Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

Andika hapa ndoto zako za usiku ili kukicha uweze kutafsiriwa

Habari wana jamvi?

Kama kichwa kinavyojieleza nimeanzisha thread hii ili itusaidie sisi kujua je hizi ndoto zinatofautiana au sawa kwa watu sawa au wanaoishi maeneo tofauti lakini zinakuwa na maana moja au ni tofauti?

Andika ndoto yako ya usiku wa leo hata siku zijazo utakazoota hii itasaidia pia kutunza ndoto zako na utaweza kutafusiriwa zilikuwa na maana gani katika maisha yako?

Ni mimi hapa
Folk Part II
Naandika nikiwa hoi kitandani.
Pole saana mkuu.. Mwenyezi Mungu akupe shufaa... Folk Part II 😔
 
Kuota unaibiwa halafu ukiamka asubuhi kweli umeibiwa,hiyo maana yake nini![emoji23]

Kuota unakojoa halafu unaamka asubuhi kweli dream came true hii maana yake nini!
 
Niliskia kibonzo... Jamaa anamskiliza Mchungaji kupitia Radio, ilipofika muda wa kupiga simu, Jamaa kapiga simu kisha Kahana sauti km Bint na Jina kataja la kike... Mchungaji kamtabiria atapata Ujauzito soon... Mungu ameskia hitaji lake!
 
Ola hebu nitafsirie hii ndoto kuna mda nilishawahi muota wife na sex nae alafu anatoa madini kwenye haja kubwa kila nikimpelekea moto mfano wa vito vinavong'aa vinamdondoka huko kwenye tigo mpaka leo sjapata jibu nikawa nawaza au kuna mtu anamla tigo huyu msaada mkuu
 
Back
Top Bottom