Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na shukrani, sawa? Unadhani kuandika ni rahisi tu sio? Kwamba unamimina tu kujaza mapage na kutuma.Ila unabana sana mkuu
Mwanzo wakati inaanza ulikuwa unaiweka ndefu [emoji19] [emoji19] [emoji19] ila sa hv unaweka fupi fupoKuwa na shukrani, sawa? Unadhani kuandika ni rahisi tu sio? Kwamba unamimina tu kujaza mapage na kutuma.
Hicho ndicho naweza kutuma. Kama hutosheki, samahani.
Haya.Mwanzo wakati inaanza ulikuwa unaiweka ndefu [emoji19] [emoji19] [emoji19] ila sa hv unaweka fupi fupo
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Unamlinganisha steve na shigongo...aaah ..labda ungemlinganisha na ..Musiba na willy Gamba wake...steve ni noma..ni kichwa hasa![emoji119] [emoji119] [emoji119] Duuh!!!, Steve Mollel ni zaidi ya Erick Shigongo. I appreciate your work my brother.Keep it up!!!
Ngoja tukimbie chap
Hongera mbona hatuoni link
Ni vile vile tu unacopy na kwenda kupaste kwenye jukwaa au thread uipendayoSasa nifundishe kucopy link ya thread kutoka jukwaa lingine au thread ya jukwaa hili hili kuilink hapa
Hongera
Thanks brother japo Shigongo hajawahi kuwa my role model.