Road Traffic Signal
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 621
- 1,958
Huyu sio Mpwayungu Village kweli aliyekimbia kule kondoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andrew Ana vituko sanaNyerere alikuwa mbinafsi sana. Yani kalostisha familia yake. Angalia kama huyu hopeless na helpless. Nyerere asingekuwa mchoyo na mbinafsi sasa hivi huyu Andy angekuwa huko ufukweni Bahamas ama hawaii kaning'iniza poumbo tu huku akilishwa zabibu kwa kudondoshewa mdomoni na madem wakaliiii.
Wacha ucharazwe tu kwa kweli sijui Hadi dasa wannfanya nn ujacharangwaaNipo Mwanza sasa.
Wale watu wa ajabu sana.
Walikuwa wana kikao chao pale wanamsema Sagini( huyu wa Mambo ya Ndani).
Wanaelezena,"Huyu Sagini firauni sana" Hiyo ndiyo ilikuwa theme of the discussion,kwamba Sagini ni firauni.
Basi wameongea on and on,kwamba huyu Sagini ni firauni. Mi nimekaa pale,mpaka nasinzia,naamka, nasinzia,naamka nasinzia,bado tu wanaendelea,Sagini ni firauni.
Halafu hawa watu ndio wanasema wanaweza kupata genge la watu kunicharaza mapanga?
Nimewaza kama wewe sasa kwann dj wetu anajificha na wakati ni kitambo na tunatamani kumuona😁😁Mbona handwriting kama ya DJ maarufu mmarekeni DON NALIMISON?
Watu wanajiua kila siku. It is absolutely unnecessary.Mental case
Hivi yupo huyo jamaa kweli bloangu?Mbona handwriting kama ya DJ maarufu mmarekeni DON NALIMISON?
Yupo jelaNimewaza kama wewe sasa kwann dj wetu anajificha na wakati ni kitambo na tunatamani kumuona😁😁
Ili iweje!!Sijui kizazi changapi kitarudisha heshima ya Nyerere
Cha kwanza hakuna
Wajukuu hakuna
Naamini vitukuu atatokea
Waswahili husema...kwenye msafara wa mamba kenge huwa hawakosekani😂Sasa,sijui Kuna tatizo gani. Lakini sasa I am on the road again. Nipo Kiabakari nasubiri gari la Mwanza.
Baada ya Mkuu wa Wilaya kushindwa kunifukuza naona wanakijiji wamekuja kivingine.
Naambiwa nionfoke kijijini upesi kama sitaki kucharazwa mapangwa na wanakijiji wenye ghadhabu.
I wish a Happy Christmas to everyone.
For me it will be Christmas in Dar.
Basi hili hapa.
Wewe acha uzwazwa...!Sasa,sijui Kuna tatizo gani. Lakini sasa I am on the road again. Nipo Kiabakari nasubiri gari la Mwanza.
Baada ya Mkuu wa Wilaya kushindwa kunifukuza naona wanakijiji wamekuja kivingine.
Naambiwa nionfoke kijijini upesi kama sitaki kucharazwa mapangwa na wanakijiji wenye ghadhabu.
I wish a Happy Christmas to everyone.
For me it will be Christmas in Dar.
Basi hili hapa.
Andrew, pole sana kwa changamoto unazopitia, kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, kucharazwa ni bakora, lakini kama ni mapanga ni kucharangwa!.Sasa,sijui Kuna tatizo gani. Lakini sasa I am on the road again. Nipo Kiabakari nasubiri gari la Mwanza.
Baada ya Mkuu wa Wilaya kushindwa kunifukuza naona wanakijiji wamekuja kivingine.
Naambiwa nionfoke kijijini upesi kama sitaki kucharazwa mapangwa na wanakijiji wenye ghadhabu.
I wish a Happy Christmas to everyone.
For me it will be Christmas in Dar.
Basi hili hapa.
Nipo Mwanza sasa.
Wale watu wa ajabu sana.
Walikuwa wana kikao chao pale wanamsema Sagini( huyu wa Mambo ya Ndani).
Wanaelezena,"Huyu Sagini firauni sana" Hiyo ndiyo ilikuwa theme of the discussion,kwamba Sagini ni firauni.
Basi wameongea on and on,kwamba huyu Sagini ni firauni. Mi nimekaa pale,mpaka nasinzia,naamka, nasinzia,naamka nasinzia,bado tu wanaendelea,Sagini ni firauni.
Halafu hawa watu ndio wanasema wanaweza kupata genge la watu kunicharaza mapanga?
Mbona ukisoma nyuzi zake tu unapata majibu kaka?Andrew, pole sana kwa changamoto unazopitia, kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, kucharazwa ni bakora, lakini kama ni mapanga ni kucharangwa!.
Nina swali moja kwako Kaka Mkubwa, watoto wa Mwalimu, mmezaliwa 8, why only you ndio unaandamwa na visa na mukasa?.
P
AkuAndrew, pole sana kwa changamoto unazopitia, kwa lugha yetu adhimu ya Kiswahili, kucharazwa ni bakora, lakini kama ni mapanga ni kucharangwa!.
Nina swali moja kwako Kaka Mkubwa, watoto wa Mwalimu, mmezaliwa 8, why only you ndio unaandamwa na visa na mukasa?.
P