Andiko la Prof. Mwalyosi la 2009 kutumika kama tathmini ya mazingira Stiegler's gorge; watakaopinga kufungwa

Andiko la Prof. Mwalyosi la 2009 kutumika kama tathmini ya mazingira Stiegler's gorge; watakaopinga kufungwa

watu wanawaza kupiga pesa tuuuuuuuuuuu

miti milioni tatu kweli na mtu unaendelea tu??

awamu hii tutampata TRILIONEA Aisee
 
Miti zaidi ya milion 3, halafu still wanasema hawata haribu mazingira!! ,, like seriously!!?
3,000,000 trees[emoji849]
Hebu watupe case study ya nchi nyingine iliyowahi ku implement project iliyoleta madhara makubwa ya kimazingira kama hii.
Na je hali ikoje kwa sasa kwenye nchi hiyo hata baada ya kufanikisha mradi huo??
Aisee, Miti milion tatu sio mchezo. Kwanini tusirudi tuu kwenye gesi ambako miundombinu yote ishafanyika. Tuweke gas plant kubwa tuu pale Lindi na uzalishaji uanzie pale. Chenji itayobakia tuwekeze kwenye kilimo ili ku boost Sera ya viwanda na kurahisisha upatikanaji wa malighafi.
Tatizo siyo miti milioni 3. Hiyo ni lugha ya wanasiasa na ignorance ndani yake kutaka kuwaonyesha wananchi kwamba ni tatizo kubwa. kwani fito milioni 3 siyo miti? Miti hupimwa kwa cubic meters na siyo idadi ya milioni 3, that will be nonsense argument.

Ukitaka kujua maan ya hydro power fuatilia hydro kubwa kuliko zote china. Utaiona gharama ya mazingira iliyotokana na power station hiyo. Kelele zilipigwa sana! relocation ilikuwa ni ya watu milioni 1 na hata rotation ya dunia ilipungua kwa kiasi fulani. Lakini dam ilijengwa! Binadamau tunataka maendeleo na siyo glory ya mazingira ambayo wengi pia hamuwezi kuieleza. KIla mbunge ni kelele tu! na hata wakipewa EIA hawatweza kuielewa na kutoa challenge zaidi ya kufuata kitakachoandikwa.
 
Aisee, Miti milion tatu sio mchezo. Kwanini tusirudi tuu kwenye gesi ambako miundombinu yote ishafanyika. Tuweke gas plant kubwa tuu pale Lindi na uzalishaji uanzie pale. Chenji itayobakia tuwekeze kwenye kilimo ili ku boost Sera ya viwanda na kurahisisha upatikanaji wa malighafi.
ndio maana atuendelei kwa kutoendeleza miradi iliyoanza na hata huu akija mwingine ataona aufai
 
Unaambiwa ukubwa wa Dar! Wewe unsema ni fito?
Kwa nini hakuna maelezo ya gesi?
 
Aisee, Miti milion tatu sio mchezo. Kwanini tusirudi tuu kwenye gesi ambako miundombinu yote ishafanyika. Tuweke gas plant kubwa tuu pale Lindi na uzalishaji uanzie pale. Chenji itayobakia tuwekeze kwenye kilimo ili ku boost Sera ya viwanda na kurahisisha upatikanaji wa malighafi.
Tatizo Kubwa ni pale ishu za kitaalam zinapojadiliwa na wanasiasa wasiojua chochote kuhusu nishati.....
Mchakato wa kugeuza nishati ya Maji na gesi kuwa Umeme uko tofauti.... Akiba ya nishati ya gesi huisha kadiri unavyotumia....akiba ya nishati ya maji utumie au usitumie hupotea bure...Gharama za awali za uwekezaji katika nishati ya maji ni kubwa kuliko zile za gesi..wakati uendeshaji wake ni Mdogo sana kulinganisha na gesi..... Athari za mazingira ni Kubwa katika Umeme wa maji kuliko gesi....Nadhani yote haya na mengine mengi Wataalam wetu waliyaangalia huku wakitilia maanani HITAJI letu kwa wakati huu....wakapanga namba zao kisha wakatoa majibu...
Hivyo kung'ang'ania tu miti milioni Tatu wakati haujui namba nyingine zinaendaje ni ujinga....
Angalizo: Nchi nyingi za ulaya zimeanza kuachana na matumizi ya nishati ya nyukilia baada ya kupata maendelea kupitia nishati hiyo....Tujali zaidi mahitaji yetu kwa wakati wetu , mazingira yetu na hali yetu.....
 
Tatizo Kubwa ni pale ishu za kitaalam zinapojadiliwa na wanasiasa wasiojua chochote kuhusu nishati.....
Mchakato wa kugeuza nishati ya Maji na gesi kuwa Umeme uko tofauti.... Akiba ya nishati ya gesi huisha kadiri unavyotumia....akiba ya nishati ya maji utumie au usitumie hupotea bure...Gharama za awali za uwekezaji katika nishati ya maji ni kubwa kuliko zile za gesi..wakati uendeshaji wake ni Mdogo sana kulinganisha na gesi..... Athari za mazingira ni Kubwa katika Umeme wa maji kuliko gesi....Nadhani yote haya na mengine mengi Wataalam wetu waliyaangalia huku wakitilia maanani HITAJI letu kwa wakati huu....wakapanga namba zao kisha wakatoa majibu...
Hivyo kung'ang'ania tu miti milioni Tatu wakati haujui namba nyingine zinaendaje ni ujinga....
Angalizo: Nchi nyingi za ulaya zimeanza kuachana na matumizi ya nishati ya nyukilia baada ya kupata maendelea kupitia nishati hiyo....Tujali zaidi mahitaji yetu kwa wakati wetu , mazingira yetu na hali yetu.....
Sasa tuliwekeza hela nyingi kwenye pipeline ile za nini!? Kama ndiyo hivyo vigezo ni vyema mkawaelewesha wananchi. Vilevile hakuna aliyepinga nyie kujenga huko Ruvu, Ila tunajaribu kuangalia possible cautions and options. Hela tunazowekeza huko si mchezo mkuu, na bomba letu kazi yake itakuwa ndogo sana tofauti na mategemeo yake.
 
Sasa tuliwekeza hela nyingi kwenye pipeline ile za nini!? Kama ndiyo hivyo vigezo ni vyema mkawaelewesha wananchi. Vilevile hakuna aliyepinga nyie kujenga huko Ruvu, Ila tunajaribu kuangalia possible cautions and options. Hela tunazowekeza huko si mchezo mkuu, na bomba letu kazi yake itakuwa ndogo sana tofauti na mategemeo yake.
Dah....tatizo kumbe siyo bomba LA gesi....wala miti million 3....tatizo kuu ni mindset..... nyie...sisi..wale....wakati wote tunajenga nyumba moja....TANZANIA....
 
Fedha zilizotumika wakati wa gesi ni kodi zetu. Tuliahidiwa na serikali hii hii kuwa tatizo la umeme litakuwa limekwisha lakini pia hawakusita kuua Watanzania, na hii serikali ya awamu ya 5 imekuja na S.G na wenyewe wako tayari kufunga watu wanaopinga mradi huo. Hii inadhihirisha jinsi gani hatuna vipaumbele vya taifa, kila anayekuja anakuja n chake.
 
jamani ee kwa adha za umeme zilizokuwepo miaka ya nyuma nasema hivi huo mradi uanze hata kesho nitampinga kwa mengine ila sio swala la umeme.
ila tu kama hakuna upigaji ndani yake vinginevyo serikali pelekeni wataalamu hata kesho waanze kazi.

dubai kuna miti mingapi? pale kwa malkia nako kuna miti mingapi? we need to change guys habari za kubaki na miti kisa tunaogopa kubaki jangwa siziafiki kabisa. Hizo mvua zengewe zinazo letwa na huo msitu sioni wakulima wakizitumia watu mmejazana kariakoo kuuza mitumba iliyo tengenezwa na viwanda kwenye nchi zenye umeme wa uhakika.

niiteni msaliti kwa hili
 
Miti milioni tatu? Hawa jamaa wanataka kuigeuza hii nchi jangwa.

Mbona hawasemi kwanini hawaelekezi nguvu kwenye umeme wa gesi?
Unless you are stupid ndiyo unaweza pinga mradi huu ambao utapunguza gharama za umeme. Gesi akina JK na wachina wake walipiga na bei ya umeme kwa gesi ingekuwa kubwa. Acheni cheeeeeeap politics
 
Unless you are stupid ndiyo unaweza pinga mradi huu ambao utapunguza gharama za umeme. Gesi akina JK na wachina wake walipiga na bei ya umeme kwa gesi ingekuwa kubwa. Acheni cheeeeeeap politics

Kwahiyo anamuonea aibu JK na wachina kuwapa za uso?

Na una uhakika gani na uyaandikayo?

Hii kitu mtu akitoka madarakan inaficha maovu mengi. Mambo ya zaman yanabaki kuwa siri au yanaendelea kufanywa siri. Saa hizi kila kitu kingekuwa kinawekwa wazi na kama msalaba ni wa kumbebesha JK angekuwa anajibebea zake na kwenda nao msoga.

Lakini wapi, hamna kitu. Na huenda jk hana hata kosa katika project ile ila mtu anajijia zake na project lingine la kufukarisha zaid nchi. Anajua hakuna atayemuuliza leo wala kesho akitoka jumbani

Tuanze kuwashtaki hawa majamaa wakitoka madarakani
 
3,000,000 trees[emoji849]
Hebu watupe case study ya nchi nyingine iliyowahi ku implement project iliyoleta madhara makubwa ya kimazingira kama hii.
Na je hali ikoje kwa sasa kwenye nchi hiyo hata baada ya kufanikisha mradi huo??
WACHA MITI MIL 3 WAU WALIHAMISHWA ZAIDI YA IDADI HIYO YA MITI NA MIRADI KAMA 3 GORGES YA CHINA NA PIA BWAWA LILIOJENGWA ETHIOPIA MIAKA HII HIICYA KARIBUNI, HIYO MITI NI PAMOJA NA VCHAKA VIPO KARIBU KARIBU ENEO NI NDOGO SANA LA MBUGA YA SELU. ETHIOPIA SASA WAKO WANATAKA KUTUUZI UMEME . WOTE HAWA WALILALAMIKIWA ETI WANAHARIBU MAZINGIRA. HICHO KIMRADI CHA UMEME WA GESI WA BEI MBAYA HAITAKAA ITUFIKISHE MAHALI. TUPATE UMEME WA BWAWA KWA BEI CHINI YA THELUTHI MBILI YA HII WANAYOTUPIGA KWA KUTUMIA GESI. MUNGU TUSAIDIE WATANZANIA
 
Miti milioni tatu? Hawa jamaa wanataka kuigeuza hii nchi jangwa.

Mbona hawasemi kwanini hawaelekezi nguvu kwenye umeme wa gesi?
Single ya umeme wa gesi ime scratch mkuu... [emoji23] [emoji13] [emoji85]
 
Kama sikosei Tanzania ni miongoni mwa nchi 5 Africa zinazoongoza kwa ukataji miti. Deforestation
Inakadiriwa kwamba kwa mwaka hekta za misitu laki mbili mpaka tatu hufyekwa hapa nchini.... source: NAFORMA REPORT
 
Mkuu zinatafutwa hela kwa ajili ya uchaguzi 2020. Kabla ya kila uchaguzi, chama kileee lazima kipige hela za kisawasawa. Haya ni maandalizi ya kuhalalisha dili hilo.
Ile 1.5 Trln haijatosha mkuu?
 
Back
Top Bottom