Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa kuchapia hukuJoba yupo atamsaidia
[emoji3] [emoji3]
Mkuu unaonaje tungerudi kwanza NJIA NYEMBAMBA naikubali mpaka kesho hiyo riwaya.Wakuu, sikusema nitaanza kutuma lini msimu wa pili. Nitatoa taarifa.
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Booooooooonge la jibu mkuuSiandiki kwa mazoea. Kwangu hamna na itakuwa hivyo mpaka mwisho. Mimi si mtunzi wa machombezo. Na nakuhakikishia itakuwa nzuri.
Kaa hapa ushuhudie.
Sogea pembeni kwenye benchi la kusibiri dawa ya hii arosto,Tivu santeee nasubiri season 2 barikiwa sana [emoji120]
Mkuu habari yako,Wakuu, sikusema nitaanza kutuma lini msimu wa pili. Nitatoa taarifa.
Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Sitivu tunaomba angalau basi leo utisaidie tuu hata kisa cha jone mkuu angalau tulalee yukisubiria hiyo wikiendWeekend hii tunaendelea!
Mi kwangu hata kitanda changu kimekuwa kigumu na kikubwa saaaanaDuh, mbona siku haziendi!!
Aisee mkuu. Umenigusa sana [emoji23] [emoji23]Sitivu tunaomba angalau basi leo utisaidie tuu hata kisa cha jone mkuu angalau tulalee yukisubiria hiyo wikiend
Tunaheshimu sana muda wako lakini ndio hivo ulishatuathiri tayari na hii kitu ishakuwa kama dawa ya usingizi kwa muathirika wa matukio makubwa
Mkuu nashukuru hata kwa hiki kitu kidogo cha kuyatambua mateso tunayoyapata kwa uzuri wa kaxi yako ambayo imeamua kutugeuza watumwa na kutupeleka mbaaaaali sana zaidi ya tulivyogikiria.