kwamba watu wema humalizwa na watu wachache wabaya na pia sio kila anayeadhibiwa ni mkosefu wengine wanaonewa tu na watu wenye uwezo wa kufanya ivo kwaiyo inakupa onyo kwepa sana mazingira ya ivo
Kwa mfano umegombana na mke/mme wako unaanza kusema kwa rafiki yako, umegombana na familia yako unaanza kutangaza kwa watu, umepigwa kibuti unalalama kwa watu, maisha yamekugomea unamwambia kila mtu hata kama hana msaada ndoto imekuonya vitu vya aina hii na vinginevyofafanua hii umenieleza kwa kifupi sana
Kwema mno
Umepotea!
Chuga kwema?
Kwema mno
Umepotea!
Chuga kwema?
PoaKwema, Nicheki pm badae
Mimi?Hupatikan mbona?
Basi nicheki sasa hiviMimi?
Sipatikani?
Mbona nipo?
Kila siku hapa JF?
Na kwingineko?
Sawa bageshiBasi nicheki sasa hivi
😜Sawa bageshi
Duh...hii kaliUkiota mkeo anagegedwa na bestie wake wa kiume ina maana gani kindoto/kiroho?
Kumuota mpenzi wako wa zamani Kila Mara zaidi ya Mara kumi Nini tafsiri yake.
Asante Mkuu umefafanua vyema sana Allah (SAW) akubariki sana. Sasa hapo kwenye hio ishu ya Boss hapo kuna siku niliota tena Barua ya Kuitwa Kazini ikiwa na jina na shahihi ya Waziri wa Wizara husika pamoja na Sahihi ya huyo Boss na hii ilikuwa na maaana gani ? Japo hata huko kazini mpaka leo sijaitwa. Na hata hivyo siwaziii sana kuhusu hiliNdoto namba 1 kuhusu raisi kikwete
hii ilikuwa ina kuonyesha na kukumbusha kwamba ubinadamu ndo kitu cha msingi zaidi. Hata siku ukiwa na mali nyingi, vyeo vikubwa, ukiwa boss kazini usiwadharau waliochini yako waheshimu tu
Ndoto namba 2 kuhusu binti na sufuria
Kiroho ilikuwa inakuonyesha kwamba upendo au faraja ni kitu cha muhimu sana kwa watu wengine kwa kuwazawadia au kuwapa msaada na unapowasaidia kuwapa msaada uonyeshe furaha sio kuanza kuwasema vibaya au unakunja sura
Chondechonde isikupeleke kwamba ni siku ya harusi unavikwa pete hii itakuwa tafsiri ya kimazingira na sio kiroho
ndoto namba 3 kuhusu jamaa yako aliefariki
kiroho ilikuwa imekuonyesha vitu vi3 1. Nguvu ya kufanya maamuzi 2.haki 3.kila penye kizuri au kibaya pana chuki
1. Nguvu
ili ufanye vitu vyako na viende unahitaji pawa ya hicho kitu husika pawa zenyewe zaweza kua pesa, cheo, elimu n.k ndo maana kwenye ndoto boss wako alifanya maamuzi bila kupingwa
2.haki
umeonyweshwa kwenye ndoto kuwa kwa sasa mambo mengi hayaendi kwa haki kama inavyotakiwa. Ndoto inakufungua ni jinsi gani inabidi upate kitu hata kama si haki yako. Labda kwa kutumia undugu, kujenga urafiki na mwenye sekta husika. Kutumia pesa ila cha msingi upate unachokitaka
3. Chuki
umeonyeshwa kwamba unavopiga hatua moja kwenda nyingine maadui wengi ni watu wako wa karibu hapo unakumbushwa kuwa makini nao na kuishi nao kwa akili
ndoto namba 4 kumhusu mama yake binti
ulikuwa unakumbushwa kwamba sio kwamba rafiki zako ambao unastarehe nao na kura raha nao watakuwa msaada kwenye shida wengi wao huteleza ila wale uliopita nao kwenye magumu na kuwasaidia huwa ni faraja wakati wa shida na kwenye ndoto umeonyeshwa kujali mtu mwenye shida ni jambo jema hata kwa mtu mwingine tofauti na huyo mama yake binti