yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
Ni miti mingapi inakatwa kwa siku kwa ajili ya mkaa????Doesn't matter, mazingira yanaharibiwa. Kunya ni kunya tu ata ukinya kidogo harufu ni ile ile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni miti mingapi inakatwa kwa siku kwa ajili ya mkaa????Doesn't matter, mazingira yanaharibiwa. Kunya ni kunya tu ata ukinya kidogo harufu ni ile ile.
Kushindwa kudhibiti uharibifu wa mazingira hakukupi justification ya kuharibu mazingira mengineNi miti mingapi inakatwa kwa siku kwa ajili ya mkaa????
Total area of Selous Game Reserve 54,600 km²......Total area needed for Stiegler's Gorge Project is about 1,350 square kilometers
Kama kuna haja ya kuzuia na bunge haliwezi kuzuia basi tuvunje bunge kue na supreme leader. Bunge ndo wananchi kama lenyewe linaona sawa twende tu .
Environmental Impact Assessment study ya project inasemaje????And that 1,350sqm is the prime wetland if you did not know. Hizo zingine ni ardhi ya kawaida tu
Kazi ya Mwalyosi ni ya 2009 na sasa tuko 2018 takribani miaka 10 iliyopita. Hivyo validity ya hiyo EIA itajuwa imepitwa na wakati. Huu (nyekundu) ni ujuha wa kiwango cha lami na ujinga wa hali ya juu kabisa. Huyu nae amesha poteza hoja kabaki na UDOLA tu. Tukiitwa shithole (neno la kuudhi na dharau) tujue ni watu wa aina hii wanao tupeleka huko.Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Bw. Kangi Lugola amesema Bungeni siku ya Jumanne Mei 22 kuwa 'pepa' iliyoandaliwa na Prof. Raphael Mwalyosi kutoka IRA UDSM ya mwaka 2009 itatumika kama tathmini ya athari za kimazingira za ujenzi wa bwawa la Stiegler's.
Amesema, " Kwa taarifa yenu, Serikali itaendelea na utekelezaji wa mradi mpende ama msipende. Wanaopinga mradi huu wataishia jela"
Msweke lupango!Wewe sio mzalendo..
Twende mbele na kurudi nyuma , Hivi Kangi Lugora ni mzima ? Watu hawawezi kwenda jela kwa amri ya mtu mdogo sana kama Kangi Lugora , kuwa kwake kuruta wa polisi hapo zamani asidhani kwamba ndio anaweza kunyea katiba ya nchi , bila shaka amelewa madaraka kishamba sana !Amesema, " Kwa taarifa yenu, Serikali itaendelea na utekelezaji wa mradi mpende ama msipende. Wanaopinga mradi huu wataishia jela"..
Kwa kauli hizi usitegemee jema hapo. Mark my wordsAmesema, " Kwa taarifa yenu, Serikali itaendelea na utekelezaji wa mradi mpende ama msipende. Wanaopinga mradi huu wataishia jela"..
Environmental Impact Assessment study ya project inasemaje????
iliyofanya na Prof. Mwalyosi ni kitu gani????Haijafanyika
iliyofanya na Prof. Mwalyosi ni kitu gani????
Si angesema tu wanaopinga watamiminiwa risasi kama alivyomiminiwa TL...!Amesema, " Kwa taarifa yenu, Serikali itaendelea na utekelezaji wa mradi mpende ama msipende. Wanaopinga mradi huu wataishia jela"..
Hiyo miti ni ya selous tu ni kaeneo kadogo like 1530 sqkm pia gesi magumashi mkuu. Ni kama sio yetu.Miti milioni tatu? Hawa jamaa wanataka kuigeuza hii nchi jangwa.
Mbona hawasemi kwanini hawaelekezi nguvu kwenye umeme wa gesi?