Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Konokono huwa anatembea pole pole lakini huwa anafika ni nadra sana kukuta mizoga yake barabarani lakini sasa yule mwenye kujiona kwamba ana mbio kubwa huyu ni mbwa barabarani mizoga yake haiishi

SIMBA MWENDA POLE NDIYE MLA NYAMA
 
Habari zenu wakuu. Ni siku tatu sasa sipo hewani si kwamba nimewasahau ila nilipotewa na simu yangu smartphone ambayo ndiyo natumia kuandikia simulizi na kutuma pia.

Kwa siku tatu sikuwa whatsapp (kwa wale wenye namba yangu wanajua), jamii forum wala insta.

Nashukuru leo nimepata simu ya kujishkiza hivyo naanzq kuandika upya. Imebidi pia niingie huku ili nijue niliishia wapi sehemu iliyopita. Nashukuru kwa uvumilivu
Pole sana Steve
 
Habari zenu wakuu. Ni siku tatu sasa sipo hewani si kwamba nimewasahau ila nilipotewa na simu yangu smartphone ambayo ndiyo natumia kuandikia simulizi na kutuma pia.

Kwa siku tatu sikuwa whatsapp (kwa wale wenye namba yangu wanajua), jamii forum wala insta.

Nashukuru leo nimepata simu ya kujishkiza hivyo naanzq kuandika upya. Imebidi pia niingie huku ili nijue niliishia wapi sehemu iliyopita. Nashukuru kwa uvumilivu

Pole sana mkuu
 
Habari zenu wakuu. Ni siku tatu sasa sipo hewani si kwamba nimewasahau ila nilipotewa na simu yangu smartphone ambayo ndiyo natumia kuandikia simulizi na kutuma pia.

Kwa siku tatu sikuwa whatsapp (kwa wale wenye namba yangu wanajua), jamii forum wala insta.

Nashukuru leo nimepata simu ya kujishkiza hivyo naanzq kuandika upya. Imebidi pia niingie huku ili nijue niliishia wapi sehemu iliyopita. Nashukuru kwa uvumilivu
Wakati mwingine ukipata changamoto uwe unasema huenda ikapatiwa uvumbuzi.Hichi kitu kimeshakuwa cha public kunaguza hisia za wengi!
 
Marafiki zangu poleni na harakati za kuimaliza januari kihasi kwamba hamkutaka kabisa kupima kati ya masihara na hali halisi. Kiufupi nilihisi labda Shunie ni mtani wangu. Kuhusu Tumosa sina shaka kuwa ni mtani wangu. Na katika post yangu sijamlalamikia kabisa mtunzi wa adithi yetu pendwa kuwa katuweka arosto wala nini (pitieni mkasome tena) lakini nimeona jeshi lilivyoniangukia.
Kuhusu mie kutomalizia adithi ni kuwa ninapewa mamlaka hayo ya either kusimama kupost au kuendelea kutoka kwa mwandishi moja kwa moja. Ndio maana hadi namba za mtunzi nimewatumia zikisimama mpigieni
 
Marafiki zangu poleni na harakati za kuimaliza januari kihasi kwamba hamkutaka kabisa kupima kati ya masihara na hali halisi. Kiufupi nilihisi labda Shunie ni mtani wangu. Kuhusu Tumosa sina shaka kuwa ni mtani wangu. Na katika post yangu sijamlalamikia kabisa mtunzi wa adithi yetu pendwa kuwa katuweka arosto wala nini (pitieni mkasome tena) lakini nimeona jeshi lilivyoniangukia.
Kuhusu mie kutomalizia adithi ni kuwa ninapewa mamlaka hayo ya either kusimama kupost au kuendelea kutoka kwa mwandishi moja kwa moja. Ndio maana hadi namba za mtunzi nimewatumia zikisimama mpigieni
Eneo kama hili ukiweka masihara watu huchukia kwa sababu arosto cyo mchezo na pia riwaya yako hebu itolee mwongozo kuwa utakuwa unatuma baada ya miez mingapi hutolaumiwa
 
Marafiki zangu poleni na harakati za kuimaliza januari kihasi kwamba hamkutaka kabisa kupima kati ya masihara na hali halisi. Kiufupi nilihisi labda Shunie ni mtani wangu. Kuhusu Tumosa sina shaka kuwa ni mtani wangu. Na katika post yangu sijamlalamikia kabisa mtunzi wa adithi yetu pendwa kuwa katuweka arosto wala nini (pitieni mkasome tena) lakini nimeona jeshi lilivyoniangukia.
Kuhusu mie kutomalizia adithi ni kuwa ninapewa mamlaka hayo ya either kusimama kupost au kuendelea kutoka kwa mwandishi moja kwa moja. Ndio maana hadi namba za mtunzi nimewatumia zikisimama mpigieni
hadithi mkuu na sio adithi
 
Marafiki zangu poleni na harakati za kuimaliza januari kihasi kwamba hamkutaka kabisa kupima kati ya masihara na hali halisi. Kiufupi nilihisi labda Shunie ni mtani wangu. Kuhusu Tumosa sina shaka kuwa ni mtani wangu. Na katika post yangu sijamlalamikia kabisa mtunzi wa adithi yetu pendwa kuwa katuweka arosto wala nini (pitieni mkasome tena) lakini nimeona jeshi lilivyoniangukia.
Kuhusu mie kutomalizia adithi ni kuwa ninapewa mamlaka hayo ya either kusimama kupost au kuendelea kutoka kwa mwandishi moja kwa moja. Ndio maana hadi namba za mtunzi nimewatumia zikisimama mpigieni
Leo jmosi povu lile kafulie nguo[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom