Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
please akikupa jib nitag hii kitu inanitokeaMkuu Folk Part II
Sijui kama ndoto hii imeshaulizwa humu maana naamini ni ndoto ya kawaida kwa watu wengi japo ina version mbalimbali.
Unaota upo shule ya primary/o'level/A'level/chuoni. Vividly kabisa na washikaji. Mara ni siku ya mtihani wenzako wanafanya mtihani wewe mara huna kalamu, mara darasa hulioni au mwalimu anakukatalia kuingia kwenye chumba cha mtihani ali mradi vurugu tupu.
Au ukiingia kwenye chumba cha mtihani unakuta mtihani ni mgumu hatari huwezi hata swali moja wakati wenzio wameanza kumaliza na kukusanya kazi zao wewe bado unahangaika tu.
Na mara nyingi katika ndoto hizi za shule unakuwa unamwota mtu au watu wale wale. Yaani kila ukiota wahusika ni wale wale!
Na hii. Unajaribu kuwahi airport lakini kunakuwa na ishu. Mara passport huioni. Mara mizigo yako ina matatizo au ndege mbovu...ali mradi tu mpaka wengine watasafiri we bado unahangaika.
Asante sana
Hii ni ndoto huwatokea wengi sana ndo maana nimeiuliza. Nitakutag akijibuplease akikupa jib nitag hii kitu inanitokea
Mkuu Folk Part II
Sijui kama ndoto hii imeshaulizwa humu maana naamini ni ndoto ya kawaida kwa watu wengi japo ina version mbalimbali.
Unaota upo shule ya primary/o'level/A'level/chuoni. Vividly kabisa na washikaji. Mara ni siku ya mtihani wenzako wanafanya mtihani wewe mara huna kalamu, mara darasa hulioni au mwalimu anakukatalia kuingia kwenye chumba cha mtihani ali mradi vurugu tupu.
Au ukiingia kwenye chumba cha mtihani unakuta mtihani ni mgumu hatari huwezi hata swali moja wakati wenzio wameanza kumaliza na kukusanya kazi zao wewe bado unahangaika tu.
Na mara nyingi katika ndoto hizi za shule unakuwa unamwota mtu au watu wale wale. Yaani kila ukiota wahusika ni wale wale!
Na hii. Unajaribu kuwahi airport lakini kunakuwa na ishu. Mara passport huioni. Mara mizigo yako ina matatizo au ndege mbovu...ali mradi tu mpaka wengine watasafiri we bado unahangaika.
Asante sana
Kumbe unapenda kuonja ladha tofautiNimeota nimefumaniwa na sina mume, hapo vipi sheikh Yahya
Amenihakikishia hapo juu kuwa yeye bado bikra. Ataonjaje ladha tofauti wakati bado bikra? 😳Kumbe unapenda kuonja ladha tofauti
Kumbe...basi ndoto zake ni ishara wakati wa bikra kutolewaAmenihakikishia hapo juu kuwa yeye bado bikra. Ataonjaje ladha tofauti wakati bado bikra? 😳
Kumbe unapenda kuonja ladha tofauti
Umepinda weweUhakika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amenihakikishia hapo juu kuwa yeye bado bikra. Ataonjaje ladha tofauti wakati bado bikra? [emoji15]
Amenihakikishia hapo juu kuwa yeye bado bikra. Ataonjaje ladha tofauti wakati bado bikra? [emoji15]
Kumbe...basi ndoto zake ni ishara wakati wa bikra kutolewa
Halafu inasemekana eti huwa hawawasahau wanaume waliowatoa bikra (wafungua njia) maana kiroho hao ndiyo hasa walipaswa kuwa waume zao walioandikiwa na Mungu. Na wakati wo wote wakitaka kupasha kiporo wanapasha tu!Kumbe...basi ndoto zake ni ishara wakati wa bikra kutolewa
U got jokes eeh🤣🤣🤣🤣Itakuwa, alafu wanasema inauma labda umpate mwenye kibamia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umeamua kumwaga ukweli mtupu. So kikubwa tusioe maana tunaoa wake za watuHalafu inasemekana eti huwa hawawasahau wanaume waliowatoa bikra (wafungua njia) maana kiroho hao ndiyo hasa walipaswa kuwa waume zao walioandikiwa na Mungu. Na wakati wo wote wakitaka kupasha kiporo wanapasha tu!
Wafungua njia takatifu ielekeayo kisimani kwenye mti wa mema na mabaya. Inasemekana vurugu zote hizi katika mahusiano na ndoa zinatokana na kuvunja kanuni hii takatifu. Mfungua njia takatifu ndiye alipaswa kuwa mmiliki PEKEE NA WA KUDUMU wa njia hiyo!
Lakini sasa njia takatifu iliyoumbwa kwa lengo kuu la "zaeni mkaongezeke mkaijaze dunia" ndiyo imegeuzwa na kuwa starehe namba wani na kitega uchumi kikuu cha watu kuendeshea maisha yao na hata kuwaondoa kutoka katika umasikini wao.
Mungu hajapendezwa na matokeo yake yanaonekana!
Halafu inasemekana eti huwa hawawasahau wanaume waliowatoa bikra (wafungua njia) maana kiroho hao ndiyo hasa walipaswa kuwa waume zao walioandikiwa na Mungu. Na wakati wo wote wakitaka kupasha kiporo wanapasha tu!
Wafungua njia takatifu ielekeayo kisimani kwenye mti wa mema na mabaya. Inasemekana vurugu zote hizi katika mahusiano na ndoa zinatokana na kuvunja kanuni hii takatifu. Mfungua njia takatifu ndiye alipaswa kuwa mmiliki PEKEE NA WA KUDUMU wa njia hiyo!
Lakini sasa njia takatifu iliyoumbwa kwa lengo kuu la "zaeni mkaongezeke mkaijaze dunia" ndiyo imegeuzwa na kuwa starehe namba wani na kitega uchumi kikuu cha watu kuendeshea maisha yao na hata kuwaondoa kutoka katika umasikini wao.
Mungu hajapendezwa na matokeo yake yanaonekana!
U got jokes eeh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi njoo unibless na mbususu yako
Njoo pm upate picha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuma picha kwanza nikione kisije kuniumiza bikra yangu imekomaa
Mi sijasema hivyo!Umeamua kumwaga ukweli mtupu. So kikubwa tusioe maana tunaoa wake za watu