SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
- #1,441
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Shukrani mkuu!Shukran tive...
Poa.Ziko poa
Doh! Doh! Ulikuwa waaaapi jamani??Steve toka lini ukamsahau dadaako
Hatimae nmeimaliza
Ahsante si kwa hadithi tamu hivi
Hujawahi niangusha
Mambo mambo tu yamenitinga ndo maana sionekani sanaDoh! Doh! Ulikuwa waaaapi jamani??
Ahsante kwa mapendo ya simulizi zangu.
Karibu. Nlikumiss bana.Mambo mambo tu yamenitinga ndo maana sionekani sana
Mbona hukunitafuta jamanKaribu. Nlikumiss bana.
Doh [emoji17] nisamehe bure tu mama.Mbona hukunitafuta jaman
Pita na kule kwa Shunie kuna simulizi tam MKUFU WA MALKIA.Mbona hukunitafuta jaman
SawaPita na kule kwa Shunie kuna simulizi tam MKUFU WA MALKIA.
Sikulaumu, tatizo unaangalia wingi wa matukio na si wingi wa maneno. Ipo hivi, huwa naandika characters elfu kumi kwa kila simulizi. Ujazo haujawah pungua ila nyinyi viumbe mkiona mtunzi siku hiyo anaongelea tukio moja kwa undani zaidi. Mnaona mmepunjwa.
Karibu mkuu.HAPO SASA KAMANDA NDO MAANA HUWA SIACHI KUNGALIA PAGE HII YAN KWA SABABU WW SI MZINGUAJI UNA UHAKIKA NA MAMBO UNAYOYAFANYA KAMA KAWAIDA YANGU SITI YA MBELE JONA KATA KICHWA YA MTU
Nashkuru kwa uelewa mkuu. Karibu.Mkuu usinielewe vibaya, sikuwa na nia ya kukosoa au kukejeli kazi nzuri ninashukuru lakini kama ujuavyo tabia ya ulevi na kama ulivyosema umezoea kupiga huku, kule na huko kwa wakati mmoja hivyo pakitulia sehemu moja ndio inakuwa hivyo umenielewesha vizuri nimekuelewa na asante
Pia niwie radhi kama nimepotoka, tupo pamoja
Naona unahesabu dakika[emoji91][emoji91][emoji91]
Naona unahesabu dakika
Ngoja me nifatie juisiNdio Mkuu. Nshanunua popcorn kabisa