Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

Andrew Chenge achukua fomu ya kugombea Uspika. Fahamu kuhusu wasifu wake

Ni msomi type ya Mugabe,kamuzu banda,savimbi,waliotumia elimu zao kuharibu nchi zao.
Wenzetu usoma Ili kuzijenga nchi zao
savimbi kile kichwa kingine,anapiga kireno,kifaransa ,kingereza nk nahisi alijua international languages kama 5,alikuwa mpiga deals haswa alimkarisha mmarekani kushoto na mrusi kulia
yani alipata misaada ya wote at the same time
 
Huyu apewe au Masele


Hili Nchi iwe mikono salama kwa Mama Samia Bora Masele , huyu chenge Maghufuli na ukali wote alimshindwa mjuaji, fisadi na Umri umeshaenda

Hachelewi kumpindua Raisi akitumwa na genge la wahuni
 
huyu mzee ana sifa kama ya Mobutu,anaiba kwa akili na hakuna namna utampeleka kokote,Mobutu yeye alikuwa anatuma wasaidizi wake so kikinuka hawezi shitakiwa mana haja sign yeye
 
Kamati kuu isipomchuja, huyu anaenda kulamba mafao ya kufa mtu kwa utumishi wa miaka mitatu ya uspika.
 
Huyu hayupo kwa sababu ya taifa. Huyo anatafuta vyeo sababu ya Ego yake na kujilimbikiza utajiri. Hana uzalendo huyo. Anaiba kwa akili na hakamatiki.
Kiongozi gani wa ccm asiyetafuta kujilimbikizia mkwanja
 
savimbi kile kichwa kingine,anapiga kireno,kifaransa ,kingereza nk nahisi alijua international languages kama 5,alikuwa mpiga deals haswa alimkarisha mmarekani kushoto na mrusi kulia
yani alipata misaada ya wote at the same time
Dabo ajent ni kifo.
Naona majuzi walipewa ruhusa wauzike kiheshima mzoga wake.
Alitumia vibaya elimu yake kuibomoa Angola
 
Makengeza ndie alimpa jiwe laki 2 za hospital,jiwe akaona haya kumshughulikia makenge.
Makenge kaaibiasha Sana chuo cha Harvard means ametumia vibaya elimu yake kupiga kodi zetu
 
Hawa ndio watu waliosomea kutuibia
Hawana Tija kwa Taifa Bali kwao wenyewe na familia zao
 
Not in this world, kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake, kama mbuzi tu....utawatukana sana lakini mabilioni yataendelea kuingia tu, get rich or die trying mzee. Kila mtu anapambania ya kwake, huo ulimwengu wa kuwafikiria wasiokua nacho sijui, haupo tena, take it or leave it. Ndivyo ilivyo. Na pesa zinarithishwa kwenye ukoo tu, akifa flan, anachukua mwingine, chain ndio inaenda hivyo.
Did you just say I should get rich? Really? Seriously? Which kind of richness are you talking about? Utajiri ni relative concept. Kuna mtu mwingine kuwa happy 365 days in a year, huo kwake ni utajiri tosha.

Wengine akiwa peaceful & peace of mind na majirani zake, huo ni utajiri. Mwingine akiwa na clear conscience isiyokuwa na hatia, kwake ni utajiri. Mwingine akiwasaidia wahitaji na kuwainua wasioweza, huo kwake ni utajiri.

Aiseee! Huu utajiri wa kuhodhi mali na ^v-two tooooooo^ for the sake of it, ni laana na ubinafsi wa kiwango kisichopimika. Away with such rubbish!

^Mwamedi, pesa si kila ^key-two^~Hajj Manara.
 
Back
Top Bottom