Andika usichokipenda humu JamiiForums

Hao marafiki wapenzi wasalimie sana jaman huku pm kwangu ni salaam tu zimejaa
hahha wanakusoma tu !raha ya kuwa na wahenga mwaya !vitoto tupa kuleee !
binafs am humbled jaman! akuu !
 
Ni uzwazwa tu na utoto mliyofanyana yaishie huko huko ili tujue sijui kama wamekulana
 
We mbiti ebu waforwad na huku

ahahah sasa wewe ule msemo wa kusema wanwake wa jf wanajiuza utatamalaki hapa !
dec mwaka jana kuna mshikaj aliniambia mbiti nenda abood kapokee mzigo wako kuna bahasha mle !OMG OMG OMG !SIMJUI HANIJUI !nakushukur mama kunizaa mwanamke !woyooooo!sifowadr shoga !
watu tunajipulizia marashi ya watu na hadhi zao !mxiewww live long jf
 
Acha tujiuze ndio raha ya mwanamke au wivuuuu [emoji3][emoji3][emoji3]
na ukiona salam zimezid saaaan jua huyo ni under 35 !kuwa makini !heehehe !wahenga anakuja pm mara moja moja !anaomba namba kiheshima !unaskia tu calls oh wknd upo wapi! unakunywaga? if yes bas ngoja nikutumie walau kawine ukanywe !hehehe nataman kuwatag hapa !nawapenda mno mno ! mmoja espy anamfaham! raha ya kuwa mhenga !lol
 
Wewe na espy mnafaidi mema ya nchi..
 
Weee hata isikupe shida ... Najua kudeal nao hawa !!!...

Subiri ukiwa online ,nambie nikutumie shots za mshenzi mmoja humu ili umwone choooo !!!...naendelea kusoma ....

Bahat nzuri Mimi sijawahi kushindwa kitu.
 
Kuna wanajf wanawajua wanawake wote wa jf..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…