Mida gani mkuu??
Will be waiting,,,,,as usual brother
Njoo arifu ya arachugee, ngoja niandae jagi la kahawa Yangu mie, sitaki kuminya kope hata kidogo leo
We shunie,embu ukuje hapa plz
Nimekuja mkuu shikamooWe shunie,embu ukuje hapa plz
Marhabaaaa,shunie,bado wawaza tuuu??Nimekuja mkuu shikamoo
mmh, itabidi na mimi niweke picha yangu ya ukweli maana hili li avatar iinanizeeshaMida gani mkuu??
Afu Sory lkn ...hiyo avatar ni picha yako kweli au?
Mbavu zangu ....mmh, itabidi na mimi niweke picha yangu ya ukweli maana hili li avatar iinanizeesha
Saa nne usiku. Jina ni langu na picha ni yangu.Mida gani mkuu??
Afu Sory lkn ...hiyo avatar ni picha yako kweli au?
Kuwaza kuhusu niniMarhabaaaa,shunie,bado wawaza tuuu??
Kho khommh, itabidi na mimi niweke picha yangu ya ukweli maana hili li avatar iinanizeesha
Hivyo eeh? Sawa mkuu...
Mkuu namba yako ya WhatsApp please
ahahahah kwa kweliMbavu zangu ....
Koncho....mbona mchokozi ...
Tunyamaze stive asisikie...atatukomoa antidote tusiipate....umesahau anga la.........leo?