Andiko la Prof. Mwalyosi la 2009 kutumika kama tathmini ya mazingira Stiegler's gorge; watakaopinga kufungwa

Andiko la Prof. Mwalyosi la 2009 kutumika kama tathmini ya mazingira Stiegler's gorge; watakaopinga kufungwa

SIJAWAHI kumsikia yeyote anatoa majibu ya gesi katika kuondoa tatizo la umeme
Mradi wa gesi unaendelea. Lengo ni kuwa na umeme wa 20,000 MW ambao mwingine tutakuwa tunauza nje. Nyingi ya gesi ya Mtwara iko chini ya bahari na bado haijapata wawekezaji wa kuichimba. Mtakumbuka Prof Muhongo alivyowaambia akina Reginald Mengi kuhusu ukubwa wa gharama ya uwekezaji katika mradi huo wa gesi. Si mchezo, huu wa Stiegler's gauge uwekezaji wake ni peanut!
 
Tatizo siyo miti milioni 3. Hiyo ni lugha ya wanasiasa na ignorance ndani yake kutaka kuwaonyesha wananchi kwamba ni tatizo kubwa. kwani fito milioni 3 siyo miti? Miti hupimwa kwa cubic meters na siyo idadi ya milioni 3, that will be nonsense argument.

Ukitaka kujua maan ya hydro power fuatilia hydro kubwa kuliko zote china. Utaiona gharama ya mazingira iliyotokana na power station hiyo. Kelele zilipigwa sana! relocation ilikuwa ni ya watu milioni 1 na hata rotation ya dunia ilipungua kwa kiasi fulani. Lakini dam ilijengwa! Binadamau tunataka maendeleo na siyo glory ya mazingira ambayo wengi pia hamuwezi kuieleza. KIla mbunge ni kelele tu! na hata wakipewa EIA hawatweza kuielewa na kutoa challenge zaidi ya kufuata kitakachoandikwa.

..fedha tunazotarajia kuwekeza Stieglers zikiwekezwa kwenye kuzalisha umeme wa gesi tutapata megawatt ngapi?

..wanamazingira wanadai tangu mradi wa Stieglers uasisiwe enzi za Mwalimu Nyerere kiwango cha maji kimepungua mno ktk bonde la mto ruaha, kilombero, na rufiji.

..kwa hiyo maoni yao ni kwamba mradi utaathiri kwa kiwango kikubwa shughuli za KILIMO za wananchi wanaoishi ktk bonde hilo.

..Pia katika awamu ya Mzee Kikwete tuliambiwa kwamba umeme wa maji siyo wa uhakika/kutegemewa, hivyo ni busara kuwekeza kwenye umeme wa gesi.
 
..fedha tunazotarajia kuwekeza Stieglers zikiwekezwa kwenye kuzalisha umeme wa gesi tutapata megawatt ngapi?

..wanamazingira wanadai tangu mradi wa Stieglers uasisiwe enzi za Mwalimu Nyerere kiwango cha maji kimepungua mno ktk bonde la mto ruaha, kilombero, na rufiji.

..kwa hiyo maoni yao ni kwamba mradi utaathiri kwa kiwango kikubwa shughuli za KILIMO za wananchi wanaoishi ktk bonde hilo.

..Pia katika awamu ya Mzee Kikwete tuliambiwa kwamba umeme wa maji siyo wa uhakika/kutegemewa, hivyo ni busara kuwekeza kwenye umeme wa gesi.
HAPA hoja ya msingi ni Je? gharama ya kutumia gesi na bei zake bado zitabaki kuwa JUU kwa miaka 25...kutokana na mikataba mibovu iliyoingiwa....so kwa S.G ni project cheep kwa ujenzi wa miaka 3....na tutafaidika kwa tofauti kubwa ya gharama.
 
HAPA hoja ya msingi ni Je? gharama ya kutumia gesi na bei zake bado zitabaki kuwa JUU kwa miaka 25...kutokana na mikataba mibovu iliyoingiwa....so kwa S.G ni project cheep kwa ujenzi wa miaka 3....na tutafaidika kwa tofauti kubwa ya gharama.

..unaweza kuwa sahihi.

..lakini kuwa suala la athari za mradi huo kwa shughuli za KILIMO ambazo bado hakuna anayetoa majibu.

..pia tuna uhakika gani kama mradi huu hautakuwa na changamoto za KINA CHA MAJI cha kuzalisha umeme kama ilivyo kwa miradi ya Mtera na Kidatu?

..I hope kutafanyika uchunguzi wa kitaalamu kutupatia majibu kama mradi hautakuwa na athari mbaya kwa nchi.

..mradi ni wa gharama kubwa hivyo ni lazima tuwe na uhakika na uwekezaji tunaokwenda kuufanya.
 
Miti milioni tatu? Hawa jamaa wanataka kuigeuza hii nchi jangwa.

Mbona hawasemi kwanini hawaelekezi nguvu kwenye umeme wa gesi?
ulaya mbona hakujageuka jangwa wao wamefyeka miti yote kujenga majiji ya london,paris nk wamekomalia kwetu na nyie vibaraka wao mnabweka humu.Marekani imekataa kusaini mikataba ya uchafunzi wa mazingira ya mi moshi ya viwanda nk kwa kuangalia maslahi yake.Tanzania tuna matrilioni ya miti eneo linalokaliwa na watu ni robo ya nchi miti milioni tatu ni kitu kibaraka wa wazungu wewe?
 
..fedha tunazotarajia kuwekeza Stieglers zikiwekezwa kwenye kuzalisha umeme wa gesi tutapata megawatt ngapi?

..wanamazingira wanadai tangu mradi wa Stieglers uasisiwe enzi za Mwalimu Nyerere kiwango cha maji kimepungua mno ktk bonde la mto ruaha, kilombero, na rufiji.

..kwa hiyo maoni yao ni kwamba mradi utaathiri kwa kiwango kikubwa shughuli za KILIMO za wananchi wanaoishi ktk bonde hilo.

..Pia katika awamu ya Mzee Kikwete tuliambiwa kwamba umeme wa maji siyo wa uhakika/kutegemewa, hivyo ni busara kuwekeza kwenye umeme wa gesi.
Joka, hayo yote yawezekana lakini ndani yake naona uwongo ambao hata mimi nimeusikia. Hydro haiwezi kuathili kilimo, ila kilimo kinaweza kuathili hydro. Sababu ni kwamba hydro tunaiita ni non-consumptive user wa maji. Hydro huchukuwa energy tu na kuyaachia maji yaendelee na njia yake. Hydro haipunguzi kiwango cha maji yanayotiririka labda kama ktk plan hiyo kutakuwa na kulazimisha maji yabadili njia yake. Upotevu pekee ni evaporation itakayotokana na bwawa. Je, evaporation ni kubwa kiasi hicho? NO! NO!

Kuhusu kupungua kwa maji, hiyo ni sahihi lakini huwa tunaangalia yatapungua kufikia kiasi gani? kwa miaka mingapi? na je, mbeleni yataendelea kupungua au yataongezeka?

Gesi ni non-renewable fuel. Haijitengenezi tena. Kuna mambo ya Energy security hapo. US wanaagiza mafuta na hawachimbi ya kwao. Kwa nini? Wanajua iko siku yatakwisha huko wanakoagiza na baada ya hapo kila kiumbe kitahaha! Kwa nini umalize gesi yako leo hii badala ya kutumia hydro ili baadaye ikiisha utumie coal na gesi, nk.!

Bunge na wabunge wetu wanastahili kusoma na kuongeza uelewa badala ya kujiamini kwamba ni wataalamu. Miaka ya nyuma hata kamati za Bunge ziliazima wataalamu nje ya Bunge lakini siku hizi ni wao tu na ndiyo maana baadhi ya hoja zao zina ignorance ya juu sana. Huwezi ukaisimamia serikali kwa ignorance yako.
 
Wakuu ili nchi hii iendelee tunahitaji umeme wa uhakika kwa ajili ya viwanda na matumizi mengine. Na hakuna chanzo cha umeme rahisi kama h.e.p. Ili kujenga dam lazima kukata miti. Hilo dam litakuwa ni kama ziwa na ni kawaida katika ujenzi wa h.e.p. Tusipinge kila kitu kana kwamba serikali imekurupuka na haijui itendalo, si haki.
 
Joka, hayo yote yawezekana lakini ndani yake naona uwongo ambao hata mimi nimeusikia. Hydro haiwezi kuathili kilimo, ila kilimo kinaweza kuathili hydro. Sababu ni kwamba hydro tunaiita ni non-consumptive user wa maji.

..nadhani KILIMO kinaathiri hydro.

..na hydro pia inaathiri kilimo.

..kuna utakumbuka EGYPT anapinga mradi wa umeme wa ETHIOPIA akidai kwamba utapunguza kiwango cha maji anayopata.

..mimi nadhani tunahitaji WATAALAMU waende huko wakatafiti na kushauri nini kifanyike.

..Wanasiasa walitakiwa wasubiri Wataalamu wabishane halafu wao wachukue maoni ya upande ulioshinda.

..Kwa hali iliyopo sasa hivi inawezekana Wataalamu wakawa wanashinikizwa na wanasiasa.
 
..nadhani KILIMO kinaathiri hydro.

..na hydro pia inaathiri kilimo.

..kuna utakumbuka EGYPT anapinga mradi wa umeme wa ETHIOPIA akidai kwamba utapunguza kiwango cha maji anayopata.

..mimi nadhani tunahitaji WATAALAMU waende huko wakatafiti na kushauri nini kifanyike.

..Wanasiasa walitakiwa wasubiri Wataalamu wabishane halafu wao wachukue maoni ya upande ulioshinda.

..Kwa hali iliyopo sasa hivi inawezekana Wataalamu wakawa wanashinikizwa na wanasiasa.
Egypt alikuwa anapinga hydro ya Ethiopia kwa sababu alifahamu mradi ule haukuwa ni hydro tu, ilikuwa ni pamoja na irrigation. Meles Zenawi alisema hilo. Ethiopia ni nchi kame sana na haikuingia akilini kwamba wanaachia maji kuelekea Nile. Mpango wa tangu mwanzo ni kutumia bwana la umeme ktk umwagiliaji.

Wataalamu walioibuka kwa haraka sana walikuwa ni WWF. Sikuwahi kuona taarifa rasmi lakini muhtasari wa maoni yao haukuwa na maana yoyote zaidi ya kutueleza nadhalia za darasani zinazokataza hiki au kile. Kuna mambo tunayasoma darasani lakini ktk maisha ya kila siku yanatekelezeka kwa akili ya ziada. Hili pia ndo tatizo unalosikia bungeni na hapa JF. Mtu alichokisoma, anataka kifanyike kila mradi akiamini hiyo ndo best practice.
 
Back
Top Bottom