[emoji1787][emoji1787]Hahhaha.. Kinachonifurahisha ni kwamba, wanaomshabikia Chenge ni chadema wale wale!
savimbi kile kichwa kingine,anapiga kireno,kifaransa ,kingereza nk nahisi alijua international languages kama 5,alikuwa mpiga deals haswa alimkarisha mmarekani kushoto na mrusi kuliaNi msomi type ya Mugabe,kamuzu banda,savimbi,waliotumia elimu zao kuharibu nchi zao.
Wenzetu usoma Ili kuzijenga nchi zao
Huyu apewe au Masele
Wakili mwenyewe na mtuhumiwaHuyu jamaa kipindi cha jiwe alikua anahudhuria kesi mahakamani na alikua akijisimamia mwenyewe ile kesi imeishiaga wap sijui
Kiongozi gani wa ccm asiyetafuta kujilimbikizia mkwanjaHuyu hayupo kwa sababu ya taifa. Huyo anatafuta vyeo sababu ya Ego yake na kujilimbikiza utajiri. Hana uzalendo huyo. Anaiba kwa akili na hakamatiki.
Akuwa mwenyekiti bungeni alikuwa mtulivu wakusikiliza hoja pande zote bila fitina na lugha za kebehi.Chenge ninampenda sana babu yangu. Kila lenye kheri kwake. Smart Babu kuanzia akili mpaka usafi wa mwili.
Dabo ajent ni kifo.savimbi kile kichwa kingine,anapiga kireno,kifaransa ,kingereza nk nahisi alijua international languages kama 5,alikuwa mpiga deals haswa alimkarisha mmarekani kushoto na mrusi kulia
yani alipata misaada ya wote at the same time
Wazazi wa nyokwe[emoji2958]Mpeleke mahakamani, acheni kuchafua wazazi wa watu.
Kazi ya kutupiga anaiweza..akija huyu mradi wa bagamoyo ni chap hakuna mjadala Kikubwa ajue anapata ngapiMzee namkubali sana huyuMungu amsaidie ,kazi anaiweza
Si kweli , sisi kazi yetu ni kutoa taarifa tuHahhaha.. Kinachonifurahisha ni kwamba, wanaomshabikia Chenge ni chadema wale wale!
Did you just say I should get rich? Really? Seriously? Which kind of richness are you talking about? Utajiri ni relative concept. Kuna mtu mwingine kuwa happy 365 days in a year, huo kwake ni utajiri tosha.Not in this world, kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake, kama mbuzi tu....utawatukana sana lakini mabilioni yataendelea kuingia tu, get rich or die trying mzee. Kila mtu anapambania ya kwake, huo ulimwengu wa kuwafikiria wasiokua nacho sijui, haupo tena, take it or leave it. Ndivyo ilivyo. Na pesa zinarithishwa kwenye ukoo tu, akifa flan, anachukua mwingine, chain ndio inaenda hivyo.
Best Speaker ever. Atatuvusha kuelekea mwisho wa enzi za CCM.