Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Kuwa na shukrani, sawa? Unadhani kuandika ni rahisi tu sio? Kwamba unamimina tu kujaza mapage na kutuma.

Hicho ndicho naweza kutuma. Kama hutosheki, samahani.
Mwanzo wakati inaanza ulikuwa unaiweka ndefu [emoji19] [emoji19] [emoji19] ila sa hv unaweka fupi fupo
 
[emoji119] [emoji119] [emoji119] Duuh!!!, Steve Mollel ni zaidi ya Erick Shigongo. I appreciate your work my brother.Keep it up!!!
Unamlinganisha steve na shigongo...aaah ..labda ungemlinganisha na ..Musiba na willy Gamba wake...steve ni noma..ni kichwa hasa!
 
Back
Top Bottom